Nyama choma yapigwa marufuku UDSM

Nyama choma yapigwa marufuku UDSM

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,899
Reaction score
37,699
ohhh.jpg
 
hahahha...ndio nature ya wala nyama choma..????/
 
Kuna geti lipo katikati ya chuo, latokea barabara ya Sam Nujoma...sijui kwanini huwa halitumiki kwa public cars... Labda wanasubiri "mdhungu" awaambie kuwa walitumie wakati wa crisis kama hizo kupunguza jam!
 
...bora wamegundua walikuwa wamepotea njia! "siku hizi maeneo mengi ya taasisi za umma yamegeuzwa kuwa viwanja vya kufanyia sherehe za watu binafsi; harusi, n.k" mfano; Karimjee Hall, Nyumba ya Makumbusho ya taifa, tena ni karibia na Ikulu' kila mwisho wa juma kuna fanyika sherehe za watu binafsi' ni kelele mtindo mmoja mpaka usiku wa manane".
Viongozi waliopewa mamlaka ya kusimamia maeneo hayo wana jineemesha kwa mapato yanayopatika, kana kwamba ni vitega uchumi vyao. "mwisho wa siku tunakuja kuambiwa tukachangie fedha za maabara!"
 
...walikuwa wapi siku zote, qatu wameshapiga hela ndo wanajidai wanakataza, hii ni udhaliloshaji wa maeneo yanayotoa taaluma Tz, hasa UDSM

Hawajachelewa coz hii ni ya pili kufanyika hapo..ya kwanza ilikua September this year...za nyuma zilikua viwanja vya posta kijitonyama
 
on top of that condom kibao zimeokotwa kwenye parking watu kweli walikula nyama ahahahahaha

hizo ndizo zilizowafungasha virago vya kwaheri .... ...walimukotea viroba kwa viroba wakampelekea mkuu wa chuo mbaya vingi vilikuwa na damu kuonyesha wahusika walikuwa ndani ya siku zao na kutokana na maisha bora kwa kila mtanzania kila mtu apate haja za moyo wake akukuwa na jinsi wakagaiana kaama ilivyo

poleni sana mngekuwa hata mnaziweka kwenye vile vipochi
vyenu kusingekuwa haya ...lohhh hapo tena sijui inabidi mwende leaders ama mje

TOP GARAGE
 
hizo ndizo zilizowafungasha virago vya kwaheri .... ...walimukotea viroba kwa viroba wakampelekea mkuu wa chuo mbaya vingi vilikuwa na damu kuonyesha wahusika walikuwa ndani ya siku zao na kutokana na maisha bora kwa kila mtanzania kila mtu apate haja za moyo wake akukuwa na jinsi wakagaiana kaama ilivyo

poleni sana mngekuwa hata mnaziweka kwenye vile vipochi
vyenu kusingekuwa haya ...lohhh hapo tena sijui inabidi mwende leaders ama mje

TOP GARAGE

za masiku mpwa:
 
hizo ndizo zilizowafungasha virago vya kwaheri .... ...walimukotea viroba kwa viroba wakampelekea mkuu wa chuo mbaya vingi vilikuwa na damu kuonyesha wahusika walikuwa ndani ya siku zao na kutokana na maisha bora kwa kila mtanzania kila mtu apate haja za moyo wake akukuwa na jinsi wakagaiana kaama ilivyo

poleni sana mngekuwa hata mnaziweka kwenye vile vipochi
vyenu kusingekuwa haya ...lohhh hapo tena sijui inabidi mwende leaders ama mje

TOP GARAGE

What if hizo damu zilikua za bikra kutolewa Mpwa
 
Seriously. ???? Watu bana....
unajua pale kuna watu walienda na familia na wapenzi wao officiall ila kuna mabazazi wachache walioenda na michepuko na wengine waliokuwa wamepigwa vibuti na watoto wa chuo wakatake advantage kuwapata kwa kuwapa offer hao ndio wameharibu
 
Back
Top Bottom