Kwanza hiyo kazi imefanywa na wale wazungu watatu na hilo shirika ndio limewasafirisha.
Nyalandu anatajwa kusaidia tu kuishawishi serikali kutoa passport lakini kazi kubwa imefanywa na wale wazungu watatu ambao ndio waliwatoa wale watoto kutoka kwenye lile gari lililopata ajali(wreckage) na kisha kuanza mipango ya kuwahamishia US kwa matibabu zaidi.
Sio maneno yangu haya na kwa ushahidi fungua hii link hapa chini:
Iowan missionaries help to save 3 kids in Tanzania bus crash
Yeye tunaweza kumshukuru kwa kuwa kiungo tu kati ya serikali na wasamaria hawa.