Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,980
- 13,630
Kwa nini asikae kimya tu na yakapita? Shauri yake wakianza kufukua makaburi.
Atakuwa kwanza yeye.
Atakuwa kwanza yeye.
Waliokuwa wanashangilia Lisu kupigwa risasi wao vipi?Kwa hili nakubaliana na Nyalandu.
Chadema walikosa ubinadamu.
Kwahiyo ubinadamu ni kumpoteza Ben Sanane, Ezron Gwanda na Alphonce Mawazo!Kwa hili nakubaliana na Nyalandu.
Chadema walikosa ubinadamu.
ni afadhali lissu kuna hoja,ingawa sina kumbukumbu kama kuna mtu alionyesha kufurahi,bali kila mtu alikaa kimya asikemee wala kitia neno.Mbowe alivunjika CCM wakiwa bungeni ikawa furaha kwao, wakamnanga sana, tundu lissu alipigwa risasi ikawa burudani kwao na matibabu akanyimwa.
Sasa huo ubinadamu mnataka utoke pande moja tu au
lakini anakubali Mungu alitoa zawadi kwa watz?