Nuru imeniwakia

Nuru imeniwakia

Umeanza lini hiyo tabia ya kunifuatiliafuatilia? Kwani unanidai, iwe kujenga au kubomoa hayakuhusu, wewe si uliniblock sasa yanini kunichunguza
Aisee, naona unatamba baada ya kupata "NURU",
Ila usisahau kunishtua hiyo nuru ikiwa giza.
 
Congratulations dear, may the blessings of God be upon your side. May all the plans be as u wish, OMG can't wait to see ur marriage,,, hopefully it will be fantastic.,Mungu hajakuacha,God has His perfect time
 
Hongera kwa kupata hitaji lako,cha muhimu ni nafsi kuridhika na isiwe ni kwa sababu nimekataliwa na A au B ndio maana nimekubali kuwa na huyu. Mume/mke ni maisha,haijalishi anaishi wapi na harusi ilikuwa ya namna gani; kuhusu walioku-block nadhani labda hawakuwa tayari kwa ndoa,lakini pia bila wao kuku-block usingempata huyu uliyenaye sasa.
 
Lazima ujue kuwa wazungu wanatumia Airtel, Voda na tigo. Jiandae kisaikolojia!
 
Congratulations dear, may the blessings of God be upon your side. May all the plans be as u wish, OMG can't wait to see ur marriage,,, hopefully it will be fantastic.,Mungu hajakuacha,God has His perfect time
Asante mwaya nitajitahidi niwaletee picha nzuri
 
Ndio waliniblock nilimpata mkaka humu ile tu tunataka kuonana akadai simpendi akaniblock mwingine hadi leo hajaj sijamwona.
Ila ndio maisha nimepata nanitatulia
Sasa nilimpenda huyo kaka sana aliyeniblock ila inaonyesha hakuwa mkweli.
Ila nadhani anasoma naolewa nyeupe sio cheusi kama yeye .
Nimecheka kwa nguvu, kama nakuona dah wanaume wanatesa, sijuhi umempata vipi huyo.?
 
Wajamani namshukuru Mungu,
Kwa sababu ya mengi.
Niliteseka sana kupata mwenzi wa maana kabisa.
Humu nimeachwa mara kibao wengine wananiblock kisa eti nawasumbua sijakuwa ila leo namshukuru Mungu kwa maana leo ndio imekuja kutolewa posa .
Sio wa jf wala wanini ni mzungu amenipunguzia machungu ni galfa ila na shukuru sana leo naitwa mchumba wa mtu.
Na mwezi ujao tarehe 3/11/2018 naolewa asanteni kwa wote mliojitokeza.
Asanteni muwe na wakati mwema
Ndoto za kulewa balimi mchana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom