bahati mbaya
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 578
- 193
Hongera sana kwa kupata mchumba. Mungu akufikishe katika matarajio yako.
Mkuu kwanini unasema hata wewe una dread? Kwan ni muhimu kua na dread na wao wanapenda watu wenye dread?Hata mimi ni dread so ni advantage kwao
MwehuNilidhani unaakili huna badala ya kudai pole una sema ujinga ndio maana hamuendelei na ray anasemaga pumbavuuuu mina sema hundreads times.
Hongera sana (kama ni kweli), kama wewe ni muumini wa kanisa katoliki, basi nakuombea Mt. Martine De Pores awe na wewe, (Ni siku yake ya kumbukumbu kikanisa)Wajamani namshukuru Mungu,
Kwa sababu ya mengi.
Niliteseka sana kupata mwenzi wa maana kabisa.
Humu nimeachwa mara kibao wengine wananiblock kisa eti nawasumbua sijakuwa ila leo namshukuru Mungu kwa maana leo ndio imekuja kutolewa posa .
Sio wa jf wala wanini ni mzungu amenipunguzia machungu ni galfa ila na shukuru sana leo naitwa mchumba wa mtu.
Na mwezi ujao tarehe 3/11/2018 naolewa asanteni kwa wote mliojitokeza.
Asanteni muwe na wakati mwema
umewaza kama mimi,Mkuu nasikia wanawake hawapendaniHongera sana sister kila la heri..
Ila kuna baadhi ya madada humu (siwezi wataja) sidhani kama coment zao utaziona maana tayari roho za husda zimawauma
madam kama uko hivi, mtaani huwezi kupata mme hasa sisi BLACK PEOPLE IN THE NEW WORLD.Samahani lakiniMtaongea kama mazuzu yasiyona akili mnataka mtu awape baground eh
Eti ilikuwa hivi vile pumbavuuuu
Nyiw humu ndio mtachunwa na malaya wakikuchoka mtatupwa mitaroni sio kama uchafu ni kama mizoga hamjui kwa sasa mtu mwanaume mweusi kwangu hajui mapenzi naananuka shombo kali hata juzini likuwa nataka kutapika nilivyoseviwa na kima mwenye dudu kananuka naphyumu za bei chee hata maiti ukimpilizia anaamka kupinga.
kuonesha msisitizo sio?,nimecheka aiseeHapo mzungu ungebold
Ahahaaa ngoja nishone sareMoney Penny,sky eclats,miss natafuta na demiss kama nawaona vile mnavyoupita uzi huu kwa misonyo.pamoja na wanawake wote wa jf njooni mmpongeze mwenzenu aisee
kuwa mpole nauli ya kwenda finland huna labda sare utavaa siku ya kumuaga pale CHATO INTERNATIONAL AIRPORTAhahaaa ngoja nishone sare
Inshallah umeongea jambo la kheri ndugu yangu asante kwa maneno yenye faraja na busara.Money Penny,sky eclats,miss natafuta na demiss kama nawaona vile mnavyoupita uzi huu kwa misonyo.pamoja na wanawake wote wa jf njooni mmpongeze mwenzenu aisee
Mpenzii asante kwa sare maombi th yanatosha .Ahahaaa ngoja nishone sare
Kumbe unaandikiwa maneno ya kheri halafu unanipondea tena nini shida???madam kama uko hivi, mtaani huwezi kupata mme hasa sisi BLACK PEOPLE IN THE NEW WORLD.Samahani lakini
Wala mimi ni mlutheri na mume mpaganiHongera sana (kama ni kweli), kama wewe ni muumini wa kanisa katoliki, basi nakuombea Mt. Martine De Pores awe na wewe, (Ni siku yake ya kumbukumbu kikanisa)
pamoja sana MkuuInshallah umeongea jambo la kheri ndugu yangu asante kwa maneno yenye faraja na busara.
Ubarikiwe thanks
Wazungu wanapenda dread sana tena kwa wasichanaMkuu kwanini unasema hata wewe una dread? Kwan ni muhimu kua na dread na wao wanapenda watu wenye dread?
Wajamani namshukuru Mungu,
Kwa sababu ya mengi.
Niliteseka sana kupata mwenzi wa maana kabisa.
Humu nimeachwa mara kibao wengine wananiblock kisa eti nawasumbua sijakuwa ila leo namshukuru Mungu kwa maana leo ndio imekuja kutolewa posa .
Sio wa jf wala wanini ni mzungu amenipunguzia machungu ni galfa ila na shukuru sana leo naitwa mchumba wa mtu.
Na mwezi ujao tarehe 3/11/2018 naolewa asanteni kwa wote mliojitokeza.
Asanteni muwe na wakati mwema
Hapendi tigo wala anapenda kile mwanamke anachopaswa kupewa so utajibeba
namaanisha una hasira sana na unapenda kumjibu mtu vibaya pale anapokukera,madam wanaume wa bongo hawataki haya mambo ndio maana nikasema ni vigumu kupata black man maana tunapenda kunyenyekewa.Kumbe unaandikiwa maneno ya kheri halafu unanipondea tena nini shida???
Acha hasira best mume nimeshampata utabakia macho kodoo