barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
I wouldn't expect anything good from any British or american about North Korea!
Si kweli kuwa kore kasikazini wapo hivyo hii ni fitna za Wazungu tu, Korea kasikazini wapo mbali kimaendeleo kuzipita Nchi nyingi licha ya kuwa ni Nchi ya kijamaa Kama cuba, ina maana Korea inapitwa na Nchi kama burundi Somalia, na hata Sudan kusini? Huo uzushi wa wazungu tu.[SIZE=-1]The intelligence scores came from work carried out earlier this decade by Richard Lynn, a British psychologist, and Tatu Vanhanen, a Finnish political scientist, who analysed IQ studies from 113 countries, and from subsequent work by Jelte Wicherts, a Dutch psychologist.
Countries are ranked highest to lowest national IQ score.
[/SIZE][TABLE="width: 0"]
[TR]
[TD="width: 60, align: left"]Rank
--------[/TD]
[TD="width: 200, align: left"]Country
-----------------------[/TD]
[TD="width: 80, align: center"]%
-------------[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Last North Korea Lower than 59
http://www.photius.com/rankings/national_iq_scores_country_ranks.html
Ahahahahaaa....I agree. 100 percent agree.
Ni kweli unachokisema maana Korea kasikazini wapo mbali kitekinolojia licha ya vikwazo vya Wazungu na fitna za Korea kusini, lakini wapo juu kwenye IQ Wazungu wameamua kuwapakazia uongo tu.No!! Equatorial Guinea is the country wich most of it's ppl tend to have the "lowest IQ" na sio korea kaskazini... Tena sio kweli kabisaaa!! Nchi 10 za mwisho zenye average IQ zinatokea Africa na moja tu inatokea Carribean island nayo ni Saint Lucia, pitia wordpress/data reserch na soma chambuzi mbali mbali.... Pitia vigezo vya upimaji wa IQs ndugu... Nchi kma Ethiopia, Zimbabwe, Cameroon, Guinea ndo IQ ya chini uanzia 64 kushuka
Healthcare ya Cuba ni bora kuliko ya Marekani? Unacheza wewe......
Noooo, that research is not true.
Yaani uchague wakorea kaskazini kua wa mwisho uache nchi kama Tanzania?
Watu wanafire rockets into space,na makombora useme iq ndogo, sio kweli.
naomba kujuzwa iq ya watanzania
How come The USA imports a lot of medical skills from Cuba?
Wewe...watu wenye IQ kubwa huwa hawawezeshwi. Wanatumia IQ yao kubwa kujiwezesha.
Kim Jong Un ana IQ ndogo teh teh
Just like you can get hacked to death on any given day/night by a jambazi using a panga.
We ya kwako ipo kiasi gani?
Mwanamme kuchekacheka Tabia mbaya. Usije pakwa poda tu.
North Korea na South Korea ni ndugu, wakati fulani walikuwa nchi moja. Iweje South waweze kuwa na I.Q. kubwa na ndugu zao wa damu wa Korea ya Kaskazini wasiwe na IQ kubwa?
Hiyo inakuonesha ni vipi ukipingana na mataifa ya magharibi kiitikadi, hasa USA watakuita kila jina. Watu wa Korea kaskazini sio kuwa wana I.Q. ndogo bali ni kuwa hawajawezeshwa kiuchumi kwa kuwa uchumi wao unahujumiwa kila uchweo na mataifa ya magharibi.
naomba kujuzwa iq ya watanzania
Sisi ambao tunashindwa tengeneza toothpicks na viberiti ndio tuna IQ kubwa?
How come The USA imports a lot of medical skills from Cuba?