Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,622
- 112,698
Nimemhurumia,hujaona nimempa pole?Mhurumie mwenzio wewe Evelyn
Nimemhurumia,hujaona nimempa pole?Mhurumie mwenzio wewe Evelyn
shoga ulikuwa na hamu na ndoa duh! au kuna mtu ulitaka kumkomesha na "hayawi hayawi sasa yamekua ulisema siolewi"....ila wanawake huwa tunajifunza kupenda, pole ndo mmeo huyo jitahidi tu umpende!!!
Nlifuatilia ndoa za wahindi....kuanzia hapo naamini You can build love with anyone....ni jinsi tu utavyoutune moyo wako....Moyo ni kama sponji ukilitia kwenye maji machafu ukikamua litatoa maji machafu, ukilitia kwenye maziwa ukikamua litatoa maziwa....
Just fill your heart with love....utampenda tu....
Habar humu ndan,mimi ni mgeni humu ndan na ndio napost topic kwa mara ya kwanza,mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 24 sasa,lengo la kuandika hii poat nimehisi nikiitoa moyoni ntakua km nimetua mzigo fulani! Katika maisha yangu nimekua na wanaume watatu ambao wa kwanza nilikua nae A-level nilimpenda sana unfortunately akaniacha na sababu ilikua amerudiana na ex wake! Nilipofika form six nikapata mwingne nae tulipendana sana,ila tuu nilimvumilia sna nikashindwa kwasababu alikua ananicheat sana na kilichonikera sana ni kwamba wanawake ananicheat nao walikua wakinicall kunitukana!na mimi sipend gombana na mdada kisa mwanaume,nikasema sio kesi ngoja niachane nae japo niliumia sana yaan! Nilipoanza chuo 2009 nikampata mtu tena ila yy alikua mbali na mn yeye alikua anasoma iringa na mimi Dar,basi huyo tulikaa miaka mi tatu yaan mpk namaliza chuo bd nipo nae,tatizo likawa alikua ananitesa sana yaan,aliniahd kunioa na aliniambia nimwambie mama yangu kua analeta mahar,baai iliku
mm luckyline siku zote nasema staki kukosea mme wa kunioa bora nikosee nyumba maana nitachepuka. wakaka ninao wakataa munisamee sitaki kuchepuka ndoan so wadada tuwe makin,? poleee
shoga ulikuwa na hamu na ndoa duh! au kuna mtu ulitaka kumkomesha na "hayawi hayawi sasa yamekua ulisema siolewi"....ila wanawake huwa tunajifunza kupenda, pole ndo mmeo huyo jitahidi tu umpende!!!
Mwanamke huwa anafikiria vitu vichache sana, vingine vilivyobakia huwa anatamani...
Yaan acha tuu kaka yangu!maisha ninayo ishi yan ni ya tabu sana!naumia sana sana yaan