PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,071
- 29,795
- Thread starter
- #21
TFT display haina view angle nzuri tafuta simu zinazotumia IPS au AMOLED
mkuu ni nadra sana kukuta soc nzuri ya mediatek, ila p20 ni nzuri, imetengenezwa na manufacturing technology ya 14nm hivyo haina tofauti sana na sd625. sema still kioo ni lcd hawajatumia super amoled. simu ya samsung isiyo na amoled huwa naiona ya kawaida sana.Chief, Nimeiyona galaxy J7 2017 MAX wametumia SOC za mediatek helio p20 ila RAM DDR4 na ROM 32Gb.. ila J7 pro ina balaa 64 gb but SOC ni exnyos
Tetesi zinaonyesha pia J7 2017 inaweza kuja na Soc ya exnyos 7870 ya mwaka jana.mkuu ni nadra sana kukuta soc nzuri ya mediatek, ila p20 ni nzuri, imetengenezwa na manufacturing technology ya 14nm hivyo haina tofauti sana na sd625. sema still kioo ni lcd hawajatumia super amoled. simu ya samsung isiyo na amoled huwa naiona ya kawaida sana.
hii j7 pro inayo super amoled lakini inatumia soc ya zamani 7870 ambayo imeshatumika kwenye simu za mwaka jana, pia naona gpu yake ya kawaida sana.
mi nasubiria j7 ya 2017 kwanza kama tetesi zipo sahihi itakuwa na sd625, 3Gb ram na full HD super amoled, hivyo itakuwa nzuri kushinda hizo hapo juu.
yap hio pia nimeona, angalau hata waweke 7880 kama A7 2017, maana battery life ya hii A7 ni balaa,Tetesi zinaonyesha pia J7 2017 inaweza kuja na Soc ya exnyos 7870 ya mwaka jana.
A7 2017 now inapatikana kwa ngapi dukani?.yap hio pia nimeona, angalau hata waweke 7880 kama A7 2017, maana battery life ya hii A7 ni balaa,
labda 1M mkuu maana wamezi overprice kupitiliza hizi A seriesA7 2017 now inapatikana kwa ngapi dukani?.
Nokia 7 zinatoka lini?kama unamatumizi mengi sd430 ni ndogo sana, subiria sd 660 ambayo ni mziki mnene kwa midrange na tofauti yake na flagship soc kama sd835 ni asilimia kama 15 tu hivi.
hata mimi nasubiria Nokia 7 au 8.
jamaa niliemuona hua anauzia fb tu na mzigo nyumbani mcheki hapa.
High Life Tanzania
labda kuanzia september ndipo tutaanza kuziona nokia 7 na 8Nokia 7 zinatoka lini?
Duh. Mbali sana.labda kuanzia september ndipo tutaanza kuziona nokia 7 na 8
UAE zimeshaanza kuuzwa bei nzuri sana, wale wa dubai watazileta sasa hiviDuh. Mbali sana.
Uvumilivu umenishinda, acha nichukue hiyo 6 kwanza.
Hiyo nyingine ikitoka ntaivuta pia.
mkuu kwa makadirio ya hapa bongo inaweza kufika bei gani?UAE zimeshaanza kuuzwa bei nzuri sana, wale wa dubai watazileta sasa hivi
sina uhakika aisee ila bei za huko nimkuu kwa makadirio ya hapa bongo inaweza kufika bei gani?
Ilitoka tangu november mwaka jana kwa soko la Asia. Tz sina uhakika. Ndiyo hii ninayotumia.sidhani kama imeshatoka hii, umeiona wapi? au unamaanisha j7 prime ya kawaida?
hapana aisee hio ni j7 prime na sio j7 2017 primeIlitoka tangu november mwaka jana kwa soko la Asia. Tz sina uhakika. Ndiyo hii ninayotumia.
nataka nifumbe macho nichukue huawei p9 naona hii nokia 6 Soc yake ya 430 ni ndogo kwa matumizi yangu hasa upande wa heavy game hasa zile za 3D gamessina uhakika aisee ila bei za huko ni
-Nokia 3 ni AED 500 sawa na tsh 304,000
-Nokia 5 ni AED 650 sawa na tsh 396,000
-Nokia 6 ni AED 800 sawa na tsh 487,000
p9 sio mbaya, weakness yake ni gpu tu.nataka nifumbe macho nichukue huawei p9 naona hii nokia 6 Soc yake ya 430 ni ndogo kwa matumizi yangu hasa upande wa heavy game hasa zile za 3D games
Hiyo inayouzwa 850,000/= ni Nokia ngapi mkuu??tayari zimeanza kuuzwa wiki hii dunia nzima, kuna baadhi ya watu naona wanauza hapa bongo ila 850,000. subiria pengine wiki au wiki mbili zitajaa aggrey. sema nina wasi wasi sana na bei tutakazouziwa huku,