Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Sasa timu badala ya kuwategemea wachezaji wake kwa kuwapa morali na motisha yenyewe iko bize na mzee Mpili unategemea nini?Mwamba kafunguka mara baada ya kutemana na Yanga, Wana Yanga msijifiche kwenye stori za Bilioni 20 za Mo, kwanini klabu yenu inaendeshwa kienyeji?
View attachment 1875332
View attachment 1875333
Yani mzee Mpili hivi sasa anategemewa kuliko kina Fei Toto na Lamire Moro..
Ule ushindi dhidi ya Simba.... mzee alipongezwa kuliko Mauya aliyefunga goli... unategemea nini?
Timu imepelekwa Kigoma na basi wakati mzee kapandishwa Bombardier...
Ngoja niishie hapa kwa leo