NSSF Kimewaka

Wadau,hivi kweli hii serikali inaendashwa na watu wenye akili?.Wanapoamua mambo haya bila kuwashirikisha wadau ambao ni sisi wanatutendea haki kweli??
We fikiria mimi nilipata kibarua mwaka Jana kwa mkataba wa miaka miwili tu,na makato ya NSSF yalianza mara moja baada ya kusaini mkataba huo je nitasubiri hadi nifikishe miaka 50 ndo nikadai mafao yangu hayo??
Kazi nimefanya 2011/2012 na nina umri wa miaka 20 so nitalazimika kudai mafao yangu ya miaka miwili niliyofanya kazi ifikapo mwaka 2062???
Haileti picha wala haikubaliki,kama wamezitafuna pesa zetu wakidai ni mali yao sasa wanaumbuka mchana kweupe!!!
 
Jamani tuache hata kufa tu, kampuni nyingi za private zinafanya kazi kwa muda fulani mfano kama miaka 15, 20 n.k. Kwa hiyo wanachosema mafisadi ni kwamba ukiachishwa kisa muda wa kampuni umeisha au umefukuzwa au umeacha kwa hiari basi uendelee kula nyasi weeeeeeeeeeee hadi 55-60. Nakwambia tutapigana, hili haliwezekani hata kidogo.
Hapo tu ndiyo hata mie naweza kubadili research topic yangu nifanye tafiti za kutengeneza makombora ya masafa marefu na mafupi! Lol, naanza kuona jinsi gani nchi huwa zinalipuka na watu kuanza kuuana!! Kwa hili bora tuanze moja wote!!
 
Ni watanzania wangapi wanaochangia mifuko ya hifadhi ya jamii?

Wale ambao hawako kwenye ajira wakifika uzeeni wanaishije.

Ni Kwa nini wafanyakazi wapangiwe mashariti kwenye michango yao? NSSF au ni kweli ni dalili za KUFIRISIKA?
 
Hapo tu ndiyo hata mie naweza kubadili research topic yangu nifanye tafiti za kutengeneza makombora ya masafa marefu na mafupi! Lol, naanza kuona jinsi gani nchi huwa zinalipuka na watu kuanza kuuana!! Kwa hili bora tuanze moja wote!!
Yaan mkuu kwa hili nami niko tayari kujiunga na kikundi chochote kitakachoonekana kuipinga serikali hii hata kama ni cha ugaidi!!!
Ugaidi wanaotufanyia umetosha,nasi tunapaswa kureact juu ya ugaidi huo!!Hakuna serikali hapo ni wizi,unyanyasaji na ufisadi mtupu!!! NAJUTA KUWA MTANZANIA,nisome kwa shida,ajira hakuna ukipata japo ya mkataba pesa unadhulumiwa eti ni peshen utapata miaka 30 ijayo!!NIMECHOKA NA SERIKALI HII?!!??
 
kweli mi nimekwazika tena sana, nasamahani kwa kutukana nssf na ccm nyote ni masaburi, mimi ninaanza kampeni za sacos za ofc kuweka pesa zake bila kuweka kwenye, yani na maliziaa kwa kusema ivi nyote mliopitisha sheria hii mfe mmeweka vidole mikunduni mwenu, anina
 
Hakuna cha kushangaza kuhusu Serikali hii hii DHAIFU katika kuwadhulumu Watanzania haki zao.

Mkuu serikali imekomba hazina yote ya NSSF, sasa wanaona njia pekee ni kusitisha malipo kwa wanachama ili NSSF isiwe declared bankruptcy, ie cannot meet its maturing obligations. Kwa ujumla ni kwamba nchi imefilisika ila hawataki kusema ukweli. Tanzania is now bankruptcy after Government mismanagement of resources. Hili kundi lililopo madarakani sasa la wanamtandao masilahi ndiyo haswa limefilisi nchi kwa kulipana fadhila ya kuchukua nchi kama wao wanavyosema.

bankrupt
- someone who has insufficient assets to cover their debts
 
Yaan mkuu kwa hili nami niko tayari kujiunga na kikundi chochote kitakachoonekana kuipinga serikali hii hata kama ni cha ugaidi!!!
Ugaidi wanaotufanyia umetosha,nasi tunapaswa kureact juu ya ugaidi huo!!Hakuna serikali hapo ni wizi,unyanyasaji na ufisadi mtupu!!! NAJUTA KUWA MTANZANIA,nisome kwa shida,ajira hakuna ukipata japo ya mkataba pesa unadhulumiwa eti ni peshen utapata miaka 30 ijayo!!NIMECHOKA NA SERIKALI HII?!!??
Lakini hiyo sheria hatujaiona mi nawewe, inawezekana inatoa mwanya wa kupata japo kidogo au kuna kakifungu kanako bariki mtu kupewa kitu kidogo siyo unafukuzwa ndo basi kabisa!!
 
Hakuna cha kushangaza kuhusu Serikali hii hii DHAIFU katika kuwadhulumu Watanzania haki zao.

I begg to differ......sisi wananchi wa tanzania na hasa wafanyakazi(wanachama wa mifuko hii) ndio dhaifu tena saaana,...yaani toka wametoa hii notice hii ya kibabe na kipuuzi na kimadharau,...sijasikia sehemu yoyote watu walikopinga kwa vitendo eg,..kwa maandamano,mahakamani or the like_zaidi ya kulalama kwenye mitandao na vijiweni.
 
jamani hivi huyu ibilisi jk, alitokea wapi???? hivi mbona hafi jamani tusherehekee! nasema tena LABDA NITANGULIE MIMI! SIKU ATAKAYOKUFA HUYU BABA NITATEMBEA NA PICHU TU MTAANI KWANGU! NAMCHUKIA KULIKO CHOO CHANGU! KIKWETE NAKUTEMA PUUUUUUUUUUUUUUU! wametunyonya na kuifilisi nchi, sasa hata akiba tuliyo nayo wanatunyang'anya, hapana hilo TUMEPINGA, WACHENI TUUANE TU!
 
Yaan mkuu kwa hili nami niko tayari kujiunga na kikundi chochote kitakachoonekana kuipinga serikali hii hata kama ni cha ugaidi!!!
Ugaidi wanaotufanyia umetosha,nasi tunapaswa kureact juu ya ugaidi huo!!Hakuna serikali hapo ni wizi,unyanyasaji na ufisadi mtupu!!! NAJUTA KUWA MTANZANIA,nisome kwa shida,ajira hakuna ukipata japo ya mkataba pesa unadhulumiwa eti ni peshen utapata miaka 30 ijayo!!NIMECHOKA NA SERIKALI HII?!!??

Hivi hili swala wapinzani wa kweli chadema huko bungeni hawajalisikia?ili waombe muongozo kwa spika lijadiliwe jamani,maana walalahoi wengi ndo wanakotegemea maana ajira zenyewe za wahindi hizi mwaka uko kazini mwaka nje.Hapa sasa kwa hili natarajia wazee wa magwanda watusaidie otherwise sitawaelewa.
 
Nasikia wabunge na wakuu wa nchi wao haliwahusu.miaka yao mitano ikiishi wanadaka pension yao yote.
 
Shime tupiganie haki zetu kwa nguvu zetu zote. Napendekeza matawi yote ya vyama vya wafanyakazi yawashe moto wa kupinga jambo hili pasi kurudi nyuma.
 
Wabunge wenu wamepitisha sheria hiyo mara moja kwa vile wao chao wanakamata kila baada ya miaka 5
 
Wabunge wenu wamepitisha sheria hiyo mara moja kwa vile wao chao wanakamata kila baada ya miaka 5

Na kwanza mjadala kama huo ulivyo nyeti watu wote bongo tusiusikie?walijadili lini?au walijadili kama kamati wamejifungia ukumbuni bila vyombo vya habari?
 
I begg to differ......sisi wananchi wa tanzania na hasa wafanyakazi(wanachama wa mifuko hii) ndio dhaifu tena saaana,...yaani toka wametoa hii notice hii ya kibabe na kipuuzi na kimadharau,...sijasikia sehemu yoyote watu walikopinga kwa vitendo eg,..kwa maandamano,mahakamani or the like_zaidi ya kulalama kwenye mitandao na vijiweni.

Ndio maana wakati mwingine huwa nawakubali wakenya!! Yani hii ungeskia tayari kesi mahakamani na migomo ya kumwaga. Our leaders knows our weakness wanajua tutaongea sana then tunyamaze
 
Kumbe Safari zote za mkuu wa kaya huko Duniani alikuwa anakomba kibuyu cha NSSF??? Ni vigumu kuamini ngoja kwanza nipate uhakika make mi naona kama tetesi vile!.
 
Hadi limefika hapa siamini kuwa wapinzani hawajui, hii yote ni michezo ya kuigiza. Hili hawataligusa for reasons best known to them. Wanajua hili litawagusa hata wao kama kweli sheria imepitishwa walikuwa wapi? Mbona hatukusikia kitu? I am afraid that we will soon lose Tanzania as we have always known it!
 
hivi ni lazima kuchangia hii mifuko ya kikwete na genge lake?
Ni lazima mkuu,sehemu nyingi wanaikata automatically yaan huwezipata mshahara kabla hawajachukua chao.Hata kama hujawa member husema et wanaiweka kwenye mfuko maalumu ukishakamilisha kujaza form za uanachama ndo huzewekw kwenye account yako.

 
Hapo ni kuzichoma ofisi zao tu................wanatuamsha sana watz kutoka usingizi mzito tulionao.....tukiamka ccm ,kikwete na mafisadi wake watatukoma
 
Back
Top Bottom