Nyama ya Nguruwe: Ni kweli ina vimelea hatari vinavyosababisha ugonjwa wa ini?

chivala

JF-Expert Member
Apr 13, 2021
772
2,333
Wana JF nawasalimu,

Wakuu nikiachana kwa upande wa dini zetu ISLAMIC na SABATO-CHRISTIAN uhalali na haramu wa NGURUWE, kuna mambo mengine yanayosemwa kuhusu nyama ya nguruwe.

Mimi sijui kama ni uzushi au ni kweli kwa hivyo nawaomba wana jamvi watufafanulie sifa hizi nzuri na mbaya zinazo bebeshwa nyama ya nguruwe.

Nyama ya nguruwe inasemekana ni tamu kuliko nyama zozote zile duniani. Ni kweli?

Nyama ya nguruwe inasemekana ina vimelea khatari vinavoweza kumsababishia mlaji ugonjwa wa ini. Ni kweli?

View attachment 1883744View attachment 1883745View attachment 1883747
 
Kisayansi sijui kama imethibitishwa ya kwamba mnyama asiye cheua ana madhara na yule ambaye hajapasuka kwato uharamu au unajisi wake unasababishwaje na kutokupasuka kwato. Wala samaki asiye ma magamba/mapezi hiyo inamsababishiaje yeye kuwa haramu

Japo nguruwe sijawahi kula wala bata sijawahi kumtia mdomoni.

Ni hayo tu kwa sasa
 
Nyama ya nguruwe inasemekana ni tamu kuliko nyama zozote zile duniani. Nikweli?
Kilicho kitamu kwa mtu A, Chaweza kuwa si kitamu kwa mtu B; Hapo hakuna mjadala

Nyama ya nguruwe inasemekana ina vimelea khatari vinavoweza kumsababishia mlaji ugonjwa wa ini. ni kweli?
Ndio ni kweli, Soma kwa kina hapa chini👇

1628324299265.png


Zifahamu faida, madhara ya kula ‘kitimoto’
Nguruwe ni mnyama anayeliwa na asilimia 38 ya watu wote duniani ambapo walaji wake wakubwa ni nchi Magharibi na Kusini mwa Asia, Ulaya, kusini mwa Jangwa la Sahara, America ya Kaskazini na Kusini, na eneo la Oceania.

Faida za nyama ya nguruwe kitaalam:

1. Ina vitamin muhimu katika mwili wa binadamu; ambazo ni B1, B6 and B12

2. Ina madini ya chuma ambayo husaidia kuimarisha mifupa.

3. Inaimarisha ngozi yako na kuifanya iwe laini.

4. Ina madini ya magnesium kwa wingi yenye faida kwa binadamu.

5. Ina protein ya kutosha inayosaidia ulinzi wa mwili.

6. Ina mafuta yanayotoa nguvu mwilini.


Madhara ya kula nyama ya nguruwe:
Licha ya faida zilizotajwa hapo juu, pia kuna hasara ya kutumia nyama hii ambayo ina sumu ya carcinogen inayosababisha kansa.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani ( WHO) na The International Agency for Research on Cancer!! utafiti unaonyesha kuwa ukila nyama hiyo kila siku gramu 50 uwezekano kupata kansa unaongezeka kwa asilimia 18.

Pia inasababisha homa iitwayo Swine Flu kwa binadamu ambayo inatokana na virusi vinavyosababisha mafua kwa binaadamu. Kwa mujibu wa utafiti uliofanyiwa na Centers for Disease Control and Prevention inaonyesha virusi vya Influenza H1N1 na H3N2 vinavyotokana na kiti moto, kusababisha maradhi ya mlipuko kwa nchi za bara la Amerika.

Vilevile, nyama ya nguruwe ina minyoo wajulikanao kwa jina la trichinella worm ambao ni vigumu kufa kwa joto hata la Centigrade 100.

Utafiti uliofanyiwa na WHO mwaka 1988, ulionyesha kitimoto iliyopiwa kwa joto la C. 104, asilimia 52.37 ya trichinella worm huwa wanabaki hai.

Wadudu hao wakiingia mwilini mwa binadamu husababisha ugonjwa ujulikanao kwa jina la trichinosis; ambao huwa na dalili zifuatazo:

(i) Homa kali
(ii) Kichwa kuuma
(iii) Kukosa nguvu
(iv) Maumivu ya nyama za mwili
(v) Macho kuwa rangi ya pink (conjunctivitis)
(vi) Kuvimba uso na kope
(vii) Kudhurika na mwanga
(viii) Kitimoto ina virus aina ya Hepatitis E virus (HEV) ambaye husababisha homa ya ini aina E

Wadudu wengine katika kitimoto ni:
(i) Virusi vya Nipah virus
(ii) Menangle virus
(iii) Viruses katika kundi la Paramyxoviridae
Wote hao huwa wana madhara kwa binadamu

Nyama ya nguruwe husababisha maradhi yanayokianza na madawa yenye kupambana na vimeleo vya magonjwa, yaani ‘Antibiotics’ na kwa mujibu wa WHO nyama ya hiyo pia ina minyoo aina ya Taenia solium.

Minyoo hii hutokana kutopikwa vizuri nyama hiyo. Minyoo hii ikiingia mwili wa binadamu husababisha matatizo ya mfumo wa fahamu (central nervous system) iitwayo neurocysticercosis, na kusabisha kifafa.

Asimilia 3 ya wagonjwa wenye kifafa huwa ni wale ambao hushambuliwa na minyoo hii ipatikanayo kwenye nguruwe.

Watu milioni 50 duniani wanaopata kifafa huwa ni walaji wazuri wa nguruwe.

Chanzo: globalpublishers
 
Kilicho kitamu kwa mtu A, Chaweza kuwa si kitamu kwa mtu B; Hapo hakuna mjadala


Ndio ni kweli, Soma kwa kina hapa chini👇

View attachment 1883750

View attachment 1873548

Zifahamu faida, madhara ya kula ‘kitimoto’

Nguruwe ni mnyama anayeliwa na asilimia 38 ya watu wote duniani ambapo walaji wake wakubwa ni nchi Magharibi na Kusini mwa Asia, Ulaya, kusini mwa Jangwa la Sahara, America ya Kaskazini na Kusini, na eneo la Oceania.

Faida za nyama ya nguruwe kitaalam:

1. Ina vitamin muhimu katika mwili wa binadamu; ambazo ni B1, B6 and B12

2. Ina madini ya chuma ambayo husaidia kuimarisha mifupa.

3. Inaimarisha ngozi yako na kuifanya iwe laini.

4. Ina madini ya magnesium kwa wingi yenye faida kwa binadamu.

5. Ina protein ya kutosha inayosaidia ulinzi wa mwili.

6. Ina mafuta yanayotoa nguvu mwilini.


Madhara ya kula nyama ya nguruwe:

Licha ya faida zilizotajwa hapo juu, pia kuna hasara ya kutumia nyama hii ambayo ina sumu ya carcinogen inayosababisha kansa.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani ( WHO) na The International Agency for Research on Cancer!! utafiti unaonyesha kuwa ukila nyama hiyo kila siku gramu 50 uwezekano kupata kansa unaongezeka kwa asilimia 18.

Pia inasababisha homa iitwayo Swine Flu kwa binadamu ambayo inatokana na virusi vinavyosababisha mafua kwa binaadamu. Kwa mujibu wa utafiti uliofanyiwa na Centers for Disease Control and Prevention inaonyesha virusi vya Influenza H1N1 na H3N2 vinavyotokana na kiti moto, kusababisha maradhi ya mlipuko kwa nchi za bara la Amerika.

Vilevile, nyama ya nguruwe ina minyoo wajulikanao kwa jina la trichinella worm ambao ni vigumu kufa kwa joto hata la Centigrade 100.

Utafiti uliofanyiwa na WHO mwaka 1988, ulionyesha kitimoto iliyopiwa kwa joto la C. 104, asilimia 52.37 ya trichinella worm huwa wanabaki hai.

Wadudu hao wakiingia mwilini mwa binadamu husababisha ugonjwa ujulikanao kwa jina la trichinosis; ambao huwa na dalili zifuatazo:

(i) Homa kali
(ii) Kichwa kuuma
(iii) Kukosa nguvu
(iv) Maumivu ya nyama za mwili
(v) Macho kuwa rangi ya pink (conjunctivitis)
(vi) Kuvimba uso na kope
(vii) Kudhurika na mwanga
(viii) Kitimoto ina virus aina ya Hepatitis E virus (HEV) ambaye husababisha homa ya ini aina E

Wadudu wengine katika kitimoto ni:
(i) Virusi vya Nipah virus
(ii) Menangle virus
(iii) Viruses katika kundi la Paramyxoviridae
Wote hao huwa wana madhara kwa binadamu
View attachment 1873549


Nyama ya nguruwe husababisha maradhi yanayokianza na madawa yenye kupambana na vimeleo vya magonjwa, yaani ‘Antibiotics’ na kwa mujibu wa WHO nyama ya hiyo pia ina minyoo aina ya Taenia solium.

Minyoo hii hutokana kutopikwa vizuri nyama hiyo. Minyoo hii ikiingia mwili wa binadamu husababisha matatizo ya mfumo wa fahamu (central nervous system) iitwayo neurocysticercosis, na kusabisha kifafa.

Asimilia 3 ya wagonjwa wenye kifafa huwa ni wale ambao hushambuliwa na minyoo hii ipatikanayo kwenye nguruwe.

Watu milioni 50 duniani wanaopata kifafa huwa ni walaji wazuri wa nguruwe.

Chanzo: globalpublishers

Hayo madhara uliyoyasema, yapo kwenye karibu kila aina ya nyama! Infact, white meat (kama ya nguruwe, kuku na samaki) inatajwa kua afadhali kiafya kuliko red meat (kama ya ng'ombe na mbuzi) na ndio maana nchi zilizoendelea wanakula sana nguruwe kuliko ng'ombe. Mengine ni kutishana tu, na ndio maana ili kukwepa kabisa hayo madhara kuna watu wameamua kutokula kabisa nyama (vegeterians) .
 
chemsha achemke then aanze kujikaanga utakuja nishukuru badae

1628325865995.png
 
Hayo madhara uliyoyasema, yapo kwenye karibu kila aina ya nyama! Infact, white meat (kama ya nguruwe, kuku na samaki) inatajwa kua afadhali kiafya kuliko red meat (kama ya ng'ombe na mbuzi) na ndio maana nchi zilizoendelea wanakula sana nguruwe kuliko ng'ombe. Mengine ni kutishana tu, na ndio maana ili kukwepa kabisa hayo madhara kuna watu wameamua kutokula kabisa nyama (vegeterians) .
Mkuu lakini kwanini katika white meats zote, aandamwe kitimoto tu na msururu wa madhara yake, lakini nyama nyingine(white meats) hazisemwi lolote?
 

View attachment 1883766
Ikishafikia hapa dah😅 ni hatari
 
Mkuu lakini kwanini katika white meats zote, aandamwe kitimoto tu na msururu wa madhara yake, lakini nyama nyingine(white meats) hazisemwi lolote?

Ni kwasababu ya itikadi za kidini mkuu. Kuku na samaki hawana makandokando ya kidini ndio maana huwezi kuwasikia wakisemwa.
 
Back
Top Bottom