Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,773
- 24,209
KISA YANGA BENCHI LA UFUNDI NA WACHEZAJI WAKATWA MISHAHARA YAO.
Baada ya kipigo kizito kutoka katika klabu ya Yanga sc, klabu ya CR Belouizdad wamekaa kikao Cha dharura kujadili juu ya matokeo mabovu ya kuchapwa mabao 4-0 na Yanga SC.
Kikao hicho kimeamua nyota wote waliohusika kwenye mchezo huo kukatwa mishahara kwa asilimia 80 pamoja na benchi la ufundi.
Pia kocha mkuu Paquetta ameamriwa kupeleka ripoti ya kila mchezaji kabla na wakati wa mchezo huo kwenye kamati ya nidhamu ya timu.
Uongozi wa timu hiyo umechukizwa sana na matokeoa hayo na kuwa na hasira na kikosi kwa kuwa waliwakodia ndege binafsi .
#FutbalPlanetUpdates
Nb: ni Yanga hiii hii ilisababisha makolo kutimuana ...Baada ya mnara
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Baada ya kipigo kizito kutoka katika klabu ya Yanga sc, klabu ya CR Belouizdad wamekaa kikao Cha dharura kujadili juu ya matokeo mabovu ya kuchapwa mabao 4-0 na Yanga SC.
Kikao hicho kimeamua nyota wote waliohusika kwenye mchezo huo kukatwa mishahara kwa asilimia 80 pamoja na benchi la ufundi.
Pia kocha mkuu Paquetta ameamriwa kupeleka ripoti ya kila mchezaji kabla na wakati wa mchezo huo kwenye kamati ya nidhamu ya timu.
Uongozi wa timu hiyo umechukizwa sana na matokeoa hayo na kuwa na hasira na kikosi kwa kuwa waliwakodia ndege binafsi .
#FutbalPlanetUpdates
Nb: ni Yanga hiii hii ilisababisha makolo kutimuana ...Baada ya mnara
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app