Wewe kwangu ulisha aga dunia; haupo tena. Sasa kama ni msukule wako unao endelea hapa, sina muda wa kujihusisha nao.ni muhimu kuacha kiburi,
mtu alete fujo kwenye zoezi la uandikishaji wapiga kura aachwe tu...
Lazima alambe virungu kadhaa na akarestishwe korokoroni ili baadae akiachiwa asema huo ushirikina na kiki ya kutekwa huenda chadema wakamchangia chochote kitu.
Muhimu zaidi, chadema acheni ulevi mara moja 🐒
Haya nilisha kufahamisha mara kadhaa humu humu. Sijibishani na upumbavu.
