No one to blame ila mimi mwenyewe

No one to blame ila mimi mwenyewe

Mwombe radhi maana mwenzi wake yupo na tezi halijawa dume. Hata kama ingelikuwa hivyo sivyo michepuko si ipo mpaka ajikaze?

shemeji kwani umeelewaje? mi nmemaanisha ajikaze asome hii thread ndefu
 
Hamna cha uzungu wala nini.

Take action now, ukishazaa wanao watateseka.
 
Pole sana ndugu yangu.Hapo tayari umeishafanya kosa kama unaweza kuliepuka kabla hamjaanza process za ndoa bora umwambie tu kuwa haujampenda toka moyoni kuliko kujitesa

Ushauri wa kipuuz huu! Mgirik umeongea point sana, big up
 
Last edited by a moderator:
action gan unayoisema?

Amesema anatamani angekuwa mzungu atengue ndoa ili awe happy. Hapa kuna mawili. Kutengua ndoa na kuamua kukaa kwenye ndoa and make it work.

If it were me Karucee sing'atuki ng'ooooo. As long as the man is treating me right, respects me and he is God fearing. I would fight to make it work.
But thats just me Karucee. I am not so demanding and I try to make the best of everything.
 
Kama humpendi mtu humpendi tu, hakuna cha mbele wala katikati.

Unadhani wamkomesha furani kumbe wajikomesha. Pole bidada maji umeyavulia nguo mwenyewe yaoge tu.

Mi kitu cha kwanza napenda nikupe pole sana kwa kupenda alafu ukaishia kupewa ahadi zisizotekelezeka, hiyo ipo sana katika maisha mdada, lakini bado hujachelewa, kuolewa na huyo guy usijilaumu sana ukihisi umekosea nooooo, kinachokuponza ni kufanya comparison alafu inaonekana ulikuwa una kitu tunaita over expectations, hii ni sumu kwenye mapenzi mdada, utakuwa na tamaa bure make ulichohisi hukipati then utacheat alafu hiyo ndo itakuwa mbaya zaidi, nadhan huyo guy si rafiki yako kwa maelezo yako bali ni mmeo, hili ni kosa kubwa sana, mfanye awe rafiki alafu kaeni chini, mueleze ni jinsi gani unataka awe ili umpende zaidi, una nguvu na mamlaka ya kumfanya mtu awe kama unavyotaka wewe.

Ukifungua mdomo ndo utakuwa mlango wa furaha katika ndoa yako ila kwanza mlete karibu yako kwanza kwa kunfanya rafiki yako kwanza. hayo mambo yanatokea sana katika maisha ila unayo nafasi ya kufanya marekebisho.

Riser.
 
very simple ila yataka ujasiri, JIPE MOYO

mweleze huyo mumeo kua ulishaua kabla hamjaoana, pili mwombe radhi mumeo kwa kosa la kuua ulilolifanya, tatu mwombe radhi mtoto uliyemuua-Mungu aona yote hata mawazo yetu, kisha nenda ukatubu hiyo dhambi ya mauaji na usirudie tena kuua wala kutumia vidhibiti mimba na uwe tayari kuupokea na kuulinda uhai mpya.
Mungu atakubariki na utakua na maisha yenye furaha katika ndoa yako.
 
Nlifuatilia ndoa za wahindi....kuanzia hapo naamini You can build love with anyone....ni jinsi tu utavyoutune moyo wako....Moyo ni kama sponji ukilitia kwenye maji machafu ukikamua litatoa maji machafu, ukilitia kwenye maziwa ukikamua litatoa maziwa....

Just fill your heart with love....utampenda tu....

Kweli kabisa Kim Nana uamuzi uko kwake
 
Ni mpole kweli yaan

basi ndo mana, pole mwaya! omba mungu umpende na jaribu kuchati au kumpigia kila mara anapokua mbali na ww, akiwa karibu jaribu kumuangalia sana usoni anapoongea, au kuangalia kitu chake kizuri unachovutiwa nacho, utampenda tu! trust me
 
Mi kitu cha kwanza napenda nikupe pole sana kwa kupenda alafu ukaishia kupewa ahadi zisizotekelezeka, hiyo ipo sana katika maisha mdada, lakini bado hujachelewa, kuolewa na huyo guy usijilaumu sana ukihisi umekosea nooooo, kinachokuponza ni kufanya comparison alafu inaonekana ulikuwa una kitu tunaita over expectations, hii ni sumu kwenye mapenzi mdada, utakuwa na tamaa bure make ulichohisi hukipati then utacheat alafu hiyo ndo itakuwa mbaya zaidi, nadhan huyo guy si rafiki yako kwa maelezo yako bali ni mmeo, hili ni kosa kubwa sana, mfanye awe rafiki alafu kaeni chini, mueleze ni jinsi gani unataka awe ili umpende zaidi, una nguvu na mamlaka ya kumfanya mtu awe kama unavyotaka wewe.

Ukifungua mdomo ndo utakuwa mlango wa furaha katika ndoa yako ila kwanza mlete karibu yako kwanza kwa kunfanya rafiki yako kwanza. hayo mambo yanatokea sana katika maisha ila unayo nafasi ya kufanya marekebisho.

Riser.
Mkuu neno zuri kabisa umempa dada yetu! History yake inaumiza kwa kweli! Nashangaa kuna watu humu wa comment kwa kejeli yaani ovyo ovyo tu!

Ni vema tukajiaminisha kuwa, wengine wanao omba ushauri humu wanaweza kuwa ni watu wetu wa jirani kabisa bila ya sisi kufahamu! Hivyo ni vema sana kuzingatia utoaji wa ushauri usiokwaza bila sababu za msingi!
 
Asanteni jaman woote kwa ushauri,nashukuru sana mmenipa moyo kwakweli,mbarikiww
 
Pia siku ya kwanza tumeonana alichoniuliza ni kama nimepata ujumbe wake,nikajibu ndio!na aliniuliza kama nina mtu ninae mdate,nikasema hapana!hakutaka kujua profile yangu na mimi pia sikumuuliza yake kwasababu nilishaambiwa na mdogo wake!na yeye kunioa ilikua sio kwasababu alinipenda ila ni shinikizo la wazaz wake kua anatakiwa aoe kabila fulani,na yeye alisema amechoka kabisa kwaio yoyote ambae mdogo wake atamletea basi atamuoa huyo!
Pia nina hisi na yeye anafeel the same kama mimi,kwa jinsi tunavyo ishi!ila ndio hivyo maji tuliyavulia nguo wenyew shart tuyaoge!
Wadada narudia tena msije fanya mistake niliofanya mimi maana inatesa sana!
Samahani kwa mwandiko

kwa hiyo wote humo ndani hampendani? Mmeoana tu kwa kuwa kila mmoja alikuwa na shinikizo upande wake? By the way..., hiyo ndoa yenu ina muda gan mamito?
 
Yaan kama ulikuwepo my dear nilotak kumkomeaha huyo mtu mana alinambia hakuna mwanaume atakae nioa!yaan nalia kila siku aisee basi tu

Naomba Mungu aniokoe kutokana na wanawake waliotoa mimba na kuwaua wana wao. Ukatili huu siuelewi kabisa.
 
Usikilize moyo wako. Naamini maumivu ya kupenda hupoa ukipenda tena. Pole kwa yaliyokukuta jitahidi usioneshe kumchukia
 
Tracy i feel ur pain!!!Do wat is th best for you.People do mistakes in life;we all do.So do not regret at all.Ths is a lesson for you and all of us.Nothing bad like living unhappy life maana utapata matatizo ya kiafya ikiwemo depression au heart attack,na pia sioni kama unaenjoy tendo la ndoa on that sense.Isee fear in ur life,u want to please the world while u ar hurting urself.Unahitaji kubreak up au kujipa time kwa kutizama positive side ya partner wako.Unafeel kumchukia kwa kuwa tayari moyo wako unamajeraha.Tizama ni nn kilikufanya ukasema Yes kwake.The tiny good thing u saw from him jus narture it.Take time to forget allabout the past.Unaweza kwenda kwa counselor pia kupata ushauri wa kitaalam.Cha muhimu sana ACHA KUJUTA maishani.Watu wengi wanapitia au wamepitia hali kama yako.U ar never alone
 
Amesema anatamani angekuwa mzungu atengue ndoa ili awe happy. Hapa kuna mawili. Kutengua ndoa na kuamua kukaa kwenye ndoa and make it work.

If it were me Karucee sing'atuki ng'ooooo. As long as the man is treating me right, respects me and he is God fearing. I would fight to make it work.
But thats just me Karucee. I am not so demanding and I try to make the best of everything.

Waoo this is karucee i always appreciate no wonder umeshika spana to fix and shape every shapeless things in your life,nimependa ulichosema paragraph ya pili na ya tatu natamani watu wote tungejua hili sad thing watu wanafikiri marriage is only affection,laazma tujifunze kufanya mambo yatokee bila kujitoa kwa kuumaniisha kwenye ndoa hata kama uliolewa na mtu ambaye ulisema uwez kuishi bila yeye it wont work
 
Back
Top Bottom