Nyarusi aliyetekwa naye pia ni CHADEMA?

Nyarusi aliyetekwa naye pia ni CHADEMA?

Wote CCM mashetani. Hakuna mwenye nafuu.
🤣🤣🤣🤣🤣 vipi yamekuwa hayo tena si mlituambia ni magufuli hadi mbowe anazo video anasema msijenge tabia ya kuchukia wanaccm kuwa kipindi cha jpm wote ..wao na nyie mlikuwa shidani 🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣 vipi yamekuwa hayo tena si mlituambia ni magufuli hadi mbowe anazo video anasema msijenge tabia ya kuchukia wanaccm kuwa kipindi cha jpm wote ..wao na nyie mlikuwa dhidani 🤣🤣🤣🤣
Wasamehe, Huwa wanaelewa pole pole sana🤔
 
Inaelekea basi CHADEMA, Hii siyo bure!

Maana siku haipiti sasa bila mtu wa CHADEMA kupata hatihati

Kuna mkakati maalum unatekelezwa?
ni muhimu kuacha kiburi,

mtu alete fujo kwenye zoezi la uandikishaji wapiga kura aachwe tu...

Lazima alambe virungu kadhaa na akarestishwe korokoroni ili baadae akiachiwa asema huo ushirikina na kiki ya kutekwa huenda chadema wakamchangia chochote kitu.

Muhimu zaidi, chadema acheni ulevi mara moja 🐒
 
ni muhimu kuacha kiburi,

mtu alete fujo kwenye zoezi la uandikishaji wapiga kura aachwe tu...

Lazima alambe virungu kadhaa na akarestishwe korokoroni ili baadae akiachiwa asema huo ushirikina na kiki ya kutekwa huenda chadema wakamchangia chochote kitu.

Muhimu zaidi, chadema acheni ulevi mara moja 🐒
Wakikamatwa au kuzuiwa wanakimbilia X kutafuta huruma ya wananchi eti wanaonewa na kuna mbuzi (viherehere)wao wanaunga mkono tu hata hawahoji sababu.
 
Mbona kila mara unazungumzia mambo ya kujamba jamba yaeleka huna marinda wewe, pumbavu kabisa mpakwa mafuta wewe.
Kumbe kujamba cheche ndiyo kukosa marinda 🤣🤣🤣 naunga mkono hoja ...basi chadema mna hali mbaya sana..
 
Mbona alikuwa dukani kwenye kununua simu ndipo wakamvamia?. Polisi nao wamekuwa waongo
Kwani haiwezekani kuwa alileta fujo na akaondoka eneo la tukio akakamatwa hapo dukani? Au muhalifu akiondoka eneo la tukio haruhusiwi kukamatwa?
 
Wakikamatwa au kuzuiwa wanakimbilia X kutafuta huruma ya wananchi eti wanaonewa na kuna mbuzi wao wanaunga mkono tu hata hawahoji sababu.
Wanavunja sheria wakikamatwa wanasema wametekwa, kuna mmoja huko Iringa alikua anaendesha gari amelewa akagonga gari ya mtu alafu akakimbia kakimbizwa na wananchi wakamkamata polisi wakampeleka kituon akapost kuwa ametekwa na watu wasiojulikana bila kosa lolote
 
Umeona alipokamatwa?. Mtu yupo dukani anavamiwa na watekaji.
huyo hakutekwa alikamatwa ni mhalifu sasa unaelekeza polisi wamkamatie wapi? hapo ndiypo walimkuta na ndiyo maana walimkamatia dukani
 
Wanavunja sheria wakikamatwa wanasema wametekwa, kuna mmoja huko Iringa alikua anaendesha gari amelewa akagonga gari ya mtu alafu akakimbia kakimbizwa na wananchi wakamkamata polisi wakampeleka kituon akapost kuwa ametekwa na watu wasiojulikana bila kosa lolote
chadema wahuni
 
Back
Top Bottom