Nyarusi aliyetekwa naye pia ni CHADEMA?

Nyarusi aliyetekwa naye pia ni CHADEMA?

Wewe usiye tumia "arm chair" nimekwisha kupa fursa toka mwanzo ueleze unachojuwa wewe kuhusu huo mkasa wa kusikitisha ulio mpata Mzee Kibao; lakini umebaki ukibabaika tu bila ya kusema lolote la kueleweka.
Umejibiwa ila wewe unamajibu yako ambayo unasema kua serikali ndiyo husika.Mimi najua alitekwa na kuuwawa
 
Umejibiwa ila wewe unamajibu yako ambayo unasema kua serikali ndiyo husika.Mimi najua alitekwa na kuuwawa
"Alitekwa na kuuawa", au Kuuliwa?
Na ujuwavyo wewe, watu hutekwa na kuliwa bila ya sababu yoyote?
 
"Alitekwa na kuuawa", au Kuuliwa?
Na ujuwavyo wewe, watu hutekwa na kuliwa bila ya sababu yoyote?
Nani kasema alitekwa na kuliwa? Mimi naomba sasa utupe sababu zilizo sababisha watekaji kumuua hayati Kibao.
 
Nani kasema alitekwa na kuliwa? Mimi naomba sasa utupe sababu zilizo sababisha watekaji kumuua hayati Kibao.
Kwa hiyo wewe unajuwa Mzee Kibao hakutekwa; na wala hakuuliwa?

Wewe unaishi Tanzania ipi?

Halafu kuonyesha kuwa akili yako haio sawasawa, unataka nirudie tena niliyo kwisha eleza juu ya kifio cha Mzee Kibao!
Mi nadhani wewe umo kwenye timu hiyo hiyo ya wauaji, ndiyo maana akili inaathirika kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom