Nuru imeniwakia

Nuru imeniwakia

Tunatatizo sana sie binadamu, yaani simply mzungu ndo unaona umeshinda bingo? Kazi ipo
Dada zetu hawa wakiolewa na Mzungu wanaona kama nyota ya jaha imewashukia. Lakini mimi nikiwatizama wake wengi wa wazungu naona kama hivi.
 
Yaani unaingia ghafla kwenye uhusiano na mzungu bila hata kumfahamu? Kuwa makini utaenda kunyang'anywa passport ukawekwe porn star. Nishaona sana hili.
 
Huyu Kama kweli anaolewa na mzungu wa ufini ndani ya mwezi inabidi awe makini sana. Hususan kama hii ndoa itafanyikia huko kwao. Dada zetu wa Afrika magharibi wanapata tabu sanaaaa. Wanatiwa Hadi na mbwa kwa tamaa zao za fisi. Siku hizi kuna biashara ya viungo pia shauri yako. Unaweza kujiona umeshida bingo ukaishia kwenye pipa la taka mbele huko

Hata hivyo kila la heri.
 
Huyu Kama kweli anaolewa na mzungu wa ufini ndani ya mwezi inabidi awe makini sana. Hususan kama hii ndoa itafanyikia huko kwao. Dada zetu wa Afrika magharibi wanapata tabu sanaaaa. Wanatiwa Hadi na mbwa kwa tamaa zao za fisi. Siku hizi kuna biashara ya viungo pia shauri yako. Unaweza kujiona umeshida bingo ukaishia kwenye pipa la taka mbele huko

Hata hivyo kila la heri.
Mtaongea kama mazuzu yasiyona akili mnataka mtu awape baground eh
Eti ilikuwa hivi vile pumbavuuuu
Nyiw humu ndio mtachunwa na malaya wakikuchoka mtatupwa mitaroni sio kama uchafu ni kama mizoga hamjui kwa sasa mtu mwanaume mweusi kwangu hajui mapenzi naananuka shombo kali hata juzini likuwa nataka kutapika nilivyoseviwa na kima mwenye dudu kananuka naphyumu za bei chee hata maiti ukimpilizia anaamka kupinga.
 
Yaani unaingia ghafla kwenye uhusiano na mzungu bila hata kumfahamu? Kuwa makini utaenda kunyang'anywa passport ukawekwe porn star. Nishaona sana hili.
Mtaongea nyie mpaka bora unaongea kistaraabu
 
Wajamani namshukuru Mungu,
Kwa sababu ya mengi.
Niliteseka sana kupata mwenzi wa maana kabisa.
Humu nimeachwa mara kibao wengine wananiblock kisa eti nawasumbua sijakuwa ila leo namshukuru Mungu kwa maana leo ndio imekuja kutolewa posa .
Sio wa jf wala wanini ni mzungu amenipunguzia machungu ni galfa ila na shukuru sana leo naitwa mchumba wa mtu.
Na mwezi ujao tarehe 3/11/2018 naolewa asanteni kwa wote mliojitokeza.
Asanteni muwe na wakati mwema
Hapo mzungu ungebold
 
Hapo unaposema tena mzungu mhmhmhh inaonekana wewe ni gold digger an opportunist
 
Hapo unaposema tena mzungu mhmhmhh inaonekana wewe ni gold digger an opportunist
Kwani wewe hao wanaokukumbuka wakati washida nini au hao unaowaho gaga nini sio hata gold digger ni wanyonya damu kwa maana wanakupa presha na heartattack so wivu angalia usije ukakuuwa baki hapa tz uchunwe mpaka uzirai
 
Kwani wewe hao wanaokukumbuka wakati washida nini au hao unaowaho gaga nini sio hata gold digger ni wanyonya damu kwa maana wanakupa presha na heartattack so wivu angalia usije ukakuuwa baki hapa tz uchunwe mpaka uzirai
Umepata bwana tulia
 
Mtakapo anza kuliwa kiboga na hao wazungu\albino njoo tena utuombe ushauri

Bwana ukufanye utakavyo
 
Ndio waliniblock nilimpata mkaka humu ile tu tunataka kuonana akadai simpendi akaniblock mwingine hadi leo hajaj sijamwona.
Ila ndio maisha nimepata nanitatulia
Sasa nilimpenda huyo kaka sana aliyeniblock ila inaonyesha hakuwa mkweli.
Ila nadhani anasoma naolewa nyeupe sio cheusi kama yeye .
Hahahahaha cheupeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom