Noandoka Tanzania

Noandoka Tanzania

Nikiendelea kuka hapa nitakuja kuwa mtu mbaya sana zaidi ya gaidi
emoji3.png
emoji3.png
 
Mkuu bora ubak tupange mikakati ya kulinusuru taifa letu ... Me nafikiri tuungane kupambana sio kukimbia mkuu.
 
Ukomavu n kukabiliana na matatzo na sio kuyakimbia, utafka unapokwenda napo kuna matatzo yake uko ndio ata Uhuru wa kuongea hautakua nao na akil itakutuma ukimbie tena, tena na tena
Sikutakii mema wala mabaya pia, ntakukalibisha tena Tz bongo kwa mikono miwil kama mwana mpotevu

Nchi za wengine wana akili timamu hawazibwi midomo kama hili linchi lenu. Atakuwa na uhuru wa kuongea atakavyo fyi
 
Sisi hatuna pa kwenda tunabaki hapa hapa. Hata vitu vidogo kama ving'amuzi hatuwezi tena kulipia hivyo imebakia na channel moja tu ya tbssem ambao mbali na kushindwa kuonyesha bunge live wana uwezo wa kumfuata 'naibu rais' nyumbani kwake wakati wa chai na kumuonyesha live (nimeshuhudia leo)!
 
naipenda sana nchi yangu TANZANIA na najivunia kuwa MTANZANIA ila sipendi mambo ambayo yapo ndani ya TANZANIA

Live longer my country.
 
Mkuu kuishi nje ya nchi yako hakuna raha yyt, mi nimejaribu sikujisikia kama ninavyojisikia furaha nikiwa nchini kwangu. So bora uendee tu usiuze chochote utakuja kurudi kama lemutuz
 
We sepa bhana...sometimes bora kuishi kwa box na Amani huko kwa wazungu...kuliko kuendelea kuishi mfu moyoni 'for the rest of your life'...tena helplessly kabisa..

Nenda,tena usigeuke nyuma
 
hilo wazo linanisumbua xn na mm ili kuepika nitaondok,roho inavyoniuma ujinga unaoendelea,naumia xn
 
Poa Mkuu , kukimbia vita siyo kama umeshindwa..

Nenda kajiandae, uje upambane tena huenda ukashinda.
 
Kwa kesi ya kutafuta amani huko uendako inategemea ndugu na chaka utakalokua..vinginevyo trust me utakumbuka Africa...aisee pamoja na shida tulizonazo tuko tofauti sana na wenzetu..anyways bon voyage!
 
Nenda wala usirudi !!!! Lazima ni mmoja wa wale wanaotumia UJANJAUJANJA KUISHI ,sasa mianya imezibwa UNAHAHA ! Ila angalia huko uendako yasije yakakukuta ya kukukuta !
 
Nenda uendako, unakwenda kuwa raia wa daraja la pili.Utakae kuwa unaishi kwa vibali,
 
Back
Top Bottom