Nachukia sana makahaba mimi,kwanini uzurure weeeeee,mpaka unashika mimba!halafu unaua kiumbe asiye na makosa??poleni sana kwa kujifanya vipofu mpaka mnadate na watoto wakiume.
Unisamehe,Yaani natamani ujichanganye na akili yako ya ajabu,upigwe chini.halafu ukae bila ndoa kama miaka 17(unapigwa free p).maana unaonekana uko shallow kwenye maamuzi.
Nisikilize kwa makini.
Umeisha athirika kisaikologia,taangu uliposema hukutaka kupenda mtu yeyote,chochote kilichokuwa kinatokea hakikiwa kinaamuliwa na akili yako,ila misukumo ya pembeni.
Jua kuanzia sasa.
Mwanamke yeyote duniani anatii,anapokea upendo kutoka kwa mwanaume.anashawishika kisha anapenda,wewe unapendwa unashawishiwa na mumeo kwa kukuonyesha upendo wa kweli,hutaki sababu umeishajiapiza.fungua moyo.
My take.
Usipokuwa makini jamaa akajua humpendi,umeisha.atakata tamaa,hatakuwa na msisimko wa kukufanyia chochote maana anajua hakufurahishi.kitakachofuata utapanick nakuchukua uamuzi mbovu tena,ndoa itaishia hapo.
Lakini usjari baada ya kupigwa chini tutakuwepo wazee wa mipira iliyotoka nje ya uwanja,kuomba usajiri wa muda kupiga papuchi na kuondoka,maana tutakuwa tunajua mfupa uliomshinda fisi......
TUMIA AKILI SAWA SAWA,SIJAONA KAMA KUNA LA KUJILAUMU.
Zaidi ya kutoa mimba.
ebana eeeeeh! guuud!