Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,390
- 5,310
- Thread starter
- #21
Alafu kumbe Nyalandu alimshinda Lisu kwenye kura za kamati kuu.Hahaahaaa haa! Mbona hata huko alikokwenda, wapo wengi tu walioshangilia yaliyomsibu mzee baba?
Kama ni kuwakimbia walioshangilia limo kwenye agenda zake, basi hata huko alikokwenda akae mkao wa kuondoka.