DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 560
Korea kasikazini wapo juu kimaendeleo licha ya vikwazo vya Wazungu na Fitna za Jirani yake Korea kusini hizo tabia za kuwazushia kuwa wana IQ ndogo ni tabia za Wazungu wenye nia mbaya wakidhani watu hawajui kuwa Korea ipo mbali kimaendeleo.
...Wapo juu kimaendeleo? Ndio maana watoto wana utapia mlo tena kwenye vituo vya serikali?
...Kuna nchi iliwekewa vikwazo na kupigwa fitna kama Iran? Sasa, unaweza fananisha maendeleo ya Iran na Korea Kaskazini?