Nyerere alikosea sana alipokumbatia wahindi/warabu na kuwafukuza wazungu

Wote tukae posta au kariakoo patatosha kweli mbona unafikra mfu hivyo, sensa ya mwaka Jana inasema tuko million 5.2 kwa hiyo wote tukakae posta na kariakoo
Si lazima wote tukae kariakoo ama posta bali ni vizuri mtu aishi jirani na eneo analofanya shughuli zake, ili kuokoa muda na gharama.
 
Angekumbatia wangoniii eeh?!?
Kipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa

Maajabu ya mhindi/mwarabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania

Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote

Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale

Muhindi/mwarabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai

Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option

Mfumo wa elimu inabid ufanyiwe overhall kubwa sana, tutrain vijana wetu kwenye mambo ya ufundi na kuoperate Mashine ili machine operator na production managers wasiwe wanatoka India au china
 
Mbona kiswahilii chako kama mhindi?
Wahindi si wabinafsi tu bali wabaguzi wa kunuka na kwenye roho nyepesi na wanafiki wa kutupwa, wachafu wale ni binadamu accidentally Mungu anisemehe
Prejudice, Discrimination and Racism against Africans and Siddhis in India - Cambridge Scholars Publishing
 
Hao ndio walipa kodi wakubwa ndio watoa ajira wakubwa.
Huwezi ukawa unawaza ngono ukawa na maendeleo raslimali tele zimejaa. Umepewa mlima wa chuma KISHA pembeni ukapewa mlima wa makaa ya mawe hata kuchimba tu chuma utumie makaa kuyeyusha chuma huwezi.
Hili linafikirisha sana (ni kule mbeya nafikiri unaongelea)
 
Hili linafikirisha sana (ni kule mbeya nafikiri unaongelea)
Halifikirishi chochote. Kuna mjumlisho. Nani anafikiria ngono? Mbona akina Mengi walipenya? Nadhani tatizo la baadhi ya wachangiaji humu ni kutojua hata historia ya taifa lao. Wangejua wahindi walivyoletwa na waingereza na kupewa mamlaka ya kununua mazao ya waafrika kwa bei ya kutupwa na kuuza kwa bei mbaya, wasingeweka huu utopolo utokana na ujinga wa kiwango cha lami.
 
Halifikirishi chochote. Kuna mjumlisho. Nani anafikiria ngono? Mbona akina Mengi walipenya? Nadhani tatizo la baadhi ya wachangiaji humu ni kutojua hata historia ya taifa lao. Wangejua wahindi walivyoletwa na waingereza na kupewa mamlaka ya kununua mazao ya waafrika kwa bei ya kutupwa na kuuza kwa bei mbaya, wasingeweka huu utopolo utokana na ujinga wa kiwango cha lami.
Naongelea chuma na makaa ya mawe aliyosema tumepewa lakini tumeshindwa kuyatumia
 
Wow. I didn't know. Nonetheless, I thank you for standing by your generalization, which is academically toxic.
Hicho kingereza chako cha mkoloni hakibadili kua upo nyuma ya muda,hakuna mji unaoitwa Bombei in India,
Mkikosolewa hua mnakuja na vingereza vyenu vya Shule,sijui hua lengo ni nini hasa!
 
Hicho kingereza chako cha mkoloni hakibadili kua upo nyuma ya muda,hakuna mji unaoitwa Bombei in India,
Mkikosolewa hua mnakuja na vingereza vyenu vya Shule,sijui hua lengo ni nini hasa!
Acha ukumbaff. Nimemjibu aliyeanza na hicho kidhungu. Najua kuwa Bombei hakuna ila nilifanya hivyo makusudi kama nilivyotumia magabacholi kuepuka ban mwanangu. Najua ulikuwa ukiitwa Bombay baadaye Mumbhai mwanangu. Hii ahitaji PhD kwenye rocket science. Au ulitaka nisema Bengaluru na Chenai? Nshafika Mumbhai. Ni jiji chafu hasa hewa hakuna mfano. Acha magabacholi wang'ang'anie Afrika kwenye hewa safi
 
Halifikirishi chochote. Kuna mjumlisho. Nani anafikiria ngono? Mbona akina Mengi walipenya? Nadhani tatizo la baadhi ya wachangiaji humu ni kutojua hata historia ya taifa lao. Wangejua wahindi walivyoletwa na waingereza na kupewa mamlaka ya kununua mazao ya waafrika kwa bei ya kutupwa na kuuza kwa bei mbaya, wasingeweka huu utopolo utokana na ujinga wa kiwango cha lami.
System tokea kipindi Cha wakoloni iliwabeba sana, mpaka sasahivi system inawabeba sana
 
Kipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa

Maajabu ya mhindi/mwarabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania

Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote

Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale

Muhindi/mwarabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai

Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option

Mfumo wa elimu inabid ufanyiwe overhall kubwa sana, tutrain vijana wetu kwenye mambo ya ufundi na kuoperate Mashine ili machine operator na production managers wasiwe wanatoka India au china
Uzi wa kipuuzi ......
 
Mimi ningepitisha utaratibu kwa hao watu wahame downtown nchi nzima waende wakajenge nje ya mji

Ikiwezekana wapewe eneo lao wakajenga huko sio kujazana mjini

Na watakaojenga nje ya mji watapewa favurtism Fulani Fulani za wazi wazi.

Otherwise nawatembezea kibao Cha kimya kimya.

Kama Nampa amri msajili baadhi nyumba zilizochibi yake azigeuze matumizi mengine sio ya makazi

Yaani nitafanya juu chini scarcity ya makazi ya downtown kwao iwe juu. Itawapush wenyewe nje ya mji
 
Back
Top Bottom