North Korea has the Lowest IQ in the World

North Korea has the Lowest IQ in the World

Ishmael

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
15,039
Reaction score
6,018
[SIZE=-1]The intelligence scores came from work carried out earlier this decade by Richard Lynn, a British psychologist, and Tatu Vanhanen, a Finnish political scientist, who analysed IQ studies from 113 countries, and from subsequent work by Jelte Wicherts, a Dutch psychologist.

Countries are ranked highest to lowest national IQ score.

Last North Korea Lower than 59


National IQ Scores - Country Rankings
 
North Korea na South Korea ni ndugu, wakati fulani walikuwa nchi moja. Iweje South waweze kuwa na I.Q. kubwa (wanatengeneza Samsung everything kama smartphones, electronics. Pia ndio watengenezaji wakuu wa meli kubwa aina ya Hyundai ukiacha haya magari ya juzi), na ndugu zao wa damu wa Korea ya Kaskazini wasiwe na IQ kubwa?

Hiyo inakuonesha ni vipi ukipingana na mataifa ya magharibi kiitikadi, hasa USA watakuita kila jina. Watu wa Korea kaskazini sio kuwa wana I.Q. ndogo bali ni kuwa hawajawezeshwa kiuchumi kwa kuwa uchumi wao unahujumiwa kila uchweo na mataifa ya magharibi.
 
North Korea na South Korea ni ndugu, wakati fulani walikuwa nchi moja. Iweje South waweze kuwa na I.Q. kubwa (wanatengeneza Samsung everything kama smartphones, electronics. Pia ndio watengenezaji wakuu wa meli kubwa aina ya Hyundai ukiacha haya magari ya juzi), na ndugu zao wa damu wa Korea ya Kaskazini wasiwe na IQ kubwa?

Hiyo inakuonesha ni vipi ukipingana na mataifa ya magharibi kiitikadi, hasa USA watakuita kila jina. Watu wa Korea kaskazini sio kuwa wana I.Q. ndogo bali ni kuwa hawajawezeshwa kiuchumi kwa kuwa uchumi wao unahujumiwa kila uchweo na mataifa ya magharibi.

Wewe...watu wenye IQ kubwa huwa hawawezeshwi. Wanatumia IQ yao kubwa kujiwezesha.

Kim Jong Un ana IQ ndogo teh teh
 
Wewe...watu wenye IQ kubwa huwa hawawezeshwi. Wanatumia IQ yao kubwa kujiwezesha.

Kim Jong Un ana IQ ndogo teh teh

Unataka kunambia watu wa Cuba nao wana IQ ndogo? Nadhani unafahamu historia ya nchi hiyo na Marekani.
 
Inawezekana wana IQ ndogo, ndiyo.

Are you serious?

Cuba ni nchi ambayo imewekewa mikwara ya kila aina na Marekani lakini ina huduma za afya nzuri kupita Marekani maradufu. Wanapeleka madaktari wao dunia nzima - Tanzania wakati fulani walikuja tunusuru. Sasa hivi wako mstari wa mbele kuliko yeyote yule kuidhibiti Ebola.

Listen, nchi za magharibi huwadharau wale wote wasiowapenda - hasa kama hawataki kuwaabudu.

Waliwadharau Urusi weeee, sasa hivi wanaipatapata. Kuna wakati waliwadharau waChina weee na Ukomunisti wao, sasa hivi wanakwenda kukopa huko huko na wanaachwa nyuma kijeshi na kiteknolojia.
Nyani Ngabu ndugu yangu, usishabikie sana wayasemayo hawa watu. Ukisikia wanavyotusema sisi waAfrika na ukayaamini basi hutaweza kufanya chochote kile. Tuwe waangalifu kurudia hizi propaganda zao.
 
Last edited by a moderator:
Are you serious?

Cuba ni nchi ambayo imewekewa mikwara ya kila aina na Marekani lakini ina huduma za afya nzuri kupita Marekani maradufu. Wanapeleka madaktari wao dunia nzima - Tanzania wakati fulani walikuja tunusuru. Sasa hivi wako mstari wa mbele kuliko yeyote yule kuidhibiti Ebola.

Listen, nchi za magharibi huwadharau wale wote wasiowapenda - hasa kama hawataki kuwaabudu.

Waliwadharau Urusi weeee, sasa hivi wanaipatapata. Kuna wakati waliwadharau waChina weee na Ukomunisti wao, sasa hivi wanakwenda kukopa huko huko na wanaachwa nyuma kijeshi na kiteknolojia.
Nyani Ngabu ndugu yangu, usishabikie sana wayasemayo hawa watu. Ukisikia wanavyotusema sisi waAfrika na ukayaamini basi hutaweza kufanya chochote kile. Tuwe waangalifu kurudia hizi propaganda zao.

Healthcare ya Cuba ni bora kuliko ya Marekani? Unacheza wewe......
 
Last edited by a moderator:
Noooo, that research is not true.
Yaani uchague wakorea kaskazini kua wa mwisho uache nchi kama Tanzania?

Watu wanafire rockets into space,na makombora useme iq ndogo, sio kweli.
 
No!! Equatorial Guinea is the country wich most of it's ppl tend to have the "lowest IQ" na sio korea kaskazini... Tena sio kweli kabisaaa!! Nchi 10 za mwisho zenye average IQ zinatokea Africa na moja tu inatokea Carribean island nayo ni Saint Lucia, pitia wordpress/data reserch na soma chambuzi mbali mbali.... Pitia vigezo vya upimaji wa IQs ndugu... Nchi kma Ethiopia, Zimbabwe, Cameroon, Guinea ndo IQ ya chini uanzia 64 kushuka
 
Noooo, that research is not true.
Yaani uchague wakorea kaskazini kua wa mwisho uache nchi kama Tanzania?

Watu wanafire rockets into space,na makombora useme iq ndogo, sio kweli.

Hapo hata mimi nimejiuliza sana,Tanzania iweje iwe juu ya Korea?
 
How can you accurately measure a creature's IQ?.....What you think is intelligence in your realm, could be bulshit in another realm.......Western PROPAGANDA is sickening ,together with its stooge Monkey Ngabu.......ha!.....
Nyani, your ass can be shot any moment by the yankees just for being black....we see daily in Al jazeera, Press TV and CCTV.
Well, North Korea builds its military arsenal from scratch, including Nuclear capable war heads and test fires them?...that tells already they are advanced.
 
Nyani, your ass can be shot any moment by the yankees just for being black....we see daily in Al jazeera, Press TV and CCTV.

Just like you can get hacked to death on any given day/night by a jambazi using a panga.
 
[size=-1]the intelligence scores came from work carried out earlier this decade by richard lynn, a british psychologist, and tatu vanhanen, a finnish political scientist, who analysed iq studies from 113 countries, and from subsequent work by jelte wicherts, a dutch psychologist.

countries are ranked highest to lowest national iq score.


[/size]
[table="width: 0"]
[tr]
[td="width: 60, align: Left"]rank
--------
[/td]
[td="width: 200, align: Left"]country
-----------------------
[/td]
[td="width: 80, align: Center"]%
-------------
[/td]
[/tr]
[/table]
last north korea lower than 59


http://www.photius.com/rankings/national_iq_scores_country_ranks.html

tanzania has the highest.
 
North Korea na South Korea ni ndugu, wakati fulani walikuwa nchi moja. Iweje South waweze kuwa na I.Q. kubwa (wanatengeneza Samsung everything kama smartphones, electronics. Pia ndio watengenezaji wakuu wa meli kubwa aina ya Hyundai ukiacha haya magari ya juzi), na ndugu zao wa damu wa Korea ya Kaskazini wasiwe na IQ kubwa?

Hiyo inakuonesha ni vipi ukipingana na mataifa ya magharibi kiitikadi, hasa USA watakuita kila jina. Watu wa Korea kaskazini sio kuwa wana I.Q. ndogo bali ni kuwa hawajawezeshwa kiuchumi kwa kuwa uchumi wao unahujumiwa kila uchweo na mataifa ya magharibi.

Korea kasikazini licha ya kubanwa na vikwazo vya America na ulaya wapo mbali kimaendeleo huwezi kuwalinganisha na Tanzania kuwaitwa eti wana IQ ndogo ni uzushi wa hao Wazungu.
 
Back
Top Bottom