NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

NORTH KOREA: Pyongyang claims to have a Hydrogen Bomb

kiduku hana simile kutumia hizo silaha...na haogopi kitu..

anafuata nyayo za Hitler..na Kim ndiye atakuja kuwa rais wa dunia...Trump makamu wake

vita inajongea na haikwepeki..

.. sivyo Kim aendelelee na makombora yake;na rasmi atakuwa rais wa dunia
Afadhali dogo atawale nasi tunyoe kiduku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atomic Bomb, sio Nuclear wala Hydrogen
mkuu kuna aina mbili za Nuclear bomb ambazo ni Atomic na Hydrogen bomb,Atomic bomb inatumia fission lakini Hydrogen bomb inatumia fusion,ili Hydrogen bomb ifanye kazi inahitaji Atomic bomb kama source yake ya enegry ndio maana Hydrogen bomb ina nguvu kuliko Atomic bomb

kwaio mtu akisema Japan alipigwa Atomic bomb na mwingine akasema Japan alipigwa Nuclear bomb mko sawa wote

Kwa kifupi kila Atomic bomb ni Nuclear bomb lakini sio kila Nuclear bomb ni atomic bomb sababu inaweza kua ni Hydrogen bomb
 
Mpaka sasa ni nchi tatu tu duniani zenye uwezo wa kutungua makombora ya ICBM.Nazo ni Israel,Marekani na Urusi.

Na ni system tatu tu duniani kote zina uwezo wa kutungua ICBM nazo zinapatikana Israel,Marekani na Urusi.
Israel wana Arrow 3
Marekani wana Ground Based Mid course Defence
Na Urusi wana A-135 ant-icbm zamani ilikua ikiitwa A-35.

Hivyo hata China hana uwezo wa kutungua makombora ya icbm

Kaka hebu angalia fact zako vizuri, sio nchi tatu pekee, zipo nyingi kaka
China wanazo, France wanazo, Uk wanazo nk
 
Kaka hebu angalia fact zako vizuri, sio nchi tatu pekee, zipo nyingi kaka
China wanazo, France wanazo, Uk wanazo nk
Me nimekuletea fact zangu hizo hapo, na wewe naomba zako.
Niletee system za China au France ambazo zinaweza kutungua ICBMs tufunge mjadala.
 
Tofauti ni kwamba NK ana nyuklia SK hana. Huoni India na Pakistan zinavyoheshimiana?!. Unadhan SK wakiwa na nuke leo wataogopa vitisho vya North?
Tatizo la NK nadhani sio SK wala Japan,tatizo la NK ni uwepo wa marekani eneo ilo na Marekani anajua kabisa yeye ndio shida,mfano UN walisema pia uwepo wa mazoezi ya kijeshi kati ya US na SK ndo unachochea mgogoro pale,kesho yake US na SK wakafanya fujo zao tena,NK akaona isiwe shida kapitisha kombora Japani
 
wajapan kwa sasa hata sisi tunaweza kuwapiga kama hawana support ya USA.
Haya ni maneno yanayotoka ktk kinywa cha mtu mjinga tuu . .

Nchi yetu inahemea misaada kila kukicha . . , eti leo iwe na uwezo wa kumpiga mjapani anayekubeba ktk miundo mbinu ya barabara na magari . .

Anael ficha ujinga wako . . !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hayo ma S400 hayahusiani kabisa na issue ya kim na trump.
Dogo kapitisha dude juu ya japan USA hajaona kitu. Wakati USA ndiye mlinzi wa japan.

USA tambo za kuwaonea wanyonye na propaganda za kwenye movie za expendable.
Mwenye akili ameshaona USA hana uwezo wowote wa kuingia vitani na Korea.. Hana huo uwezo ndio maana wanapiga domo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la NK nadhani sio SK wala Japan,tatizo la NK ni uwepo wa marekani eneo ilo na Marekani anajua kabisa yeye ndio shida,mfano UN walisema pia uwepo wa mazoezi ya kijeshi kati ya US na SK ndo unachochea mgogoro pale,kesho yake US na SK wakafanya fujo zao tena,NK akaona isiwe shida kapitisha kombora Japani
Upo sahihi kabisa mkuu.Pia upande mwingine naona Marekani anafaidika sana na huu mgogoro ndo maana kila siku anazidisha uchochezi.
NK anaona Marekani kama adui yake, hajasahau kilichomkuta kwenye vita vya Korea ambapo mamilioni ya wakorea walikufa kutokana na mabomu ya US.
 
Haya ni maneno yanayotoka ktk kinywa cha mtu mjinga tuu . .

Nchi yetu inahemea misaada kila kukicha . . , eti leo iwe na uwezo wa kumpiga mjapani anayekubeba ktk miundo mbinu ya barabara na magari . .

Anael ficha ujinga wako . . !

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Hasira ya nini ndugu? Hivi hujui Japan hawana jeshi. Wanategemea kulindwa na wamarekani. Au hujui ndugu?
 
Tofauti ni kwamba NK ana nyuklia SK hana. Huoni India na Pakistan zinavyoheshimiana?!. Unadhan SK wakiwa na nuke leo wataogopa vitisho vya North?
Turejee kwenye swala la India na Pakistan,je kulikua na mtu nyuma yao anaeleta shida..?hawa wawili walikua wanafujo wao kama wao binafsi

NK amejifunza na kilichotokea during Korea war,fikiria Libya au Iraq,hivi wangekua na hizi kitu wangepigwa na US kama kuku,wamefanywa kitu kibaya sana,angalia Syria alipotumia gesi ya sumu tu US karusha kombora zake sababu anajua huna cha kumfanya,lakini sababu Syria ni mdhaifu wanamchezea wanavotaka

NK katengeneza silaha kwa ajili ya kujilinda na US lakini sio kwamba ana uwezo wa kupigana na US 100% one against one,kua na Nuclear inamaanisha kua we ni mbabe sawa nifumue nikufume,tufumuane lakini sio kunionea
 
Duh! Hasira ya nini ndugu? Hivi hujui Japan hawana jeshi. Wanategemea kulindwa na wamarekani. Au hujui ndugu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] natumai hii comment yako umeandika kiutani kama sivyo... Dah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38]
 
Back
Top Bottom