North Korea has the Lowest IQ in the World

North Korea has the Lowest IQ in the World

Another reason they look malnourished and shorter than their 5' 8" South Korean counterparts.
 
I wouldn't expect anything good from any British or american about North Korea!
If I was so inclined, I might make the point that North Korea is akin to an NWO experiment in social control. A passive population that refuses to revolt, even in the face of starvation, exaltation of a series of idiot leaders and bizarre behavior on the part of the ruling class.
 
If your main aim is to build a military then low a low IQ makes for the perfect soldier. They don't ask too many questions and simply go where they are told. This could be somewhat deliberate.
nimekuelewa mkuu
 
Pengine tatizo lipo kwenye upimaji wa IQ. Unapopima IQ lazima mtihaniwa aulizwe maswali yanayotokana na mazingira yake. Kama walikuwa wanawauliza maswali ya sinema za Holywood wakati wao wametengwa na wa-west kwa zaidi ya miaka 60 sasa hilo ni tatizo la wapimaji. IQ mara zote ni genetically linked. Kama ndugu zao wa damu wa Korea Kusini wana IQ kubwa halafu wao wanaambiwa wana IQ ndogo - Pleeeeease, give me a break.

...Kama sijakosea, hali ya afya ya mzazi inaweza kuingilia ukuaji wa ubongo au vitu vilivyomo humo. Hii itasababisha kushuka kwa IQ. Sasa, afya ya mzazi wa Korea Kaskazini sidhani kama ni bora kama ya wa Kusini. My point here is, this observation is not a permanent case.

Hawa watu wanatengeneza silaha za nyuklia. Unataka kuniambia hawawezi kutengeneza magari, electronics, na consumer goods nyingine?
...Wanaweza sana, na hiyo haimaanishi kwamba wana IQ kubwa au ndogo.

Ukishabanwa na mfumo wa kifedha wa mataifa ya magharibi kama ilivyo Cuba na Iran, na sasa wanafanya hivyo hivyo kwa Urusi basi unakosa uwezo wa kupata credit ambayo ni muhimu kujiendeleza. Sijui kama unafahamu uwepo wa umoja wa nchi zijulikanazo kama BRICS (Brazil, Russia, India, China, South-Africa). Huu umoja unataka kujinasua na mfumo wa dola za kiMarekani ili kukwepa huu uhujumu. Umeona Cuba na Iran zilivyokuwa zimebanwa - kama unafuatilia haya mambo.
...Kwahiyo, Urusi itakuwa kama Cuba na Iran? Anyways, kinachafanyika sasa ni siasa za kuonyeshana nani mwamba au mjanja au mjuaji kuliko mwingine. Russia has a choice.
...Ukitaka kujinasua na mfumo wa dola, usitegemee nchi za ulaya wala marekani na makampuni yao katika kuendesha shughuli zako za uchumi, period. Namaanisha kuwa, usiuze wala kununua bidhaa toka kwao. Sasa, as things stands right now, is that practical?
...Mi nadhani, mfumo wa dola hautakuwa na nguvu pale uchumi wa Marekani na Ulaya na washirika wao, utakapokuwa hauna nguvu wala maana duniani. Sasa, hiyo ni lini?......mie sifahamu.

Kujibu swali lako kwa kifupi ni kuwa Korea Kaskazini haiwezi kujiinua kiuchumi kwa sababu imetiwa kabari vibaya sana na mfumo wa kifedha wa mataifa ya magharibi.
...They have a choice! China iko wapi?
 
If your main aim is to build a military then low a low IQ makes for the perfect soldier. They don't ask too many questions and simply go where they are told. This could be somewhat deliberate.
...Una maanisha wapiganaji wa miguu? Maana, askari wa majeshi ya leo hii ni wenye IQ nzuri kabisa.

...Mwenye low IQ anapanga vipi mikakati ya mapambano?
 
What about Tanzania and other poor Afrikan counties like Somalia and Kenya😊?

I thought N.Kerea had the highest IQ.
 
IQ YA WATANZANIA-watanganyika na ya wazanzibar-ya waunguja na ya wapemba.tuziangalie hizi tukimaliza tuende korea.
 
Choko ni nani?
Choko ni wewe 'unayejiita' mwanaume lakini maneno na vitendo havisadifu uanaume wako! btw, since when the primates started to think +vely??!...phenotypically nyani..genotypically nyani. Wtf.....

Choko ni wewe.

Ona tu hata maneno yako!

Madume ya shoka hawatumii maneno kama 'wtf'.

'wtf' ndo nini?

Ndo uchoko wenyewe huo.

Wewe ni choko choko choko choko choko choko choko choko tu.

Haya, ukimaliza kusoma hapa jichokonoe.
 
hivi wamewezaje kutengeneza zile icbm while sisi wenye iq kubwa kuwazidi hata kijiko hatuwezi tengeneza.
 
Ishmael, what does N/A mean, have u any idea?
Please post that whole list, cos what u are peddling here a lie.
 
Last edited by a moderator:
...Kama sijakosea, hali ya afya ya mzazi inaweza kuingilia ukuaji wa ubongo au vitu vilivyomo humo. Hii itasababisha kushuka kwa IQ. Sasa, afya ya mzazi wa Korea Kaskazini sidhani kama ni bora kama ya wa Kusini. My point here is, this observation is not a permanent case.

Usisikie propaganda za magharibi. Wanaowaoneshwa kwenye picha kuwa wamekondeana wale ni wafungwa. Watu wa kawaida wanajilimia wenyewe viazi, makabichi, nk. na wana lishe nzuri tu. Kwa hiyo usije ukasema wana IQ ndogo kwa sababu ya utapiamlo - hapana.

Halafu kipimo cha IQ ni standardized test. Kwa hiyo inategemea norm au standard ni ipi. Ukienda jangwa la kalahari na kumpima bushman kutumia standardized test iliyotungwa kwa ajili ya watu wa Jo'burg ataonekana IQ yake ni ndogo. Lakini mtu wa mjini akiachwa jangwani Kalahari hatamaliza hata siku moja atakufa kwa sababu IQ yake (uwezo na wepesi wa kutatua tatizo - yani kujikimu jangwani) ni ndogo sana kulingana na yule bushman.


...Wanaweza sana, na hiyo haimaanishi kwamba wana IQ kubwa au ndogo.

Kutengeneza silaha advanced za kijeshi, kupanga mikakati ya vita, kujua diplomasia gani unapolumbana na mataifa ya magharibi na kuwapiku inahitaji utashi wa hali ya juu sana. Hapa ndio unasema huhitaji IQ kubwa kujipanga hivi. Then sijui maana ya IQ.

...Kwahiyo, Urusi itakuwa kama Cuba na Iran? Anyways, kinachafanyika sasa ni siasa za kuonyeshana nani mwamba au mjanja au mjuaji kuliko mwingine. Russia has a choice.

Sijui kama unafahamu kuwa malipo yote duniani kati ya mataifa na makampuni yanatumia dola za kimarekani. Kama marekani ikizuia benki zenu sizipate hii huduma ina maana huwezi kufanya biashara kimataifa. Pamoja na hayo kuna mfumo mwengine wa malipo ya kimataifa yanayoitwa SWIFT NETWORK (google utaona). Huu mfumo au mtandao unamilikiwa na marekani na mataifa mengine machache ya magharibi. Wakikupigia stop umekwisha. Hii ndio maana hizi nchi zinazounda BRICS wanataka kujikwamua.

...Ukitaka kujinasua na mfumo wa dola, usitegemee nchi za ulaya wala marekani na makampuni yao katika kuendesha shughuli zako za uchumi, period. Namaanisha kuwa, usiuze wala kununua bidhaa toka kwao. Sasa, as things stands right now, is that practical?

Nimeelezea hapo juu. Hata kama hutegemei ulaya na marekani lakini huwezi kufanya biashara na mataifa mengine labda mfanye kubadilishana bidhaa - matoke yetu tunawapa na wao wanatupa sukari yao.

...Mi nadhani, mfumo wa dola hautakuwa na nguvu pale uchumi wa Marekani na Ulaya na washirika wao, utakapokuwa hauna nguvu wala maana duniani. Sasa, hiyo ni lini?......mie sifahamu.

Ndio maana ya BRICS.


...They have a choice! China iko wapi?

China wenyewe mpaka sasa wanategemea mfumo wa dola ili kushiriki katika biashara duniani.
 
IQ YA WATANZANIA-watanganyika na ya wazanzibar-ya waunguja na ya wapemba.tuziangalie hizi tukimaliza tuende korea.

Are you serous you want to know IQ's of Zanzibarians?
 
...Una maanisha wapiganaji wa miguu? Maana, askari wa majeshi ya leo hii ni wenye IQ nzuri kabisa.

...Mwenye low IQ anapanga vipi mikakati ya mapambano?
Lower IQ = easier led and brainwashed.Does poverty cause low IQs? Or do low IQs cause poverty?
The soldiers that are now being inducted into their army are shorter and smaller because of malnutrition. In time, N.Korea will self-destruct.
 
Back
Top Bottom