No one to blame ila mimi mwenyewe

No one to blame ila mimi mwenyewe

Hudhani moja ya sababu za kutokudumu kwenye mahusiano ya awali kubwa ni mwandiko wako? Daah mnaojiita wanachuo wa kizazi hiki bwana!
 
Nina maswali kadhaa hapa ambayo yanaambatana na hoja zangu.
1.Wewe ulitaka ndoa au ulitaka kupenda?maana hadithi yako inaonyesha kiu ya moyo wako siyo kupenda ila ni ndoa..
2.Uamuzi wakuolewa ulilazimishwa au ulikubali mwenyewe??maana inaonyesha maamuzi yako yametawaliwa na hasira na visasi kwa lengo lakumuumiza mtu/watu kama ilivyo ada ya wanawake wote dunian..
3.Unajuta kuingia ndani ya ndoa au unajuta kuwa na mahusiano na huyo mtu??maana inaonyesha hapa hoja yako siyo matatizo katika ndoa ila ni matatizo yako yakutokumpenda huyo jamaa kwa sababu ya maumivu uliyopewa hapo nyuma..
Hitimisho lako halina uhusiano na magumu ya kwenye ndoa ila lilitakiwa liwe na hoja yakuonya kutoanzisha mahusiano na mtu usiyempenda,maana story yako inaonyesha uchungu wa mahusiano ila hakuna uchungu wa ndani ya ndoa...hata waafrika wanafunga ndoa za mahakamani siyo wazungu pekee,ndiyo kusema UPENDO wako utaanza kustawi nakuonekana baada ya muda ikiwa utaweka akili yako ndani ya ndoa kuliko kupoteza muda kufikiria yaliyopita ambayo hayawezi badilika...

Nilitaka ndoa kwasababu ndio kitu ambacho kilikua nina zunguka kichwani kwangu,na nilijipa moyo kwamba nitampenda tuu,which is not happening
2.kuolewa nilikubali mwenyew ma nili pretend kua happy
3.najuta kuingia ndani ya ndoa na mtu nisiempenda
 
Jaman ndio maana nikasema najilaumu mwenyewe na nimetoa ushaur kwa wadada wenzangu,msije fanya mambo hasa ya ndoa kwa kumkomoa fulani
 
You can learn to love...daaah ila nuonea huruma sana huyo husband wako.... kuishi na mtu asiyekupenda ni shida sana.
 
Nilitaka ndoa kwasababu ndio kitu ambacho kilikua nina zunguka kichwani kwangu,na nilijipa moyo kwamba nitampenda tuu,which is not happening
2.kuolewa nilikubali mwenyew ma nili pretend kua happy
3.najuta kuingia ndani ya ndoa na mtu nisiempenda

Sasa mbona hoja yako inaonyesha nani dhahiri shahiri kuwa tabu ni wewe kuanzisha mahusiano na mtu usiyempenda ila siyo tabu za ndoa...kwa sababu hakuna tatizo ndani ya ndoa ila wewe ndio una matatizo...kuna mchangiaji alisema utapata furaha yakupenda ukishapata mtoto,ni kweli na sahihi kabisa..hilo utaliona haswa ikizingatia mwenzako hana matatizo..ujumla wakupata mtoto na yeye utakupa furaha yakupenda...bado nina mashaka na hitimisho lako,kwa sababu bado kuna watu na wataendelea kuweko wanaofanya maamuzi ya hasira nakukurupuka ili kumkomoa flani,wanaingia katika mahusiano ambayo siyo sahihi...ndoa yako haina tatizo ila wewe ndio una matatizo...
 
Dah...hiyo ya kuchoropoa tu ndio fungu langu la kukariri kwenyw habari yako...!!

Mpwa hata mimi nilitaka nimtafute nimpooze kidogo free of charge. Lakini baada ya kusikia kuwa aliuwa, aiseee imelala kabisaaaa imegoma kasimama na kunisikiliza ombi langu
 
i feel your pain through your thread.
Tatizo letu tunapenda kumfurahisha kila mtu badala ya kujifurahisha wenyewe.
Im my life (i swear this) kama sitapata atakayenifanya moyo wangu upepesuke kwa kumpenda sidhani kama nitaoa na pia nikimpata na akanizingua kwa kweli sidhani kama ntang'ang'ania kuwa nae

I only live once and i want to live my life to the fullest

Mpwa huyo zaa mwenyewe labda, ila hivi hivi aaaggh sahau kabisaaaa
 
nikifikiri maisha walioishi mababu na mabibi kinakuja chuma bibi anaambiwa huyu ndio mumeo full stop wanaenda kuishi mpaka wanatukuu! naona hizi ni mbwembwe huwezi sema kuwa hukumpenda sasa kama ulienda kuangalia mkato wa chumba (kutoa gundu )limetoka rudi kwenu aagh viumbe wazito!
 
Pierre nimekuelewa na asante sana,ndio maana kwenye post nikasema no one to blame ila mimi mwenyewe,ni mimi najilaumu kwakukimbilia ndoa ambayo nilijipa moyo kua ntampenda
 
Pia siku ya kwanza tumeonana alichoniuliza ni kama nimepata ujumbe wake,nikajibu ndio!na aliniuliza kama nina mtu ninae mdate,nikasema hapana!hakutaka kujua profile yangu na mimi pia sikumuuliza yake kwasababu nilishaambiwa na mdogo wake!na yeye kunioa ilikua sio kwasababu alinipenda ila ni shinikizo la wazaz wake kua anatakiwa aoe kabila fulani,na yeye alisema amechoka kabisa kwaio yoyote ambae mdogo wake atamletea basi atamuoa huyo!
Pia nina hisi na yeye anafeel the same kama mimi,kwa jinsi tunavyo ishi!ila ndio hivyo maji tuliyavulia nguo wenyew shart tuyaoge!
Wadada narudia tena msije fanya mistake niliofanya mimi maana inatesa sana!
Samahani kwa mwandiko
 
jitahidi kufungua moyo na kumpa nafasi maana yy ndo wako tayari.watu hujifunza kupenda na ukiamua kumpenda basi utajikuta unafuraha na amani.
 
tracy360 do not let your regrets replace your dreams!!!
Ur heart is broken, but u need healing....!!!
The only person can heal this is You, the Second person is your hubby, the Third part is God!!!
I suggest, share with them both, Your husband can turn ur heart in world of love, God can do it as well!!
Do not keep that situation feel so deep down for long TYM by urself!!!!
Very sorry, keep a positive mind, happiness is your choice, love too is a choice!!!
Choose your Hubby again, CHANGE YOUR ATTITUDE!!!
 
Last edited by a moderator:
tracy360 do not let your regrets replace your dreams!!!
Ur heart is broken, but u need healing....!!!
The only person can heal this is You, the Second person is your hubby, the Third part is God!!!
I suggest, share with them both, Your husband can turn ur heart in world of love, God can do it as well!!
Do not keep that situation feel so deep down for long TYM by urself!!!!
Very sorry, keep a positive mind, happiness is your choice, love too is a choice!!!
Choose your Hubby again, CHANGE YOUR ATTITUDE!!!

Thank you chief mp,i really have to do this!asante sana
 
Last edited by a moderator:
Mpwa hata mimi nilitaka nimtafute nimpooze kidogo free of charge. Lakini baada ya kusikia kuwa aliuwa, aiseee imelala kabisaaaa imegoma kasimama na kunisikiliza ombi langu

Hahaha...unatakiwa kuwa komedian mpwa..!
Binafsi nina kidonda cha mtu wa karibu Sana, kwa upumba.vu huu wa kutoa mimba bahati mbaya hatunae...nikisikia mtu katoa mimba mwiko unapata ganzi.
 
Ni hatari kuliko tunavyowaza

Soma hii story inaitwa Hand of Hope na uone maajabu duniani..... tracy360 soma hapa pia, sikulamu lakini .......
Hahaha...unatakiwa kuwa komedian mpwa..!
Binafsi nina kidonda cha mtu wa karibu Sana, kwa upumba.vu huu wa kutoa mimba bahati mbaya hatunae...nikisikia mtu katoa mimba mwiko unapata ganzi.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu 'unfair' kamakukubali kuolewa na mwanaume mwenye nia...wakati wewe (mwanamke) huna nia. Unaolewa tu kama kutimiza malengo yako Fulani. Yes..you deserve to blame yourself. Be fair..tell the guy!
 
Back
Top Bottom