NSSF ya Dr. Dau na udini itajifia karibuni

NSSF ya Dr. Dau na udini itajifia karibuni

Status
Not open for further replies.
Huo ulionao wewe ndio udini pumbavu wee, je inglikuwa wakristo ndio waliochaguliwa kwa wingi ungekuja na topic za ki.se nge kama hizi.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk

mi nadhani we ndo ****** BENMGEN
 
Sishangai mimi kuyasikia haya ninayoyasikia na kuyaona sasa. Ni tabia ya Wakristo wengi kama si wote kwamba hawapendi kuona Muislamu/Waislamu wakiwa katika position fulani, lazima tu wapike majungu na kufanya propaganda.
Mimi nilikuwa nashanga wakati niko shule/college, kama kutakuwa na GROUP DISCUSSION yenye waislamu wa3 na mkristu mmoja au hata kama hakuna mkristo, wanasema WAISLAMU WANAJITENGA lakini unaweza kukuta wao wapo 8 na pengine hakuna Muislamu hata mmoja kwao inakuwa ni sawa tu.
MTOA MADA ACHA UDINI NA ROHO MBAYA, ROHO MBAYA INAUWA!!!
 
Nimesikitishwa sana na jinsi ambavyo shirika la umma kama NSSF lilivyoingiliwa na udini uliotamalaki hasa katika masuala ya ajira na kupanda vyeo. Nakumbuka nikiwa katika pannel ya interview hali ilivyokuwa mbaya japo shirika linaendeshwa na msomi ila ameshindwa kujizuia katika kuonyesha udini ndani ya shirika. Interview hiyo ya kutafuta maofisa mafao na wahasibu wasaidizi hali ilikuwa tete sana, Ni vijana wengi waliomba na hakika si wote wangechukuliwa ila cha kushangaza pale kwenye interview kulikuwa na vituko usipime, walipokuwa wanajibu swali hata bila kuzingatia majibu yaliyotolewa alikuwa anakoment GOOD, na comment zingine za ajabu na kuwakatisha tamaa Watu wenye majina ya Kikristo hata kabla hawajieleza. Ni kweli kipimo chaweza kuwa elimu ila nilishuhudia vijana wengi wamejieleza vizuri na wakiwa na point nyingi kwa watu wengine tuliokuwa nao katika pannel lakini mwisho wa siku watoto wa kikriso waliopata nafasi walikuwa ni wale wa viongozi wa juu serikaliji pekee na zaidi ya 80% ya waliochukumiwa wakiwa waislam. Kuwa hukua waislam si mbaya bali wawe na uwezo sasa maana mngepata nafasi ya kufanya nao kazi sasa duuuu ni shughuli maana wengi kwa kweli ni vilalza usipime. Anyway tunakoelekea mtasikia tu habari kama shirika halijaenda ICU mtanikumbusha kwa huu uzi b

Je kulikuwa na vigezo kabla ya interview?
 
nimesikitishwa sana na jinsi ambavyo shirika la umma kama nssf lilivyoingiliwa na udini uliotamalaki hasa katika masuala ya ajira na kupanda vyeo. Nakumbuka nikiwa katika pannel ya interview hali ilivyokuwa mbaya japo shirika linaendeshwa na msomi ila ameshindwa kujizuia katika kuonyesha udini ndani ya shirika. Interview hiyo ya kutafuta maofisa mafao na wahasibu wasaidizi hali ilikuwa tete sana, ni vijana wengi waliomba na hakika si wote wangechukuliwa ila cha kushangaza pale kwenye interview kulikuwa na vituko usipime, walipokuwa wanajibu swali hata bila kuzingatia majibu yaliyotolewa alikuwa anakoment good, na comment zingine za ajabu na kuwakatisha tamaa watu wenye majina ya kikristo hata kabla hawajieleza. Ni kweli kipimo chaweza kuwa elimu ila nilishuhudia vijana wengi wamejieleza vizuri na wakiwa na point nyingi kwa watu wengine tuliokuwa nao katika pannel lakini mwisho wa siku watoto wa kikriso waliopata nafasi walikuwa ni wale wa viongozi wa juu serikaliji pekee na zaidi ya 80% ya waliochukumiwa wakiwa waislam. Kuwa hukua waislam si mbaya bali wawe na uwezo sasa maana mngepata nafasi ya kufanya nao kazi sasa duuuu ni shughuli maana wengi kwa kweli ni vilalza usipime. Anyway tunakoelekea mtasikia tu habari kama shirika halijaenda icu mtanikumbusha kwa huu uzi b

Kaka utafiti huu umeufanya NSSF peke au na taasisi nyingine? Mkuki kwa nguruwe...............mtakoma kuringa sasa. Babu yenu kesha kufa, na wate tushakua wakubwa natumesoma, tena kiukweli. Tumevuka chujio la walei wa necta na ndalichako. Kaka usitake kusema eti walio kua walio wainterview walikkua waislamu peke yao. Vigezo kaka. Hata kule simba na yanga pia kuna udini?? Nyie vipi?
 
Huwezi kusema TRA ndio chanzo kikuu cha mapato,ule ni uchochoro la mapato,huwezi kudetermine to compare with NSSF,hata hivyo ha mapato siyo yale yanayo stahiki kukusanywa kutokana na uzembe wa uongozi kuanzia kamishna hadi tarishi.In one way or another ni sawa na kusema Dau Muislamu ni bora kuliko Kitilya Mgalatia
 
Najua kuna watu wengi wakristo kwa waislam ambao wameguswa na huu uzi. Narudi kwenu kuomba tuufunge rasmi kwa manufaa ya taifa. Nina rafiki zangu wengi waislam na hata ofisini wapo tena wanafanya kazi vizuri mno na competent kweli ila katika intake za miaka minne iliyopita hapa baba aliteleza kidogo japo ndugu zangu waislam tupo kishabiki zaidi. Nchi hii ni yetu sote japo ipo kama vyama vya Democratic na Republican vya Marekani. Wakristo ni Democratic wanajenga uchumi then waislam ni Republican wanadidimiza kueleke kuzimu. Rejea marais waliopita wawili huku na wawili kule. Muone Vasco Da Gama. Jibu unalo Zomba. Angalizo, mwenye kutaka kujua ukweli zaidi karibu sana Nssf ufanye uchunguzi huru bila kuegemea upande wowote. Napenda ukumbuke kuwa hata jogoo asipowika patakucha tu. Dr. Dau kuna mambo mengi mazuri kafanya tena mazuri sana na atakumbukwa pia lakini hili nililoandika katika uzi huu utabakia kuwa ukweli daima na roho yangu ni nyeupe katika hilo. Ni kweli ni msomi na natambua kuchapa kazi kwake bila kujali ni muislam au dini gani ila naomba siku moja mnivue nguo kwa kufanya uchunguzi huru kuanzia miaka miwili baada ya kuwa DG. Sina chuki nae kwani ni boss wetu. Naomba siku moja mtu atakayefanya uchunguzi makini na huru na kwa kumuogopa Mungu aje na uzi wake kwa namna nyingine nami nitamwaga mboga na vielelezo kwa sasa itoshe tu kusema nimewasilisha. Mod please delete uzi huu sasa kwani lengo ni kubishana kama mazuzu!
 
Kama Waislam wamejazana NSSF basi inabidi wapewe pongezi, kwani ni shirika pekee nchini linaloonyesha maendeleo kila mtanzania anaona, Nitafauti na Mashirika mengi yanayoongozwa na wagalatia, yanaongoza kwa ufisadi na hakuna maendeleo yoyote

Kama nssf kunawaislam basi nimfano wa kuigwa na kuelewa kuwa waislam wanavyeti sio feki na si mafisadi bali ni wachapa kazi, naamini tukiwaondoa wagalatia kwenye nafasi nyingi za kazi nchi yetu itapiga hatua

Is time to get ridoff all corrupt, greedy chrsitian

Asante ndugu yangu kwa kusema haya hapa...I was about to comment the same....christians are always like that, whenever a muslim is somewhere doing good things for us they do not like it...whats wrong with you???Nyerere aliharibu nchi na kutuacha masikini watu mnampongeza kwa ubaba wa taifa, Mwinyi kwakuwa muislam mnamponda japo alipokuwa madarakani hali zetu zilikuwa bora...the same for Kikwete, in my opinio he has done a lot good than Mkapa but you do not like him....LETS CHANGE GUYS....TUACHE UDINI KWA HAUTOTUPELEKA PAZURI....MTU AKIFANYA MEMA YA HAKI ISEMWE NA AKIFANYA MABAYA TUMSEME KWA HAKI NA SI KUMSINGIZIA......who does not know that before Dr. Dau going there NSSF was a mess....tunatakiwa tumpe moyo huyu mzee...ni msomi, na anatumia elimu yake kufanya mema kwa nchi hii...as far as I know him yeye si mdini.....na huwa anafanya kazi na watu based on merits...kama umeona waliajiriwa waislam wengi then that means hao waislam walikuwa bora on that interview...and as far as I know NSSF panel has the decision power on who to hire...its not like he has a veto in the panel...so if the other panelists let him hire muslims (80%) then hao panel members nao vilaza...and I bet they were one of the people like you...HONGERA DR. DAU KWA KAZI NZURI NSSF.....Tunaojua uliyofanya NSSF tunaelewa anayosema huyu mwenzetu ni pumba tupu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom