Nyerere alikosea sana alipokumbatia wahindi/warabu na kuwafukuza wazungu

Wanachuma bongo wakasomeshe watoto wao nje,huwa nashangaa sana zile nyumba za NHC zilivyochoka hata rangi jaman hawapaki hatar sana
Watoto wao wengi hawana akili kwa hiyo ni kupoteza pesa tu afadhali wangesomesha watoto wa Tanzania ambao wanaakili bila kuupendelea familia zao
 
Ila sisi kukimbilia kujenga ndo habari y mjini eti..Ellon musk hana nyumba hata matajiri wakubwa wamepanga ili kuwa na access na sehemu zao za kazi ila sio kwamba nyumba hawana uwezo wa kujenga mfano Harmonize kapanga, Diamond kapanga..
Bongo ukijenga ndo unaonekana una akili, tuna mambo ya ajabu sana.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Mwarabu anaweza kuanza kuuza petrol kwenye makopo tu mitaani ila baada ya miaka 15 unakuta mtoto wake anamiliki kituo cha mafuta kidogo kijijini na baada ya miaka 30 mjukuu wake ni boss mkubwa ana vituo vya mafuta hata 10 . Ndo jinsi hawa walivo hawarithishani nyumba wao wanarithi biashara. Sisi asilimia kubwa hata ukiwa ni meneja wa kampuni kubwa ila tunawaza kwanza kujenga nyumba ili ata ukistaafu utapata ela ya kodi na maisha yataenda watoto zako watajitaftia wenyewe. Ndo mana unakuta familia ya kiafrika wana maisha ya kawaida tu ila ukiwauliza wanaweza kukwambia babu yao alikua boss mkubwa wa shirika flani ila mwarabu unakuta ni tajiri ila atakwambia babu yake alikua anauza karanga.
 
Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji

Jamii inaishi kimahesabu. Maana ofisi au biashara ipo chini akishuka toka ghorofani au ipo mtaa wa pili.

Hapo amepata nafuu kubwa anatembea kwa mguu, hatumii mafuta mengi ktk gari, muda hapotezi, rahisi kukutana na wafanyabishara au wateja kukamilisha dili yaani kuna manufaa makubwa kuishi mjini-kati.

Sasa tuje kwa jamii nyingine ya kiTanzania inayopenda kuishi katika hekalu au jumba huko Mabwepande huku unaendesha prado kama ilivyo kwa raia wengine wa,kiTanzania wanaopenda kuishi nje ya mji ktk mahekalu yao.
 
wewe unapoteza mda miaka 30 upo darasani unaloweka miguu kwenye beseni unasoma upate vyeti Ili ukaajiriwe, mwenzako miaka 30 yupo field anasimamia biashara za familia

Mmatumbi asipoelewa hapo ndipo alipojikwaa akapishana na utajiri endelevu basi itakuwa ngumu kumuelezea abadilishe staili ya maisha ili aweze kutoka kimaisha kwa kujiajiri.
 
Ukitembea mjini kati kuanzia Bibi Titi kuelekea baharini nyanyua kichwa uangalie majumba ya zamani. Utaona mengi yana majina na tarehe yaliyojengwa. Miaka ni 1920s hadi 1960s na majina ni ya Wahindi.
Hizi ni nyumba Mwalimu alitaifisha zikabatizwa Msajili wa Majumba na kwa sasa NHC.
 
Unapoteza mda na pesa kusoma masters kisha unatembeza bahasha miaka 7 umri limit wa ajira unakutupa mkono, unaishia kuwa bodaboda, au unafungua kibanda si bora ungemaliza la saba tu ukaanza bodaboda ukawa mbali kuliko kutupa mda darasani
 
Idd Amin aliwafukuza Wahindi,je nini kilitokea Uganda?

Wahindi wengi walihamia Uingereza na Canada na huko wakawa vizuri tu kiuchumi,
Utajiri au kufanikiwa ni mind set yako tu,nidhamu na mipango endelevu,utajiri au mafanikio hayaji kwa kumchukia aliyekuzidi bali unatakiwa kujifunza kupitia kwao.
Baada ya Amin kuwafukuza wahidi Uganda nyanja zote za uchumi zilichukuliwa na waafrica/waganda, ukienda kampala biashara kubwa imeshikiliwa na wazawa, ni jambo la kawaida kuona mzawa anamiliki ghorofa linatoka mtaa mmoja hadi mwingine na anawapangisha hao wahindi, ni jambo la kawaida kuona mganda anamzabua makofi muhindi pale anapoleta unyanyasaji kwa mzawa.
 
Kipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa

Maajabu ya mhindi/mharabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania

Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote

Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option
Nakubaliana nawe mia kwa mia. Hii ni kansa aliyotuachia mwendazake Kambarage
 
Nakubaliana nawe mia kwa mia. Hii ni kansa aliyotuachia mwendazake Kambarage
Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale

Muhindi/muharabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai
 
Kipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa

Maajabu ya mhindi/mharabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania

Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote

Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale

Muhindi/muharabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai

Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option

Mfumo wa elimu inabid ufanyiwe overhall kubwa sana, tutrain vijana wetu kwenye mambo ya ufundi na kuoperate Mashine ili machine operator na production managers wasiwe wanatoka India au china
Kuandika kwenyew hujui
Eti mharabu 🤣🤣
 
Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale

Muhindi/muharabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai
Hao unaowataja wameiba serikalini. Watawala wetu wezi wanapenda kuwatumia magabacholi kwa vile si tishio kwao. Wakiboronga wanawafukuza kama walivyofanya wakati wa Chavda.
 
Back
Top Bottom