Nuru imeniwakia

Nuru imeniwakia

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kinge utaweza kweli mama?maana baby nae akikasirika kumbembeleza kwa lugha yake nayo ni K.wish you happiness..
 
Kuw makini nasikia wazungu hawana najisi.
 
Wajamani namshukuru Mungu,
Kwa sababu ya mengi.
Niliteseka sana kupata mwenzi wa maana kabisa.
Humu nimeachwa mara kibao wengine wananiblock kisa eti nawasumbua sijakuwa ila leo namshukuru Mungu kwa maana leo ndio imekuja kutolewa posa .
Sio wa jf wala wanini ni mzungu amenipunguzia machungu ni galfa ila na shukuru sana leo naitwa mchumba wa mtu.
Na mwezi ujao tarehe 3/11/2018 naolewa asanteni kwa wote mliojitokeza.
Asanteni muwe na wakati mwema
Badili ID mkuu
 
Ndio waliniblock nilimpata mkaka humu ile tu tunataka kuonana akadai simpendi akaniblock mwingine hadi leo hajaj sijamwona.
Ila ndio maisha nimepata nanitatulia
Sasa nilimpenda huyo kaka sana aliyeniblock ila inaonyesha hakuwa mkweli.
Ila nadhani anasoma naolewa nyeupe sio cheusi kama yeye .
Haaaaa haaaaa!
 
Ndio waliniblock nilimpata mkaka humu ile tu tunataka kuonana akadai simpendi akaniblock mwingine hadi leo hajaj sijamwona.
Ila ndio maisha nimepata nanitatulia
Sasa nilimpenda huyo kaka sana aliyeniblock ila inaonyesha hakuwa mkweli.
Ila nadhani anasoma naolewa nyeupe sio cheusi kama yeye .
Utatuletea japo picha mkuu
 
Ndio waliniblock nilimpata mkaka humu ile tu tunataka kuonana akadai simpendi akaniblock mwingine hadi leo hajaj sijamwona.
Ila ndio maisha nimepata nanitatulia
Sasa nilimpenda huyo kaka sana aliyeniblock ila inaonyesha hakuwa mkweli.
Ila nadhani anasoma naolewa nyeupe sio cheusi kama yeye .
hahaa
 
namaanisha una hasira sana na unapenda kumjibu mtu vibaya pale anapokukera,madam wanaume wa bongo hawataki haya mambo ndio maana nikasema ni vigumu kupata black man maana tunapenda kunyenyekewa.
usinichukulie vibaya sina chuki na wewe Mkuu
Kweliii unasema ukweli
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kinge utaweza kweli mama?maana baby nae akikasirika kumbembeleza kwa lugha yake nayo ni K.wish you happiness..
Ni anajua english napia kiswahili anakijua so sina shida alikaa huku sana kuoana ilikuwa kama utani tu.
 
Wajamani namshukuru Mungu,
Kwa sababu ya mengi.
Niliteseka sana kupata mwenzi wa maana kabisa.
Humu nimeachwa mara kibao wengine wananiblock kisa eti nawasumbua sijakuwa ila leo namshukuru Mungu kwa maana leo ndio imekuja kutolewa posa .
Sio wa jf wala wanini ni mzungu amenipunguzia machungu ni galfa ila na shukuru sana leo naitwa mchumba wa mtu.
Na mwezi ujao tarehe 3/11/2018 naolewa asanteni kwa wote mliojitokeza.
Asanteni muwe na wakati mwema
Kama kweli uyasemayo ni kweli; naamini aliyekuoa kapata chombo kweli.
Maana umeongea kwa husia na inaonesha ulimhitaji mume kutoka moyoni.

Usije ukajisahau sasa, uwe mke bora usiwe mwanamke bora.
Kama unaona kakutoa aibu yako, muheshimu kwa kiwango cha juu ili naye aamini kweli kapata mke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom