NSSF ya Dr. Dau na udini itajifia karibuni

NSSF ya Dr. Dau na udini itajifia karibuni

Status
Not open for further replies.

kadeco

Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
17
Reaction score
3
Nimesikitishwa sana na jinsi ambavyo shirika la umma kama NSSF lilivyoingiliwa na udini uliotamalaki hasa katika masuala ya ajira na kupanda vyeo.

Nakumbuka nikiwa katika pannel ya interview hali ilivyokuwa mbaya japo shirika linaendeshwa na msomi ila ameshindwa kujizuia katika kuonyesha udini ndani ya shirika. Interview hiyo ya kutafuta maofisa mafao na wahasibu wasaidizi hali ilikuwa tete sana.

Ni vijana wengi waliomba na hakika si wote wangechukuliwa ila cha kushangaza pale kwenye interview kulikuwa na vituko usipime, walipokuwa wanajibu swali hata bila kuzingatia majibu yaliyotolewa alikuwa anakoment GOOD, na comment zingine za ajabu na kuwakatisha tamaa Watu wenye majina ya Kikristo hata kabla hawajieleza.

Ni kweli kipimo chaweza kuwa elimu ila nilishuhudia vijana wengi wamejieleza vizuri na wakiwa na point nyingi kwa watu wengine tuliokuwa nao katika pannel lakini mwisho wa siku watoto wa kikriso waliopata nafasi walikuwa ni wale wa viongozi wa juu serikaliji pekee na zaidi ya 80% ya waliochukumiwa wakiwa waislam. Kuwa hukua waislam si mbaya bali wawe na uwezo sasa maana mngepata nafasi ya kufanya nao kazi sasa duuuu ni shughuli maana wengi kwa kweli ni vilalza usipime.

Anyway tunakoelekea mtasikia tu habari kama shirika halijaenda ICU mtanikumbusha kwa huu uzi b
 
weka orodha ya waliopita kwa interview kama ulikuwepo kwenye panel vinginevyo utakuwa ni semi-illiterate kama daujui udikta alipata wapi au ndo kama wa jk, MD anaingia kwenye interview kufanya nini? hakuna idara ya human resources hapo nssf?
 
MD kwenye interview ya maofisa? na wahasibu wasaidizi!? Assistance accountant?DAU acha ujinga. Achana na udini. BARLOW. anakuita.
 
weka orodha ya waliopita kwa interview kama ulikuwepo kwenye panel vinginevyo utakuwa ni semi-illiterate kama daujui udikta alipata wapi au ndo kama wa jk, MD anaingia kwenye interview kufanya nini? hakuna idara ya human resources hapo nssf?

mleta mada ni kilaza anataka kutumia udini kujustify upuuzi wake, nimejifunza kupuuza watu wa aina yake!!!
 
Siwezi kuweka majina ya watu hapo kwani ni kinyume na taratibu pia nikiweka majina ni sawa na kuweka kibarua changu rehani. Nafikiri nafasi ya kuchunguza hili jambo lipo wazi na ukweli au uongo wangu utajulikana soon tena kabla hata jogoo hawawika. Njia zipo njia za kudhibitisha kama unataka.
 
Kama Waislam wamejazana NSSF basi inabidi wapewe pongezi, kwani ni shirika pekee nchini linaloonyesha maendeleo kila mtanzania anaona, Nitafauti na Mashirika mengi yanayoongozwa na wagalatia, yanaongoza kwa ufisadi na hakuna maendeleo yoyote

Kama nssf kunawaislam basi nimfano wa kuigwa na kuelewa kuwa waislam wanavyeti sio feki na si mafisadi bali ni wachapa kazi, naamini tukiwaondoa wagalatia kwenye nafasi nyingi za kazi nchi yetu itapiga hatua

Is time to get ridoff all corrupt, greedy chrsitian
 
NSSF ilikuwa inaelekea kaburini kabla ya ujio wa Dau. Watu walikuwa wakilia mafao yao hawapati mpaka wahonge na wala hawajui wana kiasi gani, wizi mtupu.

Baada ya Dau, NSSF ni taasisi inayochangia kwa hali ya juu uchumi wa Tanzania na imeboreka kila nyanja na imekuwa ya kisasa zaidi.

Tatizo lenu ni Udini unawasumbuwa, hampendi kuona maendeleo yanayoletwa na Waislaam.

Leo Kikwete amefanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake lakini utakuta wanaomponda ni hao hao. Na hiyo yote inatokana na chuki ya kuwa wao kila wanapowekwa wananuwa kila kitu. Hata Nyerere aliiuwa Tanzania ikawa nchi ya mwisho kwa umasikini duniani wakati wa utawala wake, alipokuja Mzee Ruksa kila kitu kikabadilika na kila alipopita alipendwa na watu wote kasoro ya wale wale kina mleta mada.
 
Yaani leo umeongeaje vizuri na like yangu utaipata
maana huwa nbakuonaga unaongoza kwa pumba
big up
NSSF ilikuwa inaelekea kaburini kabla ya ujio wa Dau. Watu walikuwa wakilia mafao yao hawapati mpaka wahonge na wala hawajui wana kiasi ganoi, wizi mtupu.

Baada ya Dau NSSF ni taasisi inayochangia kwa hali ya juu uchumi wa Tanzania na imeboreka kila nyanja na imekuwa ya kisasa zaidi.

Tatizo lenu ni Udini unwasumbuwa, hampendi kuona maendeleo yanayoletwa na Waislaam.

Leo Kikwete amefanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake lakini utakuta wanaomponda ni hao hao. Na hiyo yote inatokana na chuki ya kuwa wao kila wanapowekwa wananuwa kila kitu. Hata Nyerere aliiuwa Tanzania ikawa nchi ya mwisho kwa umasikini duniani wakati wa utawala wake, alipokuja Mzee Ruksa kila kitu kikabadilika na kila alipopita alipendwa na watu wote kasoro ya wale wale kina mleta mada.
 
Hapo ungeandika TRA na Uchaga include ukristo ungekuwa mkweli.Ila pole kwa kukosa ulichokuwa unakitaka ndani ya nssf
 
Kama Waislam wamejazana NSSF basi inabidi wapewe pongezi, kwani ni shirika pekee nchini linaloonyesha maendeleo kila mtanzania anaona, Nitafauti na Mashirika mengi yanayoongozwa na wagalatia, yanaongoza kwa ufisadi na hakuna maendeleo yoyote

Kama nssf kunawaislam basi nimfano wa kuigwa na kuelewa kuwa waislam wanavyeti sio feki na si mafisadi bali ni wachapa kazi, naamini tukiwaondoa wagalatia kwenye nafasi nyingi za kazi nchi yetu itapiga hatua

Is time to get ridoff all corrupt, greedy chrsitian
Maneno haya yanastahiki kuandikwa kwa wino wa dhahabu!
 
NSSF ilikuwa inaelekea kaburini kabla ya ujio wa Dau. Watu walikuwa wakilia mafao yao hawapati mpaka wahonge na wala hawajui wana kiasi ganoi, wizi mtupu.

Baada ya Dau NSSF ni taasisi inayochangia kwa hali ya juu uchumi wa Tanzania na imeboreka kila nyanja na imekuwa ya kisasa zaidi.

Tatizo lenu ni Udini unwasumbuwa, hampendi kuona maendeleo yanayoletwa na Waislaam.

Leo Kikwete amefanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake lakini utakuta wanaomponda ni hao hao. Na hiyo yote inatokana na chuki ya kuwa wao kila wanapowekwa wananuwa kila kitu. Hata Nyerere aliiuwa Tanzania ikawa nchi ya mwisho kwa umasikini duniani wakati wa utawala wake, alipokuja Mzee Ruksa kila kitu kikabadilika na kila alipopita alipendwa na watu wote kasoro ya wale wale kina mleta mada.

mkuu maneno yako kuntu kabisa na ya busara

JK ni rais bora kuliko wote waliomtangulia... ufisadi aliofanya mkapa... kipindi cha JK ameuweka hadharani.. uhuru wa vyombo vya habari... freedom of speech ... watu hawayaoni mazuri ya JK sababu ni muislam... NSSF ilikuwa ICU sasa ni shirika lenye kufanya mambo yakaonekana wazee wanalipwa kwa wakati... watu hawayaoni haya sababu linaendeshwa na muislam...

kuna mijitu ina roho ya kwanini kwa waislam... hawataki kuona mahala au ofisi ina waislam 3 mkristo 1 ....

mbona TRA wamejazana wachaga na wakristo.. hakuna anayepiga kelele ....

mtoa mada get a life !
 
NSSF ilikuwa inaelekea kaburini kabla ya ujio wa Dau. Watu walikuwa wakilia mafao yao hawapati mpaka wahonge na wala hawajui wana kiasi ganoi, wizi mtupu.

Baada ya Dau NSSF ni taasisi inayochangia kwa hali ya juu uchumi wa Tanzania na imeboreka kila nyanja na imekuwa ya kisasa zaidi.
Tatizo lenu ni Udini unwasumbuwa, hampendi kuona maendeleo yanayoletwa na Waislaam.

Leo Kikwete amefanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake lakini utakuta wanaomponda ni hao hao. Na hiyo yote inatokana na chuki ya kuwa wao kila wanapowekwa wananuwa kila kitu. Hata Nyerere aliiuwa Tanzania ikawa nchi ya mwisho kwa umasikini duniani wakati wa utawala wake, alipokuja Mzee Ruksa kila kitu kikabadilika na kila alipopita alipendwa na watu wote kasoro ya wale wale kina mleta mada.

Aliingia Mkapa mamlakani akakuta serikali imefilisika kutokana na mzee Mwinyi kutowatoza kodi marafiki zake wafanyibiashara wa Kiarabu na Kihindi. Mkapa akafunga mkanda akaanza kukusanyisha kodi kama mwendawazimu vile. Kufikia wakati anaondoka mamlakani aliiacha serikali katika hali nzuri kifedha, sukari ikiwa shilingi mia sita kwa kilo na mchele shilingi mia nane. Akaingia huyu Vasco Da Gama kitu cha kwanza alichofanya ni kufumua baraza la mawaziri 60 na ushee, matumizi yasiyo na kipimo, na safari zisizo na tija. Matokeo yake serikali imefilisika. Leo bei ya mchele inakaribia shilingi elfu tatu kwa kilo, na bei ya nyama ndiyo usiseme kabisa. Hivi sasa serikali karibia inafilisika kiasi kwamba namwonea huruma rais atakayechukua 2015. Atakuta hazina tupu. Niendelee?
 
Aliingia Mkapa mamlakani akakuta serikali imefilisika kutokana na mzee Mwinyi kutowatoza kodi marafiki zake wafanyibiashara wa Kiarabu na Kihindi. Mkapa akafunga mkanda akaanza kukusanyisha kodi kama mwendawazimu vile. Kufikia wakati anaondoka mamlakani aliiacha serikali katika hali nzuri kifedha, sukari ikiwa shilingi mia sita kwa kilo na mchele shilingi mia nane. Akaingia huyu Vasco Da Gama kitu cha kwanza alichofanya ni kufumua baraza la mawaziri 60 na ushee, matumizi yasiyo na kipimo, na safari zisizo na tija. Matokeo yake serikali imefilisika. Leo bei ya mchele inakaribia shilingi elfu tatu kwa kilo, na bei ya nyama ndiyo usiseme kabisa. Hivi sasa serikali karibia inafilisika kiasi kwamba namwonea huruma rais atakayechukua 2015. Atakuta hazina tupu. Niendelee?
irrelevant!...ungeanzia kwa Nyerere! Mwinyi aliipokea nchi kutoka kwa Nyerere katika hali gani?
 
watanzania tunaelekea pabaya.... Tunaendekeza sana upuuzi na udini.... Tunakua kama makahaba, maana hatuoni uzuri wa marais wetu mpaka pale wanapotoka madarakani.... Tuchape kazi,tuache majungu. Nashangaa katika zama hizi za sayansi na teknolojia sisi watu wa zama hizi tunafanya upuuzi kuliko hata wa wazee wetu miaka ya 80 ambapo kulikua na uvumilivu na ustaarabu wa hali ya juu. Tusisahau THERE IS NEVER A GOOD WAR.... NOR A BAD PEACE.
 
irrelevant!...ungeanzia kwa Nyerere! Mwinyi aliipokea nchi kutoka kwa Nyerere katika hali gani?

It is very relevant. Mnamsifia Mwinyi ambaye aliacha serikali bankrupt kutokana na policies zake bankrupt. Akaja Mkapa ambaye mmemruka makusudi ili kuonyesha kuwa viongozi wa kiislamu ndio makini. Lakini namba zenu tunazo! Na huyu wa sasa ndiye hopeless kabisa. Sukari bei gani sasa? Nyama je? Wakati wa Nyerere ulisikia wafanyikazi serikalini wakilalamika kukosa mishahara kwa miezi? Inatokea sasa.
 
Nimesikitishwa sana na jinsi ambavyo shirika la umma kama NSSF lilivyoingiliwa na udini uliotamalaki hasa katika masuala ya ajira na kupanda vyeo. Nakumbuka nikiwa katika pannel ya interview hali ilivyokuwa mbaya japo shirika linaendeshwa na msomi ila ameshindwa kujizuia katika kuonyesha udini ndani ya shirika. Interview hiyo ya kutafuta maofisa mafao na wahasibu wasaidizi hali ilikuwa tete sana, Ni vijana wengi waliomba na hakika si wote wangechukuliwa ila cha kushangaza pale kwenye interview kulikuwa na vituko usipime, walipokuwa wanajibu swali hata bila kuzingatia majibu yaliyotolewa alikuwa anakoment GOOD, na comment zingine za ajabu na kuwakatisha tamaa Watu wenye majina ya Kikristo hata kabla hawajieleza. Ni kweli kipimo chaweza kuwa elimu ila nilishuhudia vijana wengi wamejieleza vizuri na wakiwa na point nyingi kwa watu wengine tuliokuwa nao katika pannel lakini mwisho wa siku watoto wa kikriso waliopata nafasi walikuwa ni wale wa viongozi wa juu serikaliji pekee na zaidi ya 80% ya waliochukumiwa wakiwa waislam. Kuwa hukua waislam si mbaya bali wawe na uwezo sasa maana mngepata nafasi ya kufanya nao kazi sasa duuuu ni shughuli maana wengi kwa kweli ni vilalza usipime. Anyway tunakoelekea mtasikia tu habari kama shirika halijaenda ICU mtanikumbusha kwa huu uzi b

Huo ulionao wewe ndio udini pumbavu wee, je inglikuwa wakristo ndio waliochaguliwa kwa wingi ungekuja na topic za ki.se nge kama hizi.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
It is very relevant. Mnamsifia Mwinyi ambaye aliacha serikali bankrupt kutokana na policies zake bankrupt. Akaja Mkapa ambaye mmemruka makusudi ili kuonyesha kuwa viongozi wa kiislamu ndio makini. Lakini namba zenu tunazo! Na huyu wa sasa ndiye hopeless kabisa. Sukari bei gani sasa? Nyama je? Wakati wa Nyerere ulisikia wafanyikazi serikalini wakilalamika kukosa mishahara kwa miezi? Inatokea sasa.
Hivi kuna haja ya kuelezea kuwa wakati wa nyerere watu walivaa katambuga, walipanga foleni kwa ajili ya unga wa njano, n.k, n.k?
Kuna haja ya kuelezea kuwa Nyerere aliiacha nchi ikiwa imefilisika?
 
weka orodha ya waliopita kwa interview kama ulikuwepo kwenye panel vinginevyo utakuwa ni semi-illiterate kama daujui udikta alipata wapi au ndo kama wa jk, MD anaingia kwenye interview kufanya nini? hakuna idara ya human resources hapo nssf?

privacy policy, haihitaji digree ya sheria, mkuu keshatoa 'lead' kataja shirika na post zilizokuwa zinajazwa..dammit .!!? Hivi ushajiuliza kwa nini seminary za kiislamu zinaburuza mkia kila siku kazi kumuandama ma'am ndalichako, wanapeana kazi vilaza alimuradi uwe tu muislam bila kujali una nn kwa brain yako,matokeo yake wanalishana matango pori halafu lawama.
 
Hivi kuna haja ya kuelezea kuwa wakati wa nyerere watu walivaa katambuga, walipanga foleni kwa ajili ya unga wa njano, n.k, n.k?
Kuna haja ya kuelezea kuwa Nyerere aliiacha nchi ikiwa imefilisika?

Ndio kuna haja. Wakati wa Nyerere inaeleweka pato letu lote lilitumika katika vita vya Uganda.Nikisema pato letu namaanisha fedha za kigeni. Ni kwa nini basi Kikwete anaiacha nchi imefilisika wakati tunachimba madini ya dhahabu, mkaa wa mawe na gesi? Ni kwa nini wakati ambapo mwenzake Mkapa alijitahidi kubalance bajeti na kuacha surplus? Ni kwa nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom