NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

121be0672b9bc89abcf999f29572a6ea.jpg


Kim akiendeleea na ukaguzi wa Bomu la hydrogen.
 
kwaiyo tuanze kuimba dada uyoooooo anaolewa dada uyoooooo anaolewa x3 leo kim kapeleka posa
Kuna uzi humu nimeuona Trump anataka kujitoa S. Korea. Huku akipiga mikwara. Alivyo kuwa anarusha maneno ya mipasho twitter, naona sasa hivi amenywea. Kaona dogo yupo vizuri.
 
mkuu hapo kwenye red ni kwamba hakujawahi kuwepo vita ya kwanza na ya pili ya dunia,zilikuwa ni vita za ulaya

We hujui kuwa Babu yako alikwenda kupigana hivyo vita?
Hivi Burma iko Ulaya?, vipi kuhusu Japani (Horoshima na Nagasaki) iliyopogwa Mabomu ya Atomic na Marekani nayo ipo Ulaya?, Marekani nayo hipo Ulaya?

Hauna Habari ya vita vilivyopigana hapa Tanganyika kati ya Wajerumani na Waingereza wakiwa na Wabelgiji? Hivi huna habari kuwa Wajerumani walikuja na Askari wao kutoka Africa ya Kusini (Sykes na wenzie) na Wanubi wa Sudan kupigana hiyo Vita?

Au ulikuwa unatania tu?
 
d50416026e0f8c1378394bedad9f2cb8.jpg


Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Japan ikionesha Tetemeko la Ardhi lilitokea baada ya jaribio la Bomu la Hydrogen nchini korea .

Kipimo kimeonesha tetemeko likiwa na magnitude ya 6.3

Marekani inaamini kuwa hili ni bomu lenye nguvu mara 10 ya nguvu la bomu la mwisho kujaribiwa na NK mwezi sept. Mwaka jana.
 
2d0911357d8212ed110554a3f9508734a81a698c1ffc9f1abf9b938d30b2002d_3992553.jpg


Nguvu ya tetemeko la ardhi lilikuwa limepimwa likiwa ni 6.3

Na uzito wa bomu hilo ni kiloton 100

Ni zaidi ya uzito wa bomu la nyuklia ambalo lilitupwa na Marekani mjini Nagasaki mwezi August mwaka 1945 na kumaliza vita vya pili vya dunia.

Hii ni ishara kwamba Korea Kaskazini hajaogopa vitishoi vya Marekani na washirika wake Japan na Korea Kusini ambao walikuwa wakifanya mazoezi ya kutisha katika ukanda wa Korea.

Njia ya kumaliza huu mgogoro ambao kwa kiasi kikubwa unachangiwa na kauli za raisi Donald Trump kama ile ya Korea Kaskazini kukumbana na hasira na moto wa Marekani kuishambulia Korea Kaskazini, ni mazungumzo na majadiliano.

Kim hatanii na sasa yupo tayari kukabiliana na nchi yoyote ile.
Bro Richard mabomu ma2 yaliyopigwa Hiroshima na Nagasaki yalikuwa atomic sio nyuklia wala Hydrogen Atomic ni cha mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
c8bd814ba45fc541e33bd6759ded5a08.jpg


Kibabu cha Tweeter Bw. D. Trump.

Hakuacha kuandika hisia zake mtandaoni. Japo kuwa hii ilikuwa na kabla ya jaribio.

Anaaminika kuwa Rais anayependa kujibu mambo mengi ya kiofisi kwa mtandao wa Tweeter.
 
North korea hawataki kurejea hali iliyowapata miaka ya 50,

ile vita wamarekani walitupa mabomu kuliko hata katika vita vya pili vya dunia,
mabomu tani 650,000?

Mji wa pyoyang uliharibiwa wote majengo ya maana yaliyobaki ni mawili tu yakiwa yamesimama.

Ilifikia hatua ndege za marekani zilikosa kitu cha kushambulia kwani walikuwa wameharibu kila kitu.

Wakorea milioni 3 walikufa,na hiyo ni karibu nusu ya wananchi wa korea,

baada ya hapo wakorea waliapa ,Never again are we going to be so weak,and if we are to die,we will take them with us.....
Lakini safari hii wakikinukisha hatobaki mkorea hata mmoja,kama Urusi alitishia kutumia nyuklia kwa waislamu ndo Marekani ashindwe kuitumia kwa Korea. Anaweza akampiga na hakuna wa kumzuia ila sema tu subira yavuta heri...
 
Nadhani sasa ni muda umefika wa Marekani kurudisha silaha zao za nyulkia pale SK.Na wawaruhusu SK kuzitumia pale wanapoona wanatishiwa hii itamtia akili huyu dogo.Tena warudishe yale mabomu yao ya Hydrogen ya 1.2 Megatons.
 
The problem ni kuwa Nk hawana busara...dudes are ready for war, with the recently tested ICBMs lets pray for US to calm down other tutegemee vita ya 3 ya dunia.

Busara za Us ni muhimu sana kumaliza huu mgogoro.

Kwa nini unasema hawana Busara?, nadhani umeghafirika kwenye matumizi ya hilo neno, kama unamaanisha hivyo mi sikubaliani na wewe kabisa
Jamaa wana Busara sana, kila wanachokifanya ni kwa madhumuni maalum, Haiwezekani adui wako anatafuta support na kuja kufanya mazoezi ya kijeshi mpakani kwako na wewe ukae kimya, Korea Kusini na Marekani wamefanya mazoezi yao ya kijeshi na yeye anawaonyesha kuwa yupo capable,

Cha pili ni Marekani ndiyo nchi isiyotumia busara kabisa linapokuja suala la Vita, ndio nchi pekee Duniani iliyowahi kutumia hayo mabomu yenye nguvu na madhara Makubwa (atomic, Nuclear na Hydrogen), Marekani alitumia Atomic Bombs pale Horoshima na Nagasaki
 
Mtazamo wako tuu mkuu..

Kama wewe hukusoma historia sawa tuu.

Ila siku hivi vita ikianza ndio utaelewa kwanini yanapigana mataifa machache afu inaitwa vita ya dunia
bado nakataa mpaka unipe maelezo yanayojitosheleza
 
Kuna uzi humu nimeuona Trump anataka kujitoa S. Korea. Huku akipiga mikwara. Alivyo kuwa anarusha maneno ya mipasho twitter, naona sasa hivi amenywea. Kaona dogo yupo vizuri.
labda south walimwambia walivyokuwa wana chukuwa mazoezi ya kivita kuwa north wana tucheka maana mazoezi yetu wao walisha maliza
sasa wapo kwenye mambo makubwa zaidi hata hizi Thaad ulizo tuwekea north hawazijali madude yao yana speed mara 100 ya Thaad pia south hawataki vita hapo wamesha weka wazi wamekuwa wajanja!!!
 
Atomic bomb
Nenda kasome vizuri kuhusu nuclear bombs..
Nuclear bombs are of two types atomic bombs and hydrogen bombs.
Atomic bombs result due to the fission reactions of the atoms releasing that energy so powerful..atomic bombs result from the splitting of atoms..
On the other hand Hydrogen bombs it is Vice Versa....Hydrogen bombs are also known as thermonuclear bombs...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We hujui kuwa Babu yako alikwenda kupigana hivyo vita?
Hivi Burma iko Ulaya?, vipi kuhusu Japani (Horoshima na Nagasaki) iliyopogwa Mabomu ya Atomic na Marekani nayo ipo Ulaya?, Marekani nayo hipo Ulaya?

Hauna Habari ya vita vilivyopigana hapa Tanganyika kati ya Wajerumani na Waingereza wakiwa na Wabelgiji? Hivi huna habari kuwa Wajerumani walikuja na Askari wao kutoka Africa ya Kusini (Sykes na wenzie) na Wanubi wa Sudan kupigana hiyo Vita?

Au ulikuwa unatania tu?
kwa hiyo inaifanya iitwe vita ya dunia!
 
Back
Top Bottom