NSSF ya Dr. Dau na udini itajifia karibuni

NSSF ya Dr. Dau na udini itajifia karibuni

Status
Not open for further replies.
Dau kaendekeza sana udini pale nssf,hajui anatengeneza bomu ambalo muda si mrefu litamlipukia
kitendo cha kugeuza shirika jopo la waislam ni hatari sana.
Tupinge tusipinge always ukweli hujitenga na uongo
Tuombe uzima!

Unaweza kutuletea uthibitisho zaidi? Ni muhimu ili kuwafanya watu waamini na siyo ni fitina tu
 
Kama Waislam wamejazana NSSF basi inabidi wapewe pongezi, kwani ni shirika pekee nchini linaloonyesha maendeleo kila mtanzania anaona, Nitafauti na Mashirika mengi yanayoongozwa na wagalatia, yanaongoza kwa ufisadi na hakuna maendeleo yoyote

Kama nssf kunawaislam basi nimfano wa kuigwa na kuelewa kuwa waislam wanavyeti sio feki na si mafisadi bali ni wachapa kazi, naamini tukiwaondoa wagalatia kwenye nafasi nyingi za kazi nchi yetu itapiga hatua

Is time to get ridoff all corrupt, greedy chrsitian

ndo mana rais muislam makamu muislam jaji muislam
 
Nimesikitishwa sana na jinsi
ambavyo shirika la umma kama NSSF lilivyoingiliwa na udini uliotamalaki
hasa katika masuala ya ajira na kupanda vyeo. Nakumbuka nikiwa katika
pannel ya interview hali ilivyokuwa mbaya japo shirika linaendeshwa na
msomi ila ameshindwa kujizuia katika kuonyesha udini ndani ya shirika.
Interview hiyo ya kutafuta maofisa mafao na wahasibu wasaidizi hali
ilikuwa tete sana, Ni vijana wengi waliomba na hakika si wote
wangechukuliwa ila cha kushangaza pale kwenye interview kulikuwa na
vituko usipime, walipokuwa wanajibu swali hata bila kuzingatia majibu
yaliyotolewa alikuwa anakoment GOOD, na comment zingine za ajabu na
kuwakatisha tamaa Watu wenye majina ya Kikristo hata kabla hawajieleza.
Ni kweli kipimo chaweza kuwa elimu ila nilishuhudia vijana wengi
wamejieleza vizuri na wakiwa na point nyingi kwa watu wengine tuliokuwa
nao katika pannel lakini mwisho wa siku watoto wa kikriso waliopata
nafasi walikuwa ni wale wa viongozi wa juu serikaliji pekee na zaidi ya
80% ya waliochukumiwa wakiwa waislam. Kuwa hukua waislam si mbaya bali
wawe na uwezo sasa maana mngepata nafasi ya kufanya nao kazi sasa duuuu
ni shughuli maana wengi kwa kweli ni vilalza usipime. Anyway
tunakoelekea mtasikia tu habari kama shirika halijaenda ICU
mtanikumbusha kwa huu uzi b
pole sana,unashangaa NSSF njoo IDARA YA MAHAKAMA uone jinsi wahaya walivyojenga ngome yao,kama sio mhaya huna thamani ili uthaminiwe uwe mwanamke
 
Siwezi kuweka majina ya watu hapo kwani ni kinyume na taratibu pia nikiweka majina ni sawa na kuweka kibarua changu rehani. Nafikiri nafasi ya kuchunguza hili jambo lipo wazi na ukweli au uongo wangu utajulikana soon tena kabla hata jogoo hawawika. Njia zipo njia za kudhibitisha kama unataka.

Sawa, huwezi kuweka majina basi hata kutoa takwimu za wangapi waliomba na kufanyiw ausaili huwezi? Ninyi watu mnanongwa kweli. Pale NECTA kuna nini kama si udini? Tangu 1973 NECTA ilipoundwa, ulishawahi kusikia Mwenyekiti au Katibu Mtendaji Muislamu? Mona husemi kun audini? Basi mkiona kuna Muislamu mahala ndio oooh! udini. Udom mnadai kuna udini kwa sababhu VC si katika ninyi.

Kama madai yako ni ya kweli hebu tupatie staff ya NSSF idara kwa idara takwimu za waislamu ni wangapi na wakristo ni wangapi. Usitaje majina maana unaogopa kibaru achako kinaweza kuot amiguu kwa sababu madai yako ni UONGO MTUPU!!!!!
 
Hapo ungeandika TRA na Uchaga include ukristo ungekuwa mkweli.Ila pole kwa kukosa ulichokuwa unakitaka ndani ya nssf
Unafiki, uvivu wa kufiri, kupenda kugeneralise na kulalamika tunashindwa kufanya hata a simple comparative analysis.
Hivi kweli kama nssf kuna udini jee tra nako??? juzi tuu alipoteuliwa kamishna ambaye dini yake ni mu islam mlizungumza sana kuhusu JK lakini mnashindwa kulinganisha jee waislamu na wakristo.
Mimi ni mwislamu lakini ninaamini kuwa serikali zetu zote hazijawahi kuwa na udini lakini wananchi ndiyo wenye dini.
This had never been an issue during mwalimu's time [tafuta data za nic/tanesco/nbc] wakati wa mwinyi lakini wakati wa mkapa haikuwepo na hivi sasa imerudi tena. ninasema kuwa huu wote ni wendawazimu kwani nchi hii hata kabla ya uhuru watu walikuwa wakiishi vizuri tu hata yale ambayo waislamu walikuwa wengi kama maeneo ya pwani kulikuwa hakuna mambo haya na hata huko bara ambapo kulikuwa na wakristu wengi sijawahi kusikia hata kwenye simulizi
 
Hakuna cha kununuwa silaha zozote kwa fedha taslimu wala hiyo vita siyo chanzo cha matatizo ya kiuchumi, uchumi ulikufa mwaka 1967 baada ya kutangazwa Azimio la Arusha na kutangaza mfumo ulio-feli "fail" wa ujamaa na kujitegemea.

Vipi Mwinyi aweze kurudisha uchumi kwa siku 180 za mwanzo unapotakiwa uwe, Nyerere umshinde toka vita kwisha? hasara yote iliyopatikana vita vya Uganda inalipwa na Waganda wenyewe mpaka hii leo. Usitake kudanganya watu. Nyerere was a failure politically and economically. Kipi cha maana alichokifanyia Tanzania hii?

Umekubali kuwa nchi ilikuwa taabani alipoichukuwa Mwinyi halafu unataka kujidai Mwinyi kamwachia Mkapa nchi taabani. Ueleze Nyerere aliacha akiba ipi benki alipoondoka na Mwinyi alimwachia ipi Mkapa?

Hivi uliwahi kusikia wafanyikazi serikalini wakilalamika kukosa mishahara wakati wa Nyerere? Au wakati wa Mkapa? Anyway, let us go back to the topic. Kuna udini NSSF au hapana?
 
wewe acha upofu Tanzania inapata mrahaba tu kwenye madini na ajira kwa watu wake lkn haichimbi madini, na mikataba feki ya madini yote iliingiwa kipindi cha mkapa, na mashirika yote aliuzia wazungu na kuyabinafsisha leo unasema eti aliacha hela, uko nyuma sana na hakuna hata moja unalojua, kikwete anapambana na ufisadi ndo maana amekuwa pilix2 kwenu, hata mkikaaa makanisani mnawatetea mafisadi kwa sababu ya michango tu wanayoipata tena kutokana na mafisadi. NSSF inafanya vizuri, na mpost mada amehemkwa tu na roho mbaya ya kikatoliki lkn hakuna lolote, Mzee DAU Piga mzigo, hata kwa mtutu NSSF hawakutoi kwani utumishi wako umetukuka hadi moyoni. wakiristo tumuige DAU, kwa sababu ktk kampuni zote TZ NSSF pekee ndo inafanya kazi ya kuendeleza uchumi, angalia chuo cha UDM, Daraja la Kigamboni, Miradi ya kuzalisha Umeme, mchuchuma, majengo mbalix2 Tz nzima. bado bila haya unamsema DAU vibaya ama kweli wewe umetumwa na kanisa.

Hivi Kikwete si fisadi? Kwa nini ameshindwa kuwatia hatiani wale wote waliokwapua fedha za BOT kupitia EPA? Kwa sababu na yeye mkono wake umo. Je, ya Richmond unayafahamu? Dowans na sasa Symbion? Hizo ni kampuni zake yeye na fisadi mwenzake Rostum. Mbona Lowassa alipomsuta kwenye kikao cha CCM kuhusu Richmond alibaki mdomo wazi? Anyway, kama nilivyomshauri Zomba, turudi kwenye mada. Kuna udini NSSF au hapana?
 
NSSF ilikuwa inaelekea kaburini kabla ya ujio wa Dau. Watu walikuwa wakilia mafao yao hawapati mpaka wahonge na wala hawajui wana kiasi gani, wizi mtupu.

Baada ya Dau, NSSF ni taasisi inayochangia kwa hali ya juu uchumi wa Tanzania na imeboreka kila nyanja na imekuwa ya kisasa zaidi.

Tatizo lenu ni Udini unawasumbuwa, hampendi kuona maendeleo yanayoletwa na Waislaam.

Leo Kikwete amefanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake lakini utakuta wanaomponda ni hao hao. Na hiyo yote inatokana na chuki ya kuwa wao kila wanapowekwa wananuwa kila kitu. Hata Nyerere aliiuwa Tanzania ikawa nchi ya mwisho kwa umasikini duniani wakati wa utawala wake, alipokuja Mzee Ruksa kila kitu kikabadilika na kila alipopita alipendwa na watu wote kasoro ya wale wale kina mleta mada.

Unafki wa wagala unawafanya wasione hata kweli inayodhihiri kabisa.
 
Guys naona kama mada zenu mnazochangia hazina tija kwa taifa lililoji-chokea kama tanzania.

Kwann huu udini musiuache kando mujifunze kuongea kweli iliyo kweli toka mioyoni mwenu? Au kwanini umisitumie akili nyingi kufikiri kabla ya kuandika kuliko sasa mnavyosukumwa na imani za kidini na nguvu nyiiiingi kutoa hoja mbovu.

Ni ombi tuu na sidhani kama nakulazimisheni kulifuata....
 
inferiority complex is eating you alive guys,no one to help you!!
poleni sana!!

sasa umeandika nini hapo kama sio uharo? We kojoa ulale na utakoma utalalamika sana mpaka ukome! Ujinga ujinga tu
 
Hivi Kikwete si fisadi? Kwa nini ameshindwa kuwatia hatiani wale wote waliokwapua fedha za BOT kupitia EPA? Kwa sababu na yeye mkono wake umo. Je, ya Richmond unayafahamu? Dowans na sasa Symbion? Hizo ni kampuni zake yeye na fisadi mwenzake Rostum. Mbona Lowassa alipomsuta kwenye kikao cha CCM kuhusu Richmond alibaki mdomo wazi? Anyway, kama nilivyomshauri Zomba, turudi kwenye mada. Kuna udini NSSF au hapana?
Kikwete sio fisadi, EPA hujasikia hukumu ya kina pateli na wenzake, na lyumba naye alitumikia jela kwa kosa gani, juzix2 tu watu wamefungwa miaka 20 kwa sababu ya epa, katika richmond kinachogomba ni mkataba mbovu uliyompelekea swahiba wako kujiuzulu kwa sababu ya ushahidi laivu wa mzee wa usafirishaji. Mwisho NSSF hakuna udini bali kuna usawa kitu ambacho ninyi hamtaki.
 
Hivi Kikwete si fisadi? Kwa nini ameshindwa kuwatia hatiani wale wote waliokwapua fedha za BOT kupitia EPA? Kwa sababu na yeye mkono wake umo. Je, ya Richmond unayafahamu? Dowans na sasa Symbion? Hizo ni kampuni zake yeye na fisadi mwenzake Rostum. Mbona Lowassa alipomsuta kwenye kikao cha CCM kuhusu Richmond alibaki mdomo wazi? Anyway, kama nilivyomshauri Zomba, turudi kwenye mada. Kuna udini NSSF au hapana?
As a layman you are forgiven but i wish you were a lawyer i would have asked you a couple of questions lakini ndiyo
wengi wetu siku hizi tunatumia ubongo wa vidole/mdomo kufikiri na ndiyo maana mnaandika mbofu nyingi humu ndani
 
HUyo mleta mada anayo habari ya kuwa NSSF,its the only source of income ambayo serikali anajidai nacho,mbona hai rely na TRA,ambapo ni uozo mputu?,tafakari.

Acheni kujadili udini hadi mnashindwa kufikiria. TRA hata ingekuwa inaongozwa na muislamu, ndiyo chanzo kikuu cha mapato cha serikali, na ndo serikali inaegemea huko. Muelimisheni mtoa mada kwa point za maana sio za kuongea uongo.
 
Siwezi kuweka majina ya watu hapo kwani ni kinyume na taratibu pia nikiweka majina ni sawa na kuweka kibarua changu rehani. Nafikiri nafasi ya kuchunguza hili jambo lipo wazi na ukweli au uongo wangu utajulikana soon tena kabla hata jogoo hawawika. Njia zipo njia za kudhibitisha kama unataka.
Wewe ni muoga kama fisi sasa unalalamika nini??? mfunge paka wako kengele na kama huwezi nyamaza
 
Ni heri ya wale wachomao makanisa mchana kweupe atleast unaweza ukatafuta ndoo ya maji au mchanga ukajaribu kuzima kuliko yule akuuguzae usiku ukiwa umelala.Mleta mada hana jipya ni wivu na udini ndio vimsumbuavyo!.

kwenye suala la umbumbumbu wa amani WEWE pia huwezi kujitenganisha na mtoa mada. Hakuna heri kwenye kucheza na amani ya nchi kwa kueneza mbegu mbaya ya chuki za udini.
 
NSSF ilikuwa inaelekea kaburini kabla ya ujio wa Dau. Watu walikuwa wakilia mafao yao hawapati mpaka wahonge na wala hawajui wana kiasi gani, wizi mtupu.

Baada ya Dau, NSSF ni taasisi inayochangia kwa hali ya juu uchumi wa Tanzania na imeboreka kila nyanja na imekuwa ya kisasa zaidi.

Tatizo lenu ni Udini unawasumbuwa, hampendi kuona maendeleo yanayoletwa na Waislaam.

Leo Kikwete amefanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake lakini utakuta wanaomponda ni hao hao. Na hiyo yote inatokana na chuki ya kuwa wao kila wanapowekwa wananuwa kila kitu. Hata Nyerere aliiuwa Tanzania ikawa nchi ya mwisho kwa umasikini duniani wakati wa utawala wake, alipokuja Mzee Ruksa kila kitu kikabadilika na kila alipopita alipendwa na watu wote kasoro ya wale wale kina mleta mada.

zomba, ni nani alikuwa anaongoza NSSF kabla ya Dau, na akikuwa dini gani? Jibu kwanza hapo halafu ndio mengine yafuatie.
 
Kikwete sio fisadi, EPA hujasikia hukumu ya kina pateli na wenzake, na lyumba naye alitumikia jela kwa kosa gani, juzix2 tu watu wamefungwa miaka 20 kwa sababu ya epa, katika richmond kinachogomba ni mkataba mbovu uliyompelekea swahiba wako kujiuzulu kwa sababu ya ushahidi laivu wa mzee wa usafirishaji. Mwisho NSSF hakuna udini bali kuna usawa kitu ambacho ninyi hamtaki.
We umedata kwa kuna mawaziri wanawekwa kwa sawa na Ajira unataka kuwe na sawa. Inategemea nani ameperform vizuri siku ya interview. Sikubaliani na wewe katika hili kama namba ya wakristo imeperform vizuri inaweza kuzidi ile ya muslims. Usawa tumeacha huko kwenye kufikisha 50/50 kati ya men and women.
Hii dhana ya kugawanya idadi ya mawaziri kwa misingi ya dini ndio inakuchanginyi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom