Joloe
Member
- Jun 19, 2009
- 78
- 8
katika sakasaka yangu viwanja siku za karibuni mitaa ya kigamboni nimekuta mfanyabiashara Yusuf Manji ana eneo kubwa sana la ardhi ambalo ajaliendeleza au unaweza kusema land banking.
kuna vibao tu vya onyo usiingie kwenye eneo hili.
Leo kwenye gazeti la guardian NSSF wametangaza tenda na kutaka watu wenye heka zaidi ya 100 kwenye maeneo ya kigamboni wawauzie.
maswali mengi nimejiuliza nimekosa majibu.....
Your best year is the year when you decide your problem is your own. You don't blame them to your parents, to your country, to your president or the Ecology.
Its when you decide to live your destiny and fight. Author simkumbuki