KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,143
- 32,857
Tukiweka ushabiki na mahaba pembeni ni dhahiri kuwa Yanga imepwaya kiuongozi na mipango yake mingi ipo kwenye makaratasi kuliko utekelezaji......
vipi huja dislike?Ni Mawazo yake
mwisho inang'ang'ania point za mezaniKasema kweli,ushaona wapi timu yenye malengo inasajili timu mpya kila mwaka?
Hii thread haina shida, zile za kijinga napigilia nyundo!vipi huja dislike?
Halafu wanaforce kutaka kuchukua ubingwa na timu ambayo haina combination ya kuelewekaKasema kweli,ushaona wapi timu yenye malengo inasajili timu mpya kila mwaka?
Wakae chini waitengeneze timu na mfumo mzuri wa uongozi, hii style ya kusajili wachezaji kwa pupa kutoka AS Vita na sijui wapi huko ili washindane na simba haiwasaidii sana.Tukiweka ushabiki na mahaba pembeni ni dhahiri kuwa Yanga imepwaya kiuongozi na mipango yake mingi ipo kwenye makaratasi kuliko utekelezaji......
ACHA kujizima data wewe, ulikua unapayuka sana jana kuhusu 20B za mo .. leo hii mchezaji wenu mwenyewe kawaumbua kuwa hamna uongozi unaoeleweka .. tulieni dawa iwaingie ..Kwahiyo tuseme nyie inawauma kuachana na Ntibazonkiza
Akacheze kwenye nafasi ya nani ?? ..Mchukueni.
Kwani Yanga alikuwa anacheza nafasi ya nani?Akacheze kwenye nafasi ya nani ?? ..
Yani amuweke nani benchi ?? .. ndo nilicho maanisha ..Kwani Yanga alikuwa anacheza nafasi ya nani?
Wewe hapa unazungumzia ya Simba? Au hujui unachokisema? Ukiitwa mbumbumbu unaandamanaYupo sahihi, yanga hawana tofauti na bakafila fc, kutwa kuzungumzia ya mo wakati yao yanawashinda, kinachonifurahisha zaidi ni kitendo cha kutokata tamaa ya ubingwa eti simba watapokonywa makombe yote mawili wapewe wao