Sodoku Myebusi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,304
- 2,996
Kuna watu walizaliwa wapuuzi. Nyalandu ni mtanzania. Arusha ipo Tanzania. Hata angekuwa ni mbunge wa Kigoma kama ameenda kusaidia watu wa Arusha huo ndo moyo tunaotaka.mtu huyu anayehoji kuwa arusha nyalandu kafuata nini ana akili timamu kweli? Hawa ndo wanaofoji vyeti. Hivi akiunguliwa moto nyumbani kwake akaja mtu toka mtaa wa tano kusaidia kuzima atauliza huyu mtu amefuata nini huku?si ataonekana taahira? Hawa watu wa namna hii jamaa mmoja Guru Master huwa anashangaa kwa nini hawakuondoka na mafuriko miaka ile ya gharika.