HAPPY MAKUKU
Senior Member
- Dec 27, 2011
- 120
- 21
Ndg ukitaka kuongelea udini nchi hii utakuta pale kunapokuwa na usawa ktk kampuni ndo udini huo ila wakizidi wakiristo ndo sio udini, angalia maofisi ya serikali yote wamejazana wakiristo halafu kwa ufisadi sasa ndo wenyewe. sidhani NSSF kama kuna udini bali kuna usawa. na mnchotaka ninyi hapa ni nyie muwe wengi basi ila usawa hamuutaki. NSSF wakiristo wapo kibao.Mleta maada amesema kuna udini NSSF, ambao watu wengi pia wameshawahi kusema. Lakini nashangaa kuna watu wanaingiza mambo ya siasa tena sijui kuanzia Nyerere hadi Kikwete (marais waislamu vs. marais wakristo). Nadhani hii ni njia ya kukwepesha maada. Maada hapa ni kwamba NSSF kuna udini. Huko nyuma watu wameshanguzumzia kuwa TRA kuna ukabila, Benki kuna Ukabila n.k. Sasa kwa nini hapa tukimbilie kwenye siasa badala ya kujadili maada yenyewe?