Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
katika sakasaka yangu viwanja siku za karibuni mitaa ya kigamboni nimekuta mfanyabiashara Yusuf Manji ana eneo kubwa sana la ardhi ambalo ajaliendeleza au unaweza kusema land banking.
kuna vibao tu vya onyo usiingie kwenye eneo hili.
Leo kwenye gazeti la guardian NSSF wametangaza tenda na kutaka watu wenye heka zaidi ya 100 kwenye maeneo ya kigamboni wawauzie.
maswali mengi nimejiuliza nimekosa majibu.....
kuna vibao tu vya onyo usiingie kwenye eneo hili.
Leo kwenye gazeti la guardian NSSF wametangaza tenda na kutaka watu wenye heka zaidi ya 100 kwenye maeneo ya kigamboni wawauzie.
maswali mengi nimejiuliza nimekosa majibu.....