Nuru imeniwakia

Nuru imeniwakia

Nahamu sana harusi ifikie nipewe raha za dunia sio zenu za kunitesa nimeteswa mimi jamani nimeteswaa humu 😢😢😢😢mpaka nimechoka kabisa 😩😩😩😩😩😩 ila nyota ilipo ng'ara eh bwana eh nimefurahi sana.
Inaonekana kuna sehemu ulikosea
 
Gauni zuri nimechagua champaigne na mzungu wangu anavaa kiarabuu nguo zake i like it kama ali kiba alivyovaa .
Napia atavaa mpaka zile mijambia napenda sana hiyo staili.
Wajameni mtajijuuuu humuu mnaotesa watu roho navisimu vya kuslide nakutouch.
Maisha si kufunga ndoa na kuvaa vazi zuri,bali baada ya kufunga ndoa ndio maisha halisi uanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom