Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,961
S. korea hawana ubabe kwa N. Korea. Ni kama walivyo wajapani. Kwanza wajapan hawana hata jeshi. Wamarekani waliwadanganya.Nadhani sasa ni muda umefika wa Marekani kurudisha silaha zao za nyulkia pale SK.Na wawaruhusu SK kuzitumia pale wanapoona wanatishiwa hii itamtia akili huyu dogo.Tena warudishe yale mabomu yao ya Hydrogen ya 1.2 Megatons.