Mkuu mmemchoka wewe na nani?Tumekuchoka ondoka tu,ebo🙂🙂🙂
mkuu nahisi unaenda UK,msalimie sana mama Theresa May,mimi siondoki,namalizia mkakati wa kuwaroga hadi kufa viongozi wote wa ccm.magharibi
Hawana jeuri ya kumhoji Mbowe,Vipi hivi ile hela katika ripoti ya CAG iliyopotea hapo ufipa na wewe umefaidika au anakula mbowe pekee huku wewe ukiendelea kuwa mda fish a viatu wake?
Mkuu, ni ngumu na huwezi kuzuia tufani Tanzania ni pagumu sana kwa kila unachokifanya viongozi ndio huamua mlolongo wa maisha kwa mifumo ya mataifa yasiyo na mfumo sahihi unaweza kufanikiwa Leo kesho ukafilisika kwa kuwa serikali huendeshwa kwa maamuzi ya mfukoni mwa wenye mamlakaTanzania ni nchi nzuri saana tuipende tuithamini wote bila kusubiri wanaotuongoza wafanye hivyo.
Kila mmoja ana maamuzi binafsi ila nakuhakikishia ukiwa nje unaweza kuipenda Tanzania na ukabadili mawazo.
Colombia nchi nzuri sana nimeishi jijin medellin ni developed city maisha yapo powa sawa pia unaweza visit chile ,peru na Argentina pia maisha mazur kule sipo Tanzania nchi ya bashite heheheHuenda anaenda Afghanistan, au Colombia, au pengine Palestina/Gaza au Ukraine na pengine hata Somalia
Mkuu una kumbukumbu nzuri sana, ni kweli huyu Shibe kijijini yeye alikwenda South Africa na mpaka leo hakuleta mrejesho!Kuna member alikuwa anaitwa Shibe kijijini alichukua maamuzi kama yako but hajaleta mrejesho naomba usifanye kama yeye.
Dah,lakini sio njia ya kutatua swala linaloikumba nchi yako cha msingi ungesimamia yale ambayo unaona yataikomboa nchi yako,na hata hivyo huko unakokwenda je ywkitokea kama haya yanayotokea huku kwetu utarudi tena au utatafuta nchi nyingine????Naondoka Tanzania,
Hivi sasa naelekea uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kwa ajili ya safari yangu hii. Nimeacha mke na watoto pamoja na wazazi ambao natarajia watanifuata baada ya mwezi mmoja kwani naenda kuwaweka sehemu salama zaidi na ambayo wanangu watakuwa na haki ya kuota ndoto.
Nirudi kwenye sababu za kuondoka;
Kwanza niseme sababu ya kwanza ya kuondoka na kwasababu ninao uwezo wa kuondoka, pili kwa kweli uzalendo unanishinda na naona kabisa kuwa kadiri siku zinavyoendaelea nazidi kuichukia nchi yangu, kuwachukia viongozi wangu, kuwachukia aia wenzangu na hata kujichukia mwenyewe.
Najisikia vibaya kwani sasa nina mashaka na wasi wasi wakati wote, naona aibu kuwa Mtanzania.
Ubaya mkubwa ni ukweli kwamba tayari nchi yetu imeshapiga magoti, wananchi wamekata tamaa, taifa limepoteza mwelekeo na hata sasa ukimuuliza hata Rais wetu ni wapi anakopeleka nchi yetu hana hata jibu dogo analoweza kukupa bila kujiuma uma na kuchanganya mambo.
Sijui tulikosea wapi, sijui turekebisheje ila kwa wale ambao tunaweza kuondoka basi tuondoka, nyumba na mali zangu zote nimeweka kwa madalali waziuze ili pesa hiyo itusaidie kwenda kuanza maisha mapya mimi na familia yangu.
Ee Mungu utusaidie
Hahaha Mara ya mwisho alitueleza alivyo change pesaMkuu una kumbikumbu nzuri sana,Shibe kijijini yeye alikwenda South Africa na mpaka leo hakuleta mrejesho!
Najua unachokisema... Ila viongozi wetu sio binadamu kutoka sayari nyingine. Ni watu miongoni mwetu.Mkuu, ni ngumu na huwezi kuzuia tufani Tanzania ni pagumu sana kwa kila unachokifanya viongozi ndio huamua mlolongo wa maisha kwa mifumo ya mataifa yasiyo na mfumo sahihi unaweza kufanikiwa Leo kesho ukafilisika kwa kuwa serikali huendeshwa kwa maamuzi ya mfukoni mwa wenye mamlaka