Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
Ni baada ya kubandika tangazo rasmi la kusitisha malipo ya ''mafao''.
Wanachama waliokuwa hawana taarifa na wamekuja kuchukua malipo yao wamekuwa mbogo ile mbaya.
Nilikuwa napita na hamsini zangu nikakutana na hizi mia!!
Wanachama waliokuwa hawana taarifa na wamekuja kuchukua malipo yao wamekuwa mbogo ile mbaya.
Nilikuwa napita na hamsini zangu nikakutana na hizi mia!!