No control over Religious radio stations over hate speeches

No control over Religious radio stations over hate speeches

Wana jf nimekuwa nikisoma habari nyingi zinazo andikwa na magazeti ya waislam kama vile: Al-Huda, Al-nuur na mengineyo ila pia hua nasikiliza redio zao kama Radio kheri na Iman radio, pamoja na matamko ambayo mara nyingi wanayatoa. Sasa kinacho nishangaza ni jinsi habari zao nyingi zinakuwa na chuki kubwa kwa wakatoliki, utadhani wamewahi labda kuwafanyia kitu kibaya miaka ya nyuma. Nimekuwa nikiliona hili kwa muda mrefu sasa ila nimeshindwa kupata majibu kwamba mbona hivyo. Kilicho nisukuma kuandika hi mada hapa ni habari ambayo nimeiona kwenye gazeti la Al-Huda. Imeandikwa kwa herufi kubwa mbele. Wizara ya utumishi wa uma wizi mtupu.Wakatoliki wamesheni sekta nyeti. Nimekuwa nikiona habari za namna hii kwenye mapazeti yao. Pia wiki hii niliona gazeti la Al-nuur limeandika. Mbowe na Slaa wameonyesha mrengo wao wa ukatoliki. Kwa ujumala habari za wakatoliki huwezi kuzikosa haya magazeti kwa muda mrefu. Nadhani wana jf wanaopitia vichwa vya habari vya magazeti haya na hizo radio ni mashahidi. Sasa nachotaka kujua kwanini hizi media zinaandama wakatoliki/ukatoliki. Naomba mlio humu mtujuze kidogo manake naona kuna utofauti mkubwa ukilinganisha na radio za wakatoliki kama radio maria na gazeti la kiongozi ambayo daina zinatoa habari za wakatoliki tu. Naomba kupata sababu hasa ni zipi.
Mbona hamna chuki yoyote wanachosema ndio ukweli wenyewe!
 
je siwaonyesha ushahidi wa madai yao, tatizo liko wapi? kama huna cha ku post nenda ukalale.
 
Wana jf nimekuwa nikisoma habari nyingi zinazo andikwa na magazeti ya waislam kama vile: Al-Huda, Al-nuur na mengineyo ila pia hua nasikiliza redio zao kama Radio kheri na Iman radio, pamoja na matamko ambayo mara nyingi wanayatoa. Sasa kinacho nishangaza ni jinsi habari zao nyingi zinakuwa na chuki kubwa kwa wakatoliki, utadhani wamewahi labda kuwafanyia kitu kibaya miaka ya nyuma. Nimekuwa nikiliona hili kwa muda mrefu sasa ila nimeshindwa kupata majibu kwamba mbona hivyo. Kilicho nisukuma kuandika hi mada hapa ni habari ambayo nimeiona kwenye gazeti la Al-Huda. Imeandikwa kwa herufi kubwa mbele. Wizara ya utumishi wa uma wizi mtupu.Wakatoliki wamesheni sekta nyeti. Nimekuwa nikiona habari za namna hii kwenye mapazeti yao. Pia wiki hii niliona gazeti la Al-nuur limeandika. Mbowe na Slaa wameonyesha mrengo wao wa ukatoliki. Kwa ujumala habari za wakatoliki huwezi kuzikosa haya magazeti kwa muda mrefu. Nadhani wana jf wanaopitia vichwa vya habari vya magazeti haya na hizo radio ni mashahidi. Sasa nachotaka kujua kwanini hizi media zinaandama wakatoliki/ukatoliki. Naomba mlio humu mtujuze kidogo manake naona kuna utofauti mkubwa ukilinganisha na radio za wakatoliki kama radio maria na gazeti la kiongozi ambayo daina zinatoa habari za wakatoliki tu. Naomba kupata sababu hasa ni zipi.
Unaweza kupata jibu mbadala kutoka kwa ritz, faizafoxy.sokomoko, ms...! Sisi wakatoliki hatujui tuliwafanyaga nini hawa jamaa mpaka wanakuwa na chuki kiasi hicho!
 
Mkuu hata mimi nimeliona hilo nadhani kuna mkono wa serekali [UWT] mara kadhaa vyombo vyao vya habari vimekuwa vikitetea madhaifu ya serekali ya Kikwete kwasababu wanaamini ni muIslamu mwenzao.Utashangaa gazeti la Al Huda au redio Imani/Kheri vinashambulia CHADEMA kwa kulinasibisha na mfumo Katoliki wakati CHADEMA haijawahi kutawala Tanzania.

Vyombo vya habari vya kiIslamu lazima viongozwe na watu wenye uwezo kinyume cha hapo vitaendelea kuonekana nivyombo vya habari za kichochezi.Wajaribu kuitazama Aljazeera labda itawasaidia.
 
Unaweza kupata jibu mbadala kutoka kwa ritz, faizafoxy.sokomoko, ms...! Sisi wakatoliki hatujui tuliwafanyaga nini hawa jamaa mpaka wanakuwa na chuki kiasi hicho!
Mkuu, hakuna mtu mwenye chuki kama unavyosema! Ni mitizamo tofauti tu, wote sisi ni ndugu
 
mimi mkatoliki ktk mafundisho yetu sijawahi sikia hata siku moja tukifundishwa au kukosoa au kuzungumzia uislam. always tupo within our boundaries. tupo bize na mafundisho ya YESU KRISTO tunamsubiri arudi tena wa kwao atarudi? hii nayo inawatia kiwewe sana coz YESU yu hai leo kesho na milele na anatenda pale unapomwomba sasa wenzetu mh
 
Waislam bana hapo ndipo ninapozidi kuamini salman Rushdie alisema ukweli kwamba Muslim ni dini ya mashyetwani,hawajui walitakalo ni majini ndo yanayo andika msisumbuke sana
 
sidhani kama hizi habari huwa zinaimpact nje y uisilamu maana wengi huwa wanaogopa hata kusoma au kusikiliza redio hizi.
 
kusema kweli sisikilizi wala sisomi media yoyote ya kiislam,sana ukisikiliza ni maudhi basi!
 
Kwa kifupi hawajielewi; jaribu kufkiri kama wakatoliki nao wangekuwa na mtzamo kama huo wetu(waislamu) naamini tungekuwa bado tupo nyuma sana mfano; nenda SAUT wanafunz wote wanapewa nafas sawa regardless of dini zao. Alafu mimi nashangaa cjui kwann serikali haichukui hatua yoyote, ingekuwa ni magazeti/radio nyngne vngeshavungiwa
 
Wana jf nimekuwa nikisoma habari nyingi zinazo andikwa na magazeti ya waislam kama vile: Al-Huda, Al-nuur na mengineyo ila pia hua nasikiliza redio zao kama Radio kheri na Iman radio, pamoja na matamko ambayo mara nyingi wanayatoa. Sasa kinacho nishangaza ni jinsi habari zao nyingi zinakuwa na chuki kubwa kwa wakatoliki, utadhani wamewahi labda kuwafanyia kitu kibaya miaka ya nyuma. Nimekuwa nikiliona hili kwa muda mrefu sasa ila nimeshindwa kupata majibu kwamba mbona hivyo. Kilicho nisukuma kuandika hi mada hapa ni habari ambayo nimeiona kwenye gazeti la Al-Huda. Imeandikwa kwa herufi kubwa mbele. Wizara ya utumishi wa uma wizi mtupu.
Wakatoliki wamesheni sekta nyeti.
.
Nimekuwa nikiona habari za namna hii kwenye mapazeti yao. Pia wiki hii niliona gazeti la Al-nuur limeandika. Mbowe na Slaa wameonyesha mrengo wao wa ukatoliki. Kwa ujumala habari za wakatoliki huwezi kuzikosa haya magazeti kwa muda mrefu. Nadhani wana jf wanaopitia vichwa vya habari vya magazeti haya na hizo radio ni mashahidi. Sasa nachotaka kujua kwanini hizi media zinaandama wakatoliki/ukatoliki. Naomba mlio humu mtujuze kidogo manake naona kuna utofauti mkubwa ukilinganisha na radio za wakatoliki kama radio maria na gazeti la kiongozi ambayo daina zinatoa habari za wakatoliki tu. Naomba kupata sababu hasa ni zipi.
wewe kama unaakili timamu basi kwanini unakwenda nunua magazeti yanayo leta habari za kipuuzi kama hizo.
 
Kila mtu atimize wajibu wake, aabudu anachotaka, aseme anavyoona inafaa. Amlaumu anayemwona anamkwaza, amzomee anamwona anasababisha matatizo yake ili mradi tu asifunje sheria. Ruksa.

Umasikini wa Tanzania ni mkubwa sana kiasi kwamba hata wananchi hawajui chanzo ni nini. Ndio maana kila mmoja anamrushia mwenzie lawama. Hii inaeleweka tuvumiliana tukifundishana kwa upendo kwamba adui yetu sote ni kitu kimoja tu Viongozi na serikali ya CCM Magamba.
 
Na wewe si uanzishe gazeti la kusifia ukatoliki na kuponda uislam, unamlalamikia nani hapa?
 
Kila mtu atimize wajibu wake, aabudu anachotaka, aseme anavyoona inafaa. Amlaumu anayemwona anamkwaza, amzomee anamwona anasababisha matatizo yake ili mradi tu asifunje sheria. Ruksa.

Umasikini wa Tanzania ni mkubwa sana kiasi kwamba hata wananchi hawajui chanzo ni nini. Ndio maana kila mmoja anamrushia mwenzie lawama. Hii inaeleweka tuvumiliana tukifundishana kwa upendo kwamba adui yetu sote ni kitu kimoja tu Viongozi na serikali ya CCM Magamba.
CCM labda ni adui yako wewe, usitake kuongelea kila mtanzania....mimi adui yangu ni CDM
 
Tatizo wenzetu hawana watu proffesional kwa kazi za uandishi sifa kubwa lazima uwe muislam unajua kusoma quran utapewa kazi yoyote ndo maana migogoro haiishi kwenye taasisi zao itawachukua muda kujitambua.

lkn mbona hata wabunge wetu wanatakiwa wana sifa hizo. lkn soma kitabu ch mwembechai killingi
 
Waislam bana hapo ndipo ninapozidi kuamini salman Rushdie alisema ukweli kwamba Muslim ni dini ya mashyetwani,hawajui walitakalo ni majini ndo yanayo andika msisumbuke sana

[h=2]iwapo watachukua nchi...... CHADEMA kuendesha nchi kwa maombi[/h]
chama cha democrasia na maendeleo (chadema)kimesema, endapo kitapewa ridhaa na wanainchi ya kuunda serikali ktk uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, kitahakikisha kinaanzisha utaratibu wa kufanya maombi maalum kwa taifa ili mungu aweze kufanikisha ndoto ya watanzania ya kuwa na maisha bora. Ahadi hiyo ilitolewa jumapili iliyopita na mwenyekiti wa CHADEMA mheshimiwa Freeman mbowe, alipokuwa mgeni rasmi katika hafla maalum ya uzinduzi wa kitabu cha kuhamasisha maendeleo ya watanzania kilicho andikwa na mtume john nengala Lobulu. katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye kanisa la Maranatha Christian Center lililopo kinondoni, jijini Dar es salam na kuhudhuriwa na watu wa kada mbalimbali , mbowe ambaye ni mbunge wa hai, mkoani kilimanjaro na kiongozi wa upinzani bungeni, alisema maombi ni muhimu kwa ustawi wa taifa, hivyo yanapaswa kupewa uzito na kuwa sehemu ya utamaduni wa watanzania. "kutokana na umuhimu wake ndio maana tumeahidi kwamba tukifanikiwa kupata ridhaa ya kuongoza nchi hii kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 tutaanzisha utaratibu maalumu wa kuliombea taifa, katika maombezi hayo kila mmoja kwa imani yake aliombee taifa ili mungu aweze kufanikisha malengo yetu, maombi ni jambo muhimu sana kwa taifa lazima yapewe kipaumbele," alisema. Awali, kabla ya kuzindua kitabu hicho kiitwacho Vikwazo vya mafanikio yako na jinsi ya kuvishinda. Mbowe alitoa wito kwa watumishi wa mungu pamoja na viongozi wa serikali kutofanya kazi kwa maslahi binafsi, badala yake watumike kwa kutengeneza mazingira yatakayonufaisha kizazi kijacho badala ya kuendelea na hali ya sasa ambapo wanaonekana kufanya kazi kibinafsi zaidi. Hata hivyo, alisema ili hali hiyo iweze kufanikiwa kuna haja kwa watanzania bila kujali tofauti zao za kiimani kujikita zaidi katika maombi ili taifa liwe na viongozi wenye hofu ya mungu ambao watafanya kazi kwa maslahi ya taifa na kizazi kijacho kwani bila hofu ya mungu kutawala miongoni mwa viongozi ni vigumu kuwajibika kwa wanainchi bali wataendelea kujali maslahi yao binafsi na kuwaacha wanainchi wakiendelea kuteseka.​
 
CCM labda ni adui yako wewe, usitake kuongelea kila mtanzania....mimi adui yangu ni CDM
NASEMA UISLAM SI ADUI YETU WATANZANIA ILA CCM NDO ADUI YETU NAMBARI ONE hata mbishe vipi CCM sucks big time
 
sidhani kama hizi habari huwa zinaimpact nje y uisilamu maana wengi huwa wanaogopa hata kusoma au kusikiliza redio hizi.
Ukimwona mtu anafanya upumbavu ukamwongezea mawazo ya kipumbavu yasiyoweza kumsaidia tambua wewe NI MPUMBAVU ZAIDI YAKE'
 
Wana jf nimekuwa nikisoma habari nyingi zinazo andikwa na magazeti ya waislam kama vile: Al-Huda, Al-nuur na mengineyo ila pia hua nasikiliza redio zao kama Radio kheri na Iman radio, pamoja na matamko ambayo mara nyingi wanayatoa. Sasa kinacho nishangaza ni jinsi habari zao nyingi zinakuwa na chuki kubwa kwa wakatoliki, utadhani wamewahi labda kuwafanyia kitu kibaya miaka ya nyuma. Nimekuwa nikiliona hili kwa muda mrefu sasa ila nimeshindwa kupata majibu kwamba mbona hivyo. Kilicho nisukuma kuandika hi mada hapa ni habari ambayo nimeiona kwenye gazeti la Al-Huda. Imeandikwa kwa herufi kubwa mbele. Wizara ya utumishi wa uma wizi mtupu.
Wakatoliki wamesheni sekta nyeti.
Nimekuwa nikiona habari za namna hii kwenye mapazeti yao. Pia wiki hii niliona gazeti la Al-nuur limeandika. Mbowe na Slaa wameonyesha mrengo wao wa ukatoliki. Kwa ujumala habari za wakatoliki huwezi kuzikosa haya magazeti kwa muda mrefu. Nadhani wana jf wanaopitia vichwa vya habari vya magazeti haya na hizo radio ni mashahidi. Sasa nachotaka kujua kwanini hizi media zinaandama wakatoliki/ukatoliki. Naomba mlio humu mtujuze kidogo manake naona kuna utofauti mkubwa ukilinganisha na radio za wakatoliki kama radio maria na gazeti la kiongozi ambayo daina zinatoa habari za wakatoliki tu. Naomba kupata sababu hasa ni zipi.

Mkuu pole sana .Usishangae ya Tanzania .Hawa jamaa wana madai mengi na ni mzigo wa Dunia so wewe twende nao hivyo hivyo .Shule kaka inawapa taabu .Wape pole a hayo ni makelele tu .Hawana lolote maana wakipiga kelele sana na kuanzavurugu sheria ileeee ipo .Na Pengo na wengineo hawana muda wa kuwajibu maana hao wana upeo limited wa kuelewa .Waache tu ili mrad wasianze vurugu .
 
Back
Top Bottom