Nuru imeniwakia

Nuru imeniwakia

Tunatatizo sana sie binadamu, yaani simply mzungu ndo unaona umeshinda bingo? Kazi ipo
Ndio ilikuwa kama zali tu mtu nimepita zangu mahali nawao walikuwa kama group akataka apige picha kidogo akadondosha kitu hakikuwa cha dhamani ila nilihakikisha kapata ndio akafurahi akaniomba mawasiliano ndio hivyo nafurahia nyota imewaka nimefurahi sana.
 
Husband seeker mimi nina ndoto za kuoa mtasha hivyo naomba kama huyo mumeo ana dada yake nipigie pande nimuoe wifi yako.

Kama ni rasta nitafuga nipo tayari.
 
na nuru ikizima utuambie basi .ni vizur binadamu tukishirikishana kwenye nyakat za shida na raha
 
Nasoma reply zako humu ili nijue kwanini ulikosa mwanaume mtaani ukaja Jf,nitatumia formula yamaskini akipata .....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom