Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,006
Kipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa
Maajabu ya mhindi/mwarabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania
Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote
Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale
Muhindi/mwarabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai
Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option
Mfumo wa elimu inabid ufanyiwe overhall kubwa sana, tutrain vijana wetu kwenye mambo ya ufundi na kuoperate Mashine ili machine operator na production managers wasiwe wanatoka India au china
Maajabu ya mhindi/mwarabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania
Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote
Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale
Muhindi/mwarabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai
Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option
Mfumo wa elimu inabid ufanyiwe overhall kubwa sana, tutrain vijana wetu kwenye mambo ya ufundi na kuoperate Mashine ili machine operator na production managers wasiwe wanatoka India au china