Nyani Ngabu na Yo Yo enzi zao...

Status
Not open for further replies.
Haaa haaa haa,
Kumbe nyani ngadu ndio huyu lol!
Nimefurahi kumfahamu hata km ni yule wa longtime kitambo!
 
Picha ya pili ya NN imeniacha hoi kweli no tabasamu hakuna mtu kucheka na mtu...full ukauzu:lol:
 
Fashion kweli zinaenda na kurudi! Nna trouser kaa ya Yo Yo hapo juu, na nikiivaa najiona bingwa mie! Lol
 
ha ha hizi picha sijui kwa hisani ya nani kweli old iz gold .wakali wa kipindi hicho
 
Fashion kweli zinaenda na kurudi! Nna trouser kaa ya Yo Yo hapo juu, na nikiivaa najiona bingwa mie! Lol

halafu Gee NN kavaa nini? hiyo 'kaptula' mbona inanitatiza...lol

YoYo si haba...heheheee
 
wakati huo unaandika baarua kwa Mupenzi unaiba sabuni ya dada unapaka, akiifungua tuu, ohhh manukato... nakwambia atanusa hiyo barua miezi miwili hata kama harufu imeshapotea......hahahahaha

Santana!!! wee acha tuu
 
Hahaha enzi hizo mtu anapiga picha na jembe au baiskeli au pikipiki studio
wakati huo watu wanapenda vitu vyao bana......ukiwa na demu mpya lazima upige nae picha,
ukinunua jembe chapa jogoo lazima upige nalo picha,
ukinunua radio cassete - memory Q lazima upige nayo picha.
 
Fashion kweli zinaenda na kurudi! Nna trouser kaa ya Yo Yo hapo juu, na nikiivaa najiona bingwa mie! Lol
Gaijin nina zawadi yako.............nimekununulia Ayu ya mkebe, nambie nitakupataje nikupe manukato yako!!
 
Hizi nguo inaonekana wamezikuta studio, hawakwenda nazo hizi......
20z8uvt.jpg
 
Hahahahahahaaaaaaa kweli tumetoka mbali naukumbuka wimbo wa sugu ft king kiki-hapo zamani::::Lazima dingi avae bugaluu na raison ndo anaonekana mjanja na lazima apige pic ameshika radio,kiwanja enzi hizo alinunu sh.200/= mikocheni ni mikengeja na maji tupu
,sayansi k/nyama kote tunaokota korosho,Haider plazza,mayfair plaza,darvilla kote wanalima mpunga,oysterbay masaki kote wanakaa wamakonde,mji ulikua unaishia karume tu,posta mpya kulikuwa na mibuyu tu pale immigration,::invisible kama una pics za dar za zamani wakati pori tuwekee
 
wakati huo watu wanapenda vitu vyao bana......ukiwa na demu mpya lazima upige nae picha,
ukinunua jembe chapa jogoo lazima upige nalo picha,
ukinunua radio cassete - memory Q lazima upige nayo picha.

Hii imenikumbusha mbali..na ilikuwa ukipiga picha jumapili umetinga viwalo, hadi baada ya karibia mwezi ndo unapata picha zimesafishwa na negative yake...ukimwomba picha mtoto wa kike anakupa negative ukasafishe....daaamn
 
halafu Gee NN kavaa nini? hiyo 'kaptula' mbona inanitatiza...lol

YoYo si haba...heheheee

Hiyo ndo knickerbocker ya enzi hizo! "kaboka" silo "panjabi" silo wala "pajama" silo!

Hahahah....walau la Yo Yo linakubalika kimtindo :]
 
Gaijin nina zawadi yako.............nimekununulia Ayu ya mkebe, nambie nitakupataje nikupe manukato yako!!

Memo

Inaonyesha unayatamani sana! How much will a vintage bottle of Ayu sell for?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom