Nuru imeniwakia

Nuru imeniwakia

Na mzungu hadi kakutolea posa wewe ina maana kakupenda kama ulivyo sio ndio uanze kununua vipodozi ili ufanane nae utatimuliwa,
Ndio ilikuwa kama zali tu mtu nimepita zangu mahali nawao walikuwa kama group akataka apige picha kidogo akadondosha kitu hakikuwa cha dhamani ila nilihakikisha kapata ndio akafurahi akaniomba mawasiliano ndio hivyo nafurahia nyota imewaka nimefurahi sana.
 
Wajamani namshukuru Mungu,
Kwa sababu ya mengi.
Niliteseka sana kupata mwenzi wa maana kabisa.
Humu nimeachwa mara kibao wengine wananiblock kisa eti nawasumbua sijakuwa ila leo namshukuru Mungu kwa maana leo ndio imekuja kutolewa posa .
Sio wa jf wala wanini ni mzungu amenipunguzia machungu ni galfa ila na shukuru sana leo naitwa mchumba wa mtu.
Na mwezi ujao tarehe 3/11/2018 naolewa asanteni kwa wote mliojitokeza.
Asanteni muwe na wakati mwema
Aliyekwambia wazungu wanaoa nani?? Hapo kanunua papuchi akiichoka unatupwa kule..
 
Kaka yako niko hapa. Ukifika Finland usinisahau kunitonya mafursa ya huko.
Kila mmoja ndoto za kwenda mbele hazifi kamwe.
Hongera sana kwa new couple. Please sasa viporo vyote choma moto mjenge maisha na shem
 
Hongera sana sister kila la heri..
Ila kuna baadhi ya madada humu (siwezi wataja) sidhani kama coment zao utaziona maana tayari roho za husda zimawauma
Wajamani namshukuru Mungu,
Kwa sababu ya mengi.
Niliteseka sana kupata mwenzi wa maana kabisa.
Humu nimeachwa mara kibao wengine wananiblock kisa eti nawasumbua sijakuwa ila leo namshukuru Mungu kwa maana leo ndio imekuja kutolewa posa .
Sio wa jf wala wanini ni mzungu amenipunguzia machungu ni galfa ila na shukuru sana leo naitwa mchumba wa mtu.
Na mwezi ujao tarehe 3/11/2018 naolewa asanteni kwa wote mliojitokeza.
Asanteni muwe na wakati mwema
 
Aliyekwambia wazungu wanaoa nani?? Hapo kanunua papuchi akiichoka unatupwa kule..
Wewe sitaki madharau yako hapa mimi sio katoto kazuri ushindwaji wako wamaisha nanuksi na shida zakutooa .
Please mimi sio katoto kazuri nendeni mkachezee baikoko huko au baba na mama ukinijibu tena vibaya nakureport
 
ID yako ni husband seeker na kwa kuwa ushapata inamaana jf ndio basi tena hatukuoni coz nahisi ulikuja kuseek mume huku
 
Ina maana wewe hunitaki tena?
Ndo ushaniblock kama alivyofanyiwa mleta mada? Wee haya na mimi nitampata mchina nije nikudolishie hapa
Aisee, naona umeamua kunigeuzia kibao baada ya kunilamba mpaka block ya salamu
We sema tu ushapata Kamchina kako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom