Pole sana kwa kuchukua uamuzi huo, ni kweli kuna baadhi ya changamoto zipo hapa nchini ila naamini zinarekebishika, inawezekana kuna watu wameshindwa kufanya majukumu yao kutokana na uoga au unafiki wa kushauri vizuri maeneno fulani ila ninaamini kabisa jinsi siku zinavyoelekea tutakaa sawa, ukiondoka wewe ukawaacha ndugu zako, rafiki zako na taifa lako bado naona ni kujiweka katika shida nyingine kubwa, maana unapoishi nchi nyingine unakuwa mgeni, hutakuwa hata na haki ya kulaumu au kukosoa mambo yakienda kombo kwenye hizo nchi. Hakuna nchi ambayo haina changamoto, kila sehemu zipo shida zake na uzuri wake. Kinachotakiwa ni kupaza sauti kiungwana ili wahusika wajitathmini kiungwana na kurekebisha kasoro kiungwana ili tupige hatua.Naondoka Tanzania,
Hivi sasa naelekea uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kwa ajili ya safari yangu hii. Nimeacha mke na watoto pamoja na wazazi ambao natarajia watanifuata baada ya mwezi mmoja kwani naenda kuwaweka sehemu salama zaidi na ambayo wanangu watakuwa na haki ya kuota ndoto.
Nirudi kwenye sababu za kuondoka;
Kwanza niseme sababu ya kwanza ya kuondoka na kwasababu ninao uwezo wa kuondoka, pili kwa kweli uzalendo unanishinda na naona kabisa kuwa kadiri siku zinavyoendaelea nazidi kuichukia nchi yangu, kuwachukia viongozi wangu, kuwachukia aia wenzangu na hata kujichukia mwenyewe.
Najisikia vibaya kwani sasa nina mashaka na wasi wasi wakati wote, naona aibu kuwa Mtanzania.
Ubaya mkubwa ni ukweli kwamba tayari nchi yetu imeshapiga magoti, wananchi wamekata tamaa, taifa limepoteza mwelekeo na hata sasa ukimuuliza hata Rais wetu ni wapi anakopeleka nchi yetu hana hata jibu dogo analoweza kukupa bila kujiuma uma na kuchanganya mambo.
Sijui tulikosea wapi, sijui turekebisheje ila kwa wale ambao tunaweza kuondoka basi tuondoka, nyumba na mali zangu zote nimeweka kwa madalali waziuze ili pesa hiyo itusaidie kwenda kuanza maisha mapya mimi na familia yangu.
Ee Mungu utusaidie
JAh RastafariSure.napenda sana watu mnaojielewa
JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Naondoka Tanzania,
Hivi sasa naelekea uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kwa ajili ya safari yangu hii. Nimeacha mke na watoto pamoja na wazazi ambao natarajia watanifuata baada ya mwezi mmoja kwani naenda kuwaweka sehemu salama zaidi na ambayo wanangu watakuwa na haki ya kuota ndoto.
Nirudi kwenye sababu za kuondoka;
Kwanza niseme sababu ya kwanza ya kuondoka na kwasababu ninao uwezo wa kuondoka, pili kwa kweli uzalendo unanishinda na naona kabisa kuwa kadiri siku zinavyoendaelea nazidi kuichukia nchi yangu, kuwachukia viongozi wangu, kuwachukia aia wenzangu na hata kujichukia mwenyewe.
Najisikia vibaya kwani sasa nina mashaka na wasi wasi wakati wote, naona aibu kuwa Mtanzania.
Ubaya mkubwa ni ukweli kwamba tayari nchi yetu imeshapiga magoti, wananchi wamekata tamaa, taifa limepoteza mwelekeo na hata sasa ukimuuliza hata Rais wetu ni wapi anakopeleka nchi yetu hana hata jibu dogo analoweza kukupa bila kujiuma uma na kuchanganya mambo.
Sijui tulikosea wapi, sijui turekebisheje ila kwa wale ambao tunaweza kuondoka basi tuondoka, nyumba na mali zangu zote nimeweka kwa madalali waziuze ili pesa hiyo itusaidie kwenda kuanza maisha mapya mimi na familia yangu.
Ee Mungu utusaidie
Acha fikra mfuNaona unaenda kuungana na dada yako mange
Ongelea nafsi yaakoTumekuchoka ondoka tu,ebo🙂🙂🙂
Safari njema. Wasalimje kwenu Somalia.Naondoka Tanzania,
Hivi sasa naelekea uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kwa ajili ya safari yangu hii. Nimeacha mke na watoto pamoja na wazazi ambao natarajia watanifuata baada ya mwezi mmoja kwani naenda kuwaweka sehemu salama zaidi na ambayo wanangu watakuwa na haki ya kuota ndoto.
Nirudi kwenye sababu za kuondoka;
Kwanza niseme sababu ya kwanza ya kuondoka na kwasababu ninao uwezo wa kuondoka, pili kwa kweli uzalendo unanishinda na naona kabisa kuwa kadiri siku zinavyoendaelea nazidi kuichukia nchi yangu, kuwachukia viongozi wangu, kuwachukia aia wenzangu na hata kujichukia mwenyewe.
Najisikia vibaya kwani sasa nina mashaka na wasi wasi wakati wote, naona aibu kuwa Mtanzania.
Ubaya mkubwa ni ukweli kwamba tayari nchi yetu imeshapiga magoti, wananchi wamekata tamaa, taifa limepoteza mwelekeo na hata sasa ukimuuliza hata Rais wetu ni wapi anakopeleka nchi yetu hana hata jibu dogo analoweza kukupa bila kujiuma uma na kuchanganya mambo.
Sijui tulikosea wapi, sijui turekebisheje ila kwa wale ambao tunaweza kuondoka basi tuondoka, nyumba na mali zangu zote nimeweka kwa madalali waziuze ili pesa hiyo itusaidie kwenda kuanza maisha mapya mimi na familia yangu.
Ee Mungu utusaidie
Nimekupata mkuu. All the best! Wengi waliondoka toka zamani kwasababu hizihizi. Unaweza kujikuta upo jela au umeuwawa na watu wasiojulikana na manazi wengine wa chama na sirkali.Nikiendelea kuka hapa nitakuja kuwa mtu mbaya sana zaidi ya gaidi