Nyarusi aliyetekwa naye pia ni CHADEMA?

Nyarusi aliyetekwa naye pia ni CHADEMA?

Kwan hujui serikali ni ccm yaani mnataka kua sawa na chama tawala .sasa we Fanya kosa afu ukamatwe useme mbona akina fulani hamjawakamata uone cha mtema kuni

..mbele ya sheria Watanzania wote wanapaswa kuwa sawa.

..sio sahihi kuwakamata wapinzani / Chadema kwa kufanya kosa fulani, huku ukiwaacha Ccm huru kwa kosa hilohilo.
 
..mimi sijapendekeza askari wapelelezi wavae sare.

..rai yangu ni kwamba askari wanazotumia kukamata raia ni vizuri wakavaa sare.

..naamini tukiwapa nchi Chadema huduma za kijamii zitakuwa bora zaidi, serikali itakuwa na nidhamu, na itatenda haki, na uchumi wa mtu mmoja mmoja, na nchi kwa ujumla, utakuwa kwa kasi.
Mkuu una uhakika gani na unachosema ? Nchi iko salama mda mrefu xnaa sizan kama chadema na aina ya siasa zao wanaeza leta amani Tanzania, hata wew unajua hilo
Angalia mdude na lema siasa zao
Kisha maneno ya mbowe
Alaf uje ulete mrejesho
 
..mbele ya sheria Watanzania wote wanapaswa kuwa sawa.

..sio sahihi kuwakamata wapinzani / Chadema kwa kufanya kosa fulani, huku ukiwaacha Ccm huru kwa kosa hilohilo.
Sawa baba kila kosa wanalofanya ccm na ww lifanye ukikamtwa usikubal mpk watu wa ccm nao wakamatwe
 
Mkuu una uhakika gani na unachosema ? Nchi iko salama mda mrefu xnaa sizan kama chadema na aina ya siasa zao wanaeza leta amani Tanzania, hata wew unajua hilo
Angalia mdude na lema siasa zao
Kisha maneno ya mbowe
Alaf uje ulete mrejesho

..Chadema wana miaka zaidi ya 30, wamewahi kuongoza majimbo, na halmashauri, na amani ktk maeneo yao ilikuwepo. Hata wakipewa nchi nzima amani itaendelea kuwepo, na zaidi HAKI itatamalaki.
 
Sawa baba kila kosa wanalofanya ccm na ww lifanye ukikamtwa usikubal mpk watu wa ccm nao wakamatwe

..Ccm ndio wameshindwa kulisimamia jeshi letu la Polisi, na kuliundia genge la watekaji, watesaji, na wauwaji.
 
Tatizo mnakrupuka sana,mbona mimi ni CHADEMA nakosoa nk lakini sikamatwi wala sikutani na purukushani. Polisi wapo wa aina zote nasio lazma wavae uniform. Najiuliza hivi watanzania wakitupa nchi ,nini kitatokea kwa watanzania
Wewe ni mpuuzi mmoja, kama walivyo wapuuzi wengi sana siku hizi wanaofanana na wewe.
Jitetee mwenyewe kama kweli si puuzi kwa kueleza mzee Ali Mohammed Kibao alicho " ropoka" hadi mauti yakampata.
Watu wengine hata kuwasoma inatia kinyaa.
 
Yaelekea kuna habari mpya hapa baada ya Aisha Machano,yule mdada ambaye ni too serious ,kwamba yupo mtu mwingine ametekwa.
View: https://x.com/mdudechadematz/status/1848059782189777138
View: https://x.com/mdudechadematz/status/1848059782189777138

Hizi drama za chadema bila shaka zinatengenezwa kwa ushauri wa majasusi wa nchi za nje wenye balozi yenye kuingilia mambo ya ndani ya nchi hawapendi serikali zao. Juzi tumeona sugu kasimama nje ya ubalozi ya marekani akiwa na balozi wa nchi hio. Bila shaka katoka kushauriana nao jinsi ya kuing'oa ccm madarakani. Mojawapo ya mbinu kapewa ni kuonesha wapinzani wanatekwa na kuuliwa ili wao waweze kuingilia kuishutumu tanzania.
 
Wewe ni mpuuzi mmoja, kama walivyo wapuuzi wengi sana siku hizi wanaofanana na wewe.
Jitetee mwenyewe kama kweli si puuzi kwa kueleza mzee Ali Mohammed Kibao alicho " ropoka" hadi mauti yakampata.
Watu wengine hata kuwasoma inatia kinyaa.
Sasa mimi nawewe nani mpuuzi. Hivi unataka kutuambia kua unao ushahidi kua hayati Mzee Ali Kibao aliuwawa kwasababu za kisiasa? Wakati mwingine inabidi uachane na unafiki ,upuuzi na ujinga ili uweze kungamua mambo
 
Sasa mimi nawewe nani mpuuzi. Hivi unataka kutuambia kua unao ushahidi kua hayati Mzee Ali Kibao aliuwawa kwasababu za kisiasa? Wakati mwingine inabidi uachane na unafiki ,upuuzi na ujinga ili uweze kungamua mambo
Kwa hiyo tueleze wewe sababu zilizo pelekea Marehemu Kibao auawe ili tujue wewe siyo mpuuzi au hata kuwa mpumbavu kabisa!
 
Kwa hiyo tueleze wewe sababu zilizo pelekea Marehemu Kibao auawe ili tujue wewe siyo mpuuzi au hata kuwa mpumbavu kabisa!
Kwanza kabisa nimekupa nafasi tu kwa kuzingatia utu kujibizana na wewe...Ungebidi utujurishe humu kua hayati Kibao aliuwawa kwasababu za kisiasa hizi na hizi..tofauti na hapo wewe utabaki kua ndondocho wa kufikiri
 
Kwanza kabisa nimekupa nafasi tu kwa kuzingatia utu kujibizana na wewe...Ungebidi utujurishe humu kua hayati Kibao aliuwawa kwasababu za kisiasa hizi na hizi..tofauti na hapo wewe utabaki kua ndondocho wa kufikiri
Sasa huoni unavyo zidi kuthibitisha upumbavu nilio sema unakuhusu?
Hata hujui mwenye wajibu na jukumu la kuthibitisha hayo unayo taka mimi niyathibitishe ili kusiwepo na dhana hiyo iliyo pelekea mzee wa watu kupoteza maisha yake?
Wewe katika akili zako unafikiri ni sababu za ujambazi ndizo zilisababisha mkasa ulio mpata, hadi akapoteza uhai?

Wewe huna hadhi ya "kunipa nafasi" juu ya lolote. Nikiona ujinga au upumbavu kama unavyo uonyesha hapa ni lazima nitakufahamisha hivyo.
 
 
Sasa huoni unavyo zidi kuthibitisha upumbavu nilio sema unakuhusu?
Hata hujui mwenye wajibu na jukumu la kuthibitisha hayo unayo taka mimi niyathibitishe ili kusiwepo na dhana hiyo iliyo pelekea mzee wa watu kupoteza maisha yake?
Wewe katika akili zako unafikiri ni sababu za ujambazi ndizo zilisababisha mkasa ulio mpata, hadi akapoteza uhai?

Wewe huna hadhi ya "kunipa nafasi" juu ya lolote. Nikiona ujinga au upumbavu kama unavyo uonyesha hapa ni lazima nitakufahamisha hivyo.
Sasa nikijibu kama mpuuzi au? Hizo nadhalia zako inabidi sasa utupe ukweli wake tofauti na hapo wewe ni mpuuzi tu.
 
Sasa nikijibu kama mpuuzi au? Hizo nadhalia zako inabidi sasa utupe ukweli wake tofauti na hapo wewe ni mpuuzi tu.
Hadi hapa huelezi mzee Kibao aliuliwa kwa sababu zii, uumbavu wako uo hao.
 
Hadi hapa huelezi mzee Kibao aliuliwa kwa sababu zii, uumbavu wako uo hao.
Heshima sio gharama....mimi najua Mzee Kibao aliuwawa na watekaji.Sasa wewe ebu tuambie aliuwawa kwasababu zipi?
 
Heshima sio gharama....mimi najua Mzee Kibao aliuwawa na watekaji.Sasa wewe ebu tuambie aliuwawa kwasababu zipi?
Sasa angalia unacho andika hapa.
"Watekaji" wasio kuwa na sababu ya kumteka mtu na kumuua?
Mule mwenye lile basi alimwo ondolewa marehemu, hao watekaji walimchukua tu yeye kwa bahati mbaya tu kwake na kumteka bila ya sababu yoyote?
Na hao watekaji, hasa, ni akina nani hao ambao hata vyombo vya usalama hawataki kufuatilia matendo yao ya utekaji?
Hali ya nchi hii nayo imekuwa kama ile iliyo fikiwa kule Haiti; ambako makundi ya majambazi tu hujichukulia mamalaka ya kufanya chochote wanacho taka kufanya wao?

"Heshima sio gharama...", ni kitu gani cha kuheshimika hapa?
 
Sasa angalia unacho andika hapa.
"Watekaji" wasio kuwa na sababu ya kumteka mtu na kumuua?
Mule mwenye lile basi alimwo ondolewa marehemu, hao watekaji walimchukua tu yeye kwa bahati mbaya tu kwake na kumteka bila ya sababu yoyote?
Na hao watekaji, hasa, ni akina nani hao ambao hata vyombo vya usalama hawataki kufuatilia matendo yao ya utekaji?
Hali ya nchi hii nayo imekuwa kama ile iliyo fikiwa kule Haiti; ambako makundi ya majambazi tu hujichukulia mamalaka ya kufanya chochote wanacho taka kufanya wao?

"Heshima sio gharama...", ni kitu gani cha kuheshimika hapa?
Sasa hizi armchair thinking unaona ni sawa.Kwamba kwakua alitekwa peke yake kwenye bus basi sababu za mauaji yake niza kisiasa?
 
Sasa hizi armchair thinking unaona ni sawa.Kwamba kwakua alitekwa peke yake kwenye bus basi sababu za mauaji yake niza kisiasa?
Wewe usiye tumia "arm chair" nimekwisha kupa fursa toka mwanzo ueleze unachojuwa wewe kuhusu huo mkasa wa kusikitisha ulio mpata Mzee Kibao; lakini umebaki ukibabaika tu bila ya kusema lolote la kueleweka.
 
Back
Top Bottom