Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,322
- 12,838
Si lazima wote tukae kariakoo ama posta bali ni vizuri mtu aishi jirani na eneo analofanya shughuli zake, ili kuokoa muda na gharama.Wote tukae posta au kariakoo patatosha kweli mbona unafikra mfu hivyo, sensa ya mwaka Jana inasema tuko million 5.2 kwa hiyo wote tukakae posta na kariakoo