Nyama choma yapigwa marufuku UDSM

Nyama choma yapigwa marufuku UDSM

ohhh.jpg

Mbona title ya post yako na content ya post haviendani?

Title inasema nyama choma imepigwa marufuku udsm, press release ya udsm inaonyesha ile nyama choma festival ndo haitafanyika udsm tena.

Ukisema nyama choma imepigwa marufuku udsm bila kuweka neno festival inaleta picha kwamba hata pale cafeteria nyama choma haitauzwa tena.
 
cc wenyew wanafunz tunapenda kula bata xo kwetu barida tu!!!
imetufanya tumeopoà watt wapy wakishua
 
LGDAA...............
Local gov district auth act
 
hawa jamaa wa nyaama choma wana akili sana

walipoanza pale sayansi wakafanya utafiti wakakuta ni magari ya mabinti wa chuo ndio wanaojazana pale

wakakaa na jamaa wa vyuoni wanawarahisishaje maisha mlimani wakaingia chaka mwaaaa....

aisee nilipita mwaka jana aisee nihatariii...yaani ukisema ngoja nikojoe pembeni ya gari kidogo tu unasikia sauti kama

pakaaa aaaah aaaah oooohhh so sweeeettt nkasema paka gani huyu anaongea nilishindwa kukojoa na kukimbia kabla

ya kurealise ni jamaa alikuwa anajivunia amri ya sita aisee
 
hawa jamaa wa nyaama choma wana akili sana

walipoanza pale sayansi wakafanya utafiti wakakuta ni magari ya mabinti wa chuo ndio wanaojazana pale

wakakaa na jamaa wa vyuoni wanawarahisishaje maisha mlimani wakaingia chaka mwaaaa....

aisee nilipita mwaka jana aisee nihatariii...yaani ukisema ngoja nikojoe pembeni ya gari kidogo tu unasikia sauti kama

pakaaa aaaah aaaah oooohhh so sweeeettt nkasema paka gani huyu anaongea nilishindwa kukojoa na kukimbia kabla

ya kurealise ni jamaa alikuwa anajivunia amri ya sita aisee

aiseee nyama choma
 
ukipiga ya mchemsho unga na hiyo mambo aisee ngoma

inogile sanaaaaa

10275920_10204738936807430_9220850908598304522_n.jpg
 
Back
Top Bottom