Mrigariga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,761
- 1,633
Dada zetu hawa wakiolewa na Mzungu wanaona kama nyota ya jaha imewashukia. Lakini mimi nikiwatizama wake wengi wa wazungu naona kama hivi.Tunatatizo sana sie binadamu, yaani simply mzungu ndo unaona umeshinda bingo? Kazi ipo