Kwa udogo wangu wa uelewa nimekua nikifanya uchunguzi mdogo wa jinsi sekta ya madini inavyo watajirisha wageni na kutuachia mashimo na faida chache ya Kodi ambayo ukiifatilia bado ni ndogo ukilinganisha na thamani ya madini husika.
Tanzania tumebarikiwa madini mengi sana kama dhahabu, almasi,Tanzanite na mengineyo lkn mm ntaongea kidogo kuhusu makaa ya mawe madini ambayo mikoa mikubwa mitatu kwa maana ya Njombe,Ruvuma na Mbeya imebarikiwa nayo.
Madini haya yameanza kuchimbwa kwa wingi sana katika mikoa hii miwili ya Ruvuma (mbinga) na Njombe (Ludewa) wawekezaji wengi kutoka nje na ndani wamejitokeza kuwekeza katika uchimbaji huo lkn kinachosikitisha wawekezaji hawa wengi wao ni wahindi,waarabu na wazungu wachache.
Wahindi na waraabu hawa wengi wao sio raia wa Tanzania au wamepitia kwa wahindi na waraabu wenzao ambao wamefanikiwa kupata urai na kuanzisha kampuni Tanzania na kuwaficha hawa wenzao kutoka njee.
Wawekezaji hawa wamekua wakichimba madini,kusafirisha na kuyauza na kupata faida kama biashara zingine lkn ukifatilia sana faida zao hazibaki nchi kuindeleza nchi yetu. Wengi wamekua wakiishi Bongo lkn baba zao na babu zao wako asia na ulaya huko na ndiko pesa kama faida hasa zinakoenda.
Wabongo wachache sana ambao wameweza kuingia kwenye uchimbaji huu ambao kiuhalisia ndio wangeweza kuifanya faida hii kubaki nchini na kuongeza mzunguko wa pesa na uchumi kwa ujumla.
Kama hali itabaki hivi tukubali kwamba midini haya yatachimbwa yatauzwa yataisha tutabaki na mashimo makubwa na faida ndogo kupitia kodi tu.
Lazima serikali ione namna ya kuwasaidia wawekezaji wazawa tema wenye uraia kamili wa kuzaliwa na kukua ili waweze kunusuru faida hizi kwenda nchi zingne.
Tanzania tumebarikiwa madini mengi sana kama dhahabu, almasi,Tanzanite na mengineyo lkn mm ntaongea kidogo kuhusu makaa ya mawe madini ambayo mikoa mikubwa mitatu kwa maana ya Njombe,Ruvuma na Mbeya imebarikiwa nayo.
Madini haya yameanza kuchimbwa kwa wingi sana katika mikoa hii miwili ya Ruvuma (mbinga) na Njombe (Ludewa) wawekezaji wengi kutoka nje na ndani wamejitokeza kuwekeza katika uchimbaji huo lkn kinachosikitisha wawekezaji hawa wengi wao ni wahindi,waarabu na wazungu wachache.
Wahindi na waraabu hawa wengi wao sio raia wa Tanzania au wamepitia kwa wahindi na waraabu wenzao ambao wamefanikiwa kupata urai na kuanzisha kampuni Tanzania na kuwaficha hawa wenzao kutoka njee.
Wawekezaji hawa wamekua wakichimba madini,kusafirisha na kuyauza na kupata faida kama biashara zingine lkn ukifatilia sana faida zao hazibaki nchi kuindeleza nchi yetu. Wengi wamekua wakiishi Bongo lkn baba zao na babu zao wako asia na ulaya huko na ndiko pesa kama faida hasa zinakoenda.
Wabongo wachache sana ambao wameweza kuingia kwenye uchimbaji huu ambao kiuhalisia ndio wangeweza kuifanya faida hii kubaki nchini na kuongeza mzunguko wa pesa na uchumi kwa ujumla.
Kama hali itabaki hivi tukubali kwamba midini haya yatachimbwa yatauzwa yataisha tutabaki na mashimo makubwa na faida ndogo kupitia kodi tu.
Lazima serikali ione namna ya kuwasaidia wawekezaji wazawa tema wenye uraia kamili wa kuzaliwa na kukua ili waweze kunusuru faida hizi kwenda nchi zingne.